Akili yako fupi km maisha ya funzaView attachment 1298468View attachment 1298469View attachment 1298469 Sikupendi aisee kwa hii tabia yako
Mtoa mada lengo lako lilikuwa utafute sehemu ya kumkosoa mondi bahati mbaya umeingia wewemwenyewe choo Cha kike na umekula za uso siku nyingine usikurupuke kuandika Uzi utaaibika.View attachment 1298468View attachment 1298469View attachment 1298469 Sikupendi aisee kwa hii tabia yako
Aah aah aah! Next time mtoa mada hatarudia tena kuandika ugoro.
Ahaaaaaaaaah mbona unajitekenya na kucheka mwenyewe maana hapo clouds ndo wameigaView attachment 1298468View attachment 1298469View attachment 1298469 Sikupendi aisee kwa hii tabia yako
Mbumbumbu wewe ulieshindwa fanya reasoning na post yako yakiwakiHujui ndio maana hujui wewe ni mbumbumbu
Mtoa mada lengo lako lilikuwa utafute sehemu ya kumkosoa mondi bahati mbaya umeingia wewemwenyewe choo Cha kike na umekula za uso siku nyingine usikurupuke kuandika Uzi utaaibika.
Mwanzo kabisa mtoa mada alikuwa anakuja na gia ya udini lengo lake achafue WCB alisemaga Rayvanny kazuiliwa kujenga kanisa na uongozi wake pamoja na kulazimishwa kuvaa kanzu mtu hatakakama unachuki basi tengeneza hoja zenye nguvu ili ushawishi watu hata Kama ni uongo lakini mtoa mada hajifunzi ndomaana nyuzi zake anashambuliwaga Sana still anashindwa kujifunza.