diamond

  1. B

    Uwezekano wa Diamond Platnumz kuendelea kuishi na Tanasha ni Mkubwa sana

    Wengi huwa nawaambia ukiona mtu na demu wake au mke wanagombana usiingilie kwa kumchamba au kumsema vibaye mwingine au kumuelekeza chuki dhidi ya mmoja no uta ahibika, lazima tuishi kwa kuwaelewa na kuwaombea ipo siku watarudiana. Niliwahi kwenda kuamua ugomvi wa binam na mumewe nikamlazimisha...
  2. H

    Diamond apewa zawadi na FIFA

    Msanii wa Kimataifa kutoka Tanzania alipata nafasi kutembelea Museum ya FIFA pale Zurich. Msanii Diamond ametua Uswizi mahususi kwa ajili ya show yake ambayo ameipa jina European Tour. Baada ya kuingia Museum ya FIFA amepewa zawadi ya kikombe kidogo pamoja na jezi yenye jina lake Platnumz no 9...
  3. H

    Jeje ya Diamond Hadi sasa ipo 1 on trending

    Wimbo wa diamond imeendelea kuwa no 1 on trending YouTube Ina wiki 1 tokea itoke. Ngoma za darassa,Nandy pamoja na aslay zimeshindwa kufika no 1 ngoma zote hizo zimetoka kipindi kimoja na ngoma ya jeje. Ukiachana na Hilo ngoma ya jeje imefanikiwa kuchezwa na media kubwa za kimataifa Kama MTV...
  4. H

    Diamond amewakomesha wambeya

    Tuliwaambia tokea mwanzo Diamond leo hata zungumzia mahusiano yake. Wambeya wengi leo wameumbuka wametumia MB's zao kwa lengo la kumsikiliza Diamond kuhusiana na tetesi zinazoenea kuhusu kuachana na Tanasha. Diamond hajazungumzia kabisa mahusiano yake na Tanasha badala yake ametambulishwa kuwa...
  5. Sky Eclat

    Juma Lokole: Ningepata bahati ya kuwa na Diamond ningejijenga kwanza mimi na kusaidia ndugu zangu

    Juma Lokole "wanawake wanachezea nafasi wanayoipata kwa Diamond..Ingekuwa mimi Ningejijenga Kwanza Mimi na Kusaidia Ndugu zangu" wa Mitandao ya Kijamii JUMALOKOLE Anasema Kuwa Diamond hachezei wanawake bali wanajichezea wenyewe... Wanakimbilia kupata Mimba wakijua ndio Mondi Atawapenda Milele ...
  6. Nyendo

    Uvumi wa kuachana na Tanasha; Diamond Platnumz kuongea na waandishi wa habari kesho Serena Hotel

    Diamond amepost kwenye page yake ya Instagram kuwa ataongea na waandishi wa habari kesho huku kukiwa na uvumi wa utata kwenye mahusiano yake. Inasemeka kuwa Diomond na Tanasha wapo kwenye mgogoro mzito na ikidaiwa kuwa penzi lao limefika mwisho. Je, ndicho kitu ambacho Diamond anataka...
  7. U

    Sasa nimeelewa kwanini Penny na Kidoti walitoa mimba za Diamond

    Nadhani Kati ya wanawake waliodate na Diamond, wawili ndo walikuwa brightest of all, kwanza kielimu na pia kitabia. Nawaongelea Penny na Kidoti. Hawa kinamama waliweza kuona mbele na hawakutaka kuja kuwa masingo mother Kama Zari, Missa, Tanasha. Coz waliijui na kuisoma vizuri tabia ya mmanyema...
  8. LIKUD

    Diamond alivyo tumia mbinu za Yericko Nyerere kuiua " Hujanikomoa " ya Konde Boy

    Kitabu cha Ujajusi wa Kiuchumi na Kidola cha Yericko Nyerere hakiyahusu mataifa Tu . Hata watu binafsi, makampuni etc wanaweza kutumia mbinu hizo. Moja Kati ya mbinu anazo zielezea Bwana Yericko kwenye kitabu chake ni pamoja na namna ya kupambana na kumdhoofisha mshindani wako kibiashara...
  9. H

    Turkish airlines watakuwa sponsor wa European tour ya Diamond Platnumz

    Msanii wa kimataifa kutoka nchini Tanzania Diamond platnumz amepata dili kutoka shirika kubwa la ndege la Turkish airlines kuwa Kama main sponsor wa show yake ya European tour atayoifanya hivi karibuni.Kabla ya hapo diamond aliwahi kupata dili la Emirates airlines Mwaka 2018 pamoja na kutangaza...
  10. Mkaruka

    Huyu mama yake Diamond ni Ulimbukeni au?

  11. U

    Kati ya hizi Nyimbo za Diamond alizowaimbia Zari na Wema, zipi zilikuwa Kali, je ndo alipendwa zaidi

    Katika maisha ya mapenzi ya Diamond amekuwa akiimba nyimbo kali na za hisia hasa anapokuwa katika mahusiano. Kati ya wapenzi wake wawili tu ndo wameimbiwa nyimbo nyingi, yaani wema na zari. Sasa kwa kucheki ni collection ipi Ina nyimbo kali tunaweza jua nani alikuwa anapendwa zaidi akatungiwa...
  12. H

    Diamond azawadiwa certificate na YouTube baada ya kufikisha 3m subcriber

    Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania Diamond Platnumz aweka record ya kuwa most African artist mwenye subcribers wengi baada ya kufikisha million 3 na hii imefanya uongozi wa YouTube kumpa certificate Kama zawadi. Nampa pongezi kijana wa Tandale wazungu wanamsemo "Work hard pay off"
  13. Jamii Opportunities

    Underground Diamond Drill Offsider at African Underground Minin

    Position: Underground Diamond Drill Offsider Position purpose: To provide working support to the Diamond Driller in all aspects in the day to day operation of the drill rig, through the provision of manual tasks inclusive of monitoring & adherence to safety procedures, break down & setup of...
  14. Burnaboy

    Somo kutoka kwa Davido na Wizkid: Bifu zina mchango gani kwenye kukuza au kuua wasanii?

    Jana nimemsikia presenta mmoja wa radio maarufu akidai kwamba "wasanii wa Nigeria wanaendelea sababu wana UMOJA, hawana ma-bifu". Hata wasanii wanaoheshimika bongo wamekua wakitoa hii hoja. Je, ni kweli wasanii wa Nigeria wana UMOJA? (kwa kuangalia mfano wa Davido na Wizkid).Je, bifu zina faida...
  15. aka2030

    Kila anayefanya mahojiano wasafi fm/tv kwanini aulizwe kuhusu Diamond?

    Sijajua ni woga wa watangazaji ama mbinu za kumfanya aendelee Kuwa vinywani Mwa watu?ooh unamuongeleaje diamond? Vipi mchango wa diamond kwenye mziki? Unaonaje anavyowakilisha kimataifa? Waacheni huru wanaohojiwa
  16. YonDu Udonta

    Diamond Platnumz aweka wazi ratiba yake ya 'show' kwa nusu mwaka 2020

    Hii ni kutoka kwenye ukurasa wake wa Instagram. MY TAKE: Huyu jamaa kwa sasa hivi wamuache asifananishwe na mtu mwingine kabisa. Pia, Watanzania tuungane kumpa support ya kutosha maana anatutangaza kimataifa.
  17. K

    Diamond na Harmonize chukueni tahadhari kabla ya maafa

    Ndg zangu amani iwe kwenu! Kwanza sipendi sana kuzungumzia mambo ya wasanii sana maana kwangu mimi mziki ninaoufagilia ni miziki ya zamani. Na wimbo wangu bora kabisa ni wa mzee marehemu Moses fan fan unaoitwa Papa lolo. Lakini kama mtanzania naomba niwape vijana wenzangu hawa tahadhari kwa...
  18. Slowly

    Video: Baraka The Prince adai Alli Kiba ni level ya Best Naso na sio Diamond Platnumz

    Baracka the Prince ametamka hayo wakat akihojiwa na kituo fulan, amesema Kwa sasa ni kumkosea heshima Diamond kumfananisha na Ally Kiba , na hvyo Ally Kiba anatakiwa afananishwe na Best naso , video sekunde 38 waweza Ichek
  19. TODAYS

    Diamond kuanzisha Academy ya mpira wa miguu

    Mwanamuziki supa star nchini, Nasib Abdul (Diamond Platnumz) amefunguka kuwa atakutana na mshambuliaji wa zamani wa Barcelona Samweli Etoofu kuanzisha taaluma ya mpira wa miguu nchini. Akiongea jijini Dar es salaam mara baada ya kufika akitokea Misri, Diamond, anayefahamika kama Simba, alisema...
Back
Top Bottom