gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 703
- 707
Ahlan wassalan wana jamvi, baada ya pilika pilika za sikuu ya Christmas hopefully mko poa, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu mrithi wa kiti cha ufalme wa bongo fleva hatatoka kwenye mikono ya hawa manguli wawili wanaotifuana na kupelekana mchaka mchaka kunako game ya bongofleva japokuwa mmoja anaonekana amezidiwa ujanja na mwenzie.
Kwanini nasema mrithi wa kiti cha ufalme wa bongofleva hawezi kutoka kwenye mikono ya hawa majamaa mawili simba na kaka ake tembo, nifuatilie vizuri hapo chini.
1.Ali kiba a.k.a tembo na rekodi lebo yake ya kings music hadi sasa hivi kwa muda ambao hao madogo wamekaa ndani ya kings music wameshindwa kuwa wakubwa na hata ngoma zao kuwa kubwa na wameshindwa kabisa kuiteka showbiz ukilinganisha na wcb na wakina vanny,mbosso,na harmo wakati wanatoka ngoma zao zilikuwa kubwa,waliweza kuiteka showbiz ndani ya muda mfupi pili kiba the way anavyofanya muziki anataka na wasanii wake wafanye hivo hivo yaani wimbo mmoja ndani ya miezi6 au mwaka mmoja so hii itawachelewesha sana wasanii wake tatu kiba hana mbinu bora za kimuziki za kuwafanya wasanii wake wawe hot topic so simuoni mrithi wa kiti cha ufalme wa bongo fleva akitoka ndani ya kings music
2. Mond a.k.a simba wa maboksi ktk suala la kuwafanya wasanii wake wawe wakubwa na waikamate showbiz kafanikiwa kwa 100% kongole kwake but tatizo ninaloliona anawapiga pini wasanii wake dizaini km hataki wawe wakubwa km yeye kwenye kila wimbo anaoona utakuwa hit anadandia,kwenye show za wasanii wake yeye ndo anaperfom sana utadhani yeye ndo mwenye show,halafu show kubwa za nje zote anaenda yeye madogo anawacha madale wamsaidie tanasha kuchambua dagaa, mbosso hana muziki wa international so hawezi kuwa mrithi sahiihi vanny ana muziki wa international ila inshu ya kupigwa pini na boss inamfelisha lakini pia dizaini km mwamba kafika katika kilele,climax so hana pa kwenda either amaintain au ashuke japokuwa sioni akishuka but mwamba hawezi kuwa mrithi sahihi,lavalava sijamuongelea coz huyu anasindikiza wengine na kwa habari za chini ya kapeti nasikia ni houseboy wa tanasha.
3. Vipi kuhusu harmonize a.k.a konde boy a.k.a nsyuka kafanana naye sana hasa hasa ule ufupi,hadi sasa hivi kwa aina ya nyimbo anazozitoa bado simpi nafasi sana coz sailimia 85% ya kila kitu alichonacho hadi mafanikio ya kimuziki yanatokana na kivuli cha mond, so kwakua sasa hivi kaamua kusimama mwenyewe acha tumpe muda,but mashabiki wa mond kumchukia hili ni tatizo kwake coz angekuwa anapata sapoti ya mashabiki wote in full force ingemuongezea kitu, coz mond wakati anatoka Tanzania nzima ilikuwa nyuma take ndio maana aliweza kutusua vizuri,
4. Vipi kuhusu marioo a.k.a kichwa dungu huyu dogo nae simpi nafasi sana coz kwa umri alionao na muda aliopo kwenye game ukimlinganisha na mond alivyokuwa na umri sawa na huyu dogo mond a.k.a simba wa maboksi alikuwa mkubwa Mara 3 ya huyu dogo pili dogo hana mambo mengi,mbogamboga,kachumbari na showbiz dogo hajaiteka na sidhani km ana mpango wa kufanya hivo, inshort dogo anafanya muziki kipaji na hana menejiment powerful yenye fitna na figisufigisu za hapa na pale,
5. Mentality za mashabiki zimegoma kabisa kuamini nje ya mond a.k.a chai jaba na Ali kiba a.k.a mange kimambi hili ni tatizo pia,lakini pia ugomvi baina ya media unafanya baadhi ya wasanii upcoming wasiwe na full support hii pia inakwamisha, coz unakuwa unafanya muziki kwenye mazingira magumu yenye mipaka ukiwa unaogopa kubaniwa mond hii kitu hakukumbana Nayo wakati anatoboa media zote zilikuwa zinamsapoti,
Je unadhani nani ni mrithi wa kiti cha ufalme wa bongofleva? Hebu tiririka mdau,
Naitwa Gonamwitu a.k.a Santiago pandamunio a.k.a masokolindo mavi ya kuku, a.k.a girls most wanted guy,
Kwanini nasema mrithi wa kiti cha ufalme wa bongofleva hawezi kutoka kwenye mikono ya hawa majamaa mawili simba na kaka ake tembo, nifuatilie vizuri hapo chini.
1.Ali kiba a.k.a tembo na rekodi lebo yake ya kings music hadi sasa hivi kwa muda ambao hao madogo wamekaa ndani ya kings music wameshindwa kuwa wakubwa na hata ngoma zao kuwa kubwa na wameshindwa kabisa kuiteka showbiz ukilinganisha na wcb na wakina vanny,mbosso,na harmo wakati wanatoka ngoma zao zilikuwa kubwa,waliweza kuiteka showbiz ndani ya muda mfupi pili kiba the way anavyofanya muziki anataka na wasanii wake wafanye hivo hivo yaani wimbo mmoja ndani ya miezi6 au mwaka mmoja so hii itawachelewesha sana wasanii wake tatu kiba hana mbinu bora za kimuziki za kuwafanya wasanii wake wawe hot topic so simuoni mrithi wa kiti cha ufalme wa bongo fleva akitoka ndani ya kings music
2. Mond a.k.a simba wa maboksi ktk suala la kuwafanya wasanii wake wawe wakubwa na waikamate showbiz kafanikiwa kwa 100% kongole kwake but tatizo ninaloliona anawapiga pini wasanii wake dizaini km hataki wawe wakubwa km yeye kwenye kila wimbo anaoona utakuwa hit anadandia,kwenye show za wasanii wake yeye ndo anaperfom sana utadhani yeye ndo mwenye show,halafu show kubwa za nje zote anaenda yeye madogo anawacha madale wamsaidie tanasha kuchambua dagaa, mbosso hana muziki wa international so hawezi kuwa mrithi sahiihi vanny ana muziki wa international ila inshu ya kupigwa pini na boss inamfelisha lakini pia dizaini km mwamba kafika katika kilele,climax so hana pa kwenda either amaintain au ashuke japokuwa sioni akishuka but mwamba hawezi kuwa mrithi sahihi,lavalava sijamuongelea coz huyu anasindikiza wengine na kwa habari za chini ya kapeti nasikia ni houseboy wa tanasha.
3. Vipi kuhusu harmonize a.k.a konde boy a.k.a nsyuka kafanana naye sana hasa hasa ule ufupi,hadi sasa hivi kwa aina ya nyimbo anazozitoa bado simpi nafasi sana coz sailimia 85% ya kila kitu alichonacho hadi mafanikio ya kimuziki yanatokana na kivuli cha mond, so kwakua sasa hivi kaamua kusimama mwenyewe acha tumpe muda,but mashabiki wa mond kumchukia hili ni tatizo kwake coz angekuwa anapata sapoti ya mashabiki wote in full force ingemuongezea kitu, coz mond wakati anatoka Tanzania nzima ilikuwa nyuma take ndio maana aliweza kutusua vizuri,
4. Vipi kuhusu marioo a.k.a kichwa dungu huyu dogo nae simpi nafasi sana coz kwa umri alionao na muda aliopo kwenye game ukimlinganisha na mond alivyokuwa na umri sawa na huyu dogo mond a.k.a simba wa maboksi alikuwa mkubwa Mara 3 ya huyu dogo pili dogo hana mambo mengi,mbogamboga,kachumbari na showbiz dogo hajaiteka na sidhani km ana mpango wa kufanya hivo, inshort dogo anafanya muziki kipaji na hana menejiment powerful yenye fitna na figisufigisu za hapa na pale,
5. Mentality za mashabiki zimegoma kabisa kuamini nje ya mond a.k.a chai jaba na Ali kiba a.k.a mange kimambi hili ni tatizo pia,lakini pia ugomvi baina ya media unafanya baadhi ya wasanii upcoming wasiwe na full support hii pia inakwamisha, coz unakuwa unafanya muziki kwenye mazingira magumu yenye mipaka ukiwa unaogopa kubaniwa mond hii kitu hakukumbana Nayo wakati anatoboa media zote zilikuwa zinamsapoti,
Je unadhani nani ni mrithi wa kiti cha ufalme wa bongofleva? Hebu tiririka mdau,
Naitwa Gonamwitu a.k.a Santiago pandamunio a.k.a masokolindo mavi ya kuku, a.k.a girls most wanted guy,