day

A day is approximately the period during which the Earth completes one rotation around its axis, which takes around 24 hours. A solar day is the length of time which elapses between the Sun reaching its highest point in the sky two consecutive times. Days on other planets are defined similarly and vary in length due to differing rotation periods, that of Mars being slightly longer and sometimes called a sol.
The unit of measurement "day" (symbol d) is defined as 86,400 SI seconds.
The second is designated the SI base unit of time. Previously, it was defined in terms of the orbital motion of the Earth in the year 1900, but since 1967 the second and so the day are defined by atomic electron transition.
A civil day is usually 24 hours, plus or minus a possible leap second in Coordinated Universal Time (UTC), and occasionally plus or minus an hour in those locations that change from or to daylight saving time.
Day can be defined as each of the twenty-four-hour periods, reckoned from one midnight to the next, into which a week, month, or year is divided, and corresponding to a rotation of the earth on its axis. However, its use depends on its context; for example, when people say 'day and night', 'day' will have a different meaning: the interval of light between two successive nights, the time between sunrise and sunset; the time of light between one night and the next. For clarity when meaning 'day' in that sense, the word "daytime" may be used instead, though context and phrasing often makes the meaning clear. The word day may also refer to a day of the week or to a calendar date, as in answer to the question, "On which day?" The life patterns (circadian rhythms) of humans and many other species are related to Earth's solar day and the day-night cycle.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Day 3: Wananchi Mafinga (Iringa) waandamana kupinga kinachoendelea nchini

    Hali iko hivi huko Mafinga. Wananchi wamejitokeza kushiriki maandamano
  2. M

    JamiiForums Tanzania Day 3: Waandamanaji Arusha wavamia kituo cha majumuisho ya kura

    Arusha: Waandamanaji wamevamia na kukiharibu kituo cha majumuisho ya Matokeo ya Mkoa huo. Madai ya waandamnaji hao ni kuwa Matokeo ya uchaguzi yafutwe, Nchi ipate KATIBA MPYA, Waliotekwa waachiliwe huru, Iunder Tume huru ya Uchaguzi na uwepo Utawala wa Haki. Wananchi hao wanasindikizwa na...
  3. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Game gumu. Nandy anatoa wimbo same day anau-promote Youtube

    Ngumu kuacha kitu kitrend chenyewe. Boost muhimu. Ningeongeza view ila walituambia tufanye kazi.
  4. W

    JamiiForums Tanzania Katika kuadhimisha siku ya 'Nyerere day' ni kauli au nukuu gani unaikumbuka ya Mwalimu Nyerere?

    Leo ni kumbukumbu ya miaka 26 tangu alipofariki Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Nyerere, ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa iliyokuwa Tanganyika, kisha Rais wa Tanganyika na baadaye Tanzania, atakumbukwa kwa kujenga umoja nchini Tanzania na vile vile kuwa mstari wa...
  5. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Car Service Episode 1/10: Engine na Gearbox Oil!

    Wakuu. Poleni na kila kitu. Nimeona leo tuwe na open discussion ya engine na gearbox oil service. Kama kuna mtu ana ujuzi na uzoefu wa aina aliyitumia na mabadiriko aliyoyaona inaweza kua msaada kwa mwingine. Kwa kuanza, mi nitatoa flashback kidogo na experience yangu ndogo kwenye hivyo...
  6. Natafuta Ajira

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jana ilikua boyfriend day

    Je amekupost mtandaoni? Amekupost kukushukuru vile unavyotumia muda na gharama kumuhudumia na kumaliza changamoto zake? Nauliza tena, amekupost kuuambia ulimwengu jinsi ulivyo mwanaume mwema kwake? Amekupost kuuambia ulimwengu jinsi anavyokupenda na wewe ndie mwanaume pekee kwenye maisha yake?
  7. Parabolic

    JamiiForums Tanzania “Global Solidarity Talks” Marks International Day of South-South Solidarity with Cooperatives Dialogue

    Cairo, September 2025 – The Global Solidarity Network has marked the International Day of South-South Solidarity with a thought-provoking cultural salon under its “Global Solidarity Talks” program. The event, themed “Cooperatives in the Global South,” was organized in line with the United...
  8. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Tanzania Mambo 10 niliyoona kuhusiana na matamasha ya Simba Day na Yanga Day

    Hii ni tathmini yangu ya mambo 10 tuliyoyashuhudia katika matamasha ya Simba Day na Yanga Day. 1. Ni wazi mauzo ya jezi mpya za Yanga siyo mazuri. Jezi za Simba zimeuzika saana. Kuna tukio la Yanga la ugawaji jezi mpya bure kwa waliojitolea kutoa damu halafu anayesimamia ugawaji wa hizo jezi...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mashabiki DRC wang'oa viti Uwanjani baada ya timu ya taifa kufungwa na Senegal

    Mashabiki wa DR Congo wameharibu Uwanja wao kwa kuvunja na kurusha viti baada ya timu ya taifa kushindiliwa mabao 3-2 na Simba wakali toka hifadhi ndogo ya Wanyama ya Teranga Senegal nyumbani kwao. DR Congo walikuwa wakiongoza 2-0 kabla bao hizo mbili kuchomolewa kisha wakafungwa na jingine...
  10. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Kwa taarifa tu mkude ndie mchezaji pekee ataagwa na timu mbili tofauti kwa heshima..Simba day na wananchi day

    KILA.LA KHERI MWAMBA ULIITENDEA HAKI TATHNIA YA MPIRA ALL DBEST NIONGEZE SAUTI AMAA.???
  11. radhiya

    JamiiForums Tanzania Happy Nanenane Day!

    Happy Nanenane Day
  12. Kimbesa11

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kura za wajumbe wa CCM zimepalilia falsafa ya Oktoba tunatiki, Sasa tutatiki kwa Rais Samia, wabunge wa CCM na madiwani wa CCM. Then Day ended well

    Nianze kwa kumpongeza mwenyekiti wetu wa CHAMA CHA MAPINDUZI TANZANIA Dr. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapa nguvu Wajumbe waamue viongozi wanaowataka kupitia kura. Hongera sana mwenyekiti wetu Samia kwa kuongoza chama chetu kwa akili kubwa na maono makubwa. Wajumbe wameshachagua wabunge na...
  13. Powell Gonzalez

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna vitu vingine havina hata maana, eti Girlfriend Day!

    Nakataa kufata trend za kipuuzi sasa, hii generation ni ya ajabu kupita kiasi. Hizi ni sherehe ambazo hazina maana zaidi ya kupoteza pesa na muda; Happy birthday Valentine’s day Happy new year Boxing day Happy girlfriend day Happy mothers day na Happy upuuzi mwingine. Kuna siku wataleta "Happy...
  14. Sizinga

    JamiiForums Tanzania Dark Day: Ajali ya Mbeya na Mtwara

    Ajali ya Juzi Mbeya iliyohusisha bus kuwagonga wanafunzi waliokuwa wanakimbia barabarani imeondoa vijana wetu 6 na wengine majeruhi. Ajali hii imetokea alfajiri tarehe 26.07.2025 Ajali kama hii ilitokea Mtwara ilihusisha school Bus kuingia mtaroni na kusababisha wanafunzi 8 kufariki na mwalimu...
  15. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Mama Gwajima, sunday schools na day care zimekuwa nyingi, nakushauri unda task force za kuwatembelea kwa kushtukiza kuangalia mienendo yao.

    Dkt. Gwajima D Watoto wadogo ni rahisi kupelekeshwa kwa namna isio sahihi. Ingawa usalama wa watoto hawa unakuwa jukumu la wamiliki pale watoto wanapokuwa shule ila tunahikkishaje kama wanazuzingatia kisahihi? Amid kuwepo na ripoti za wafanyakazi wa hizo day care na wapita njia kuwarubuni...
  16. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Gerezani Day 2025

    GEREZANI DAY 2025 Gerezani ina umuhimu wa pekee katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika. Katika jambo ambalo sikulitegemea wala kutarajia ni siku Salum Matimbwa aliponirushia ukurasa mmoja wa shajara (diary) ya baba yake, Abdallah Matimbwa aliyokuwa akiandika wakati wa kupigania uhuru...
  17. Dabil

    JamiiForums Tanzania Simba haijali mashabiki zake na inawatapeli,Simba day ijayo wanastahili waende wenyewe uwanjani

    Simba haijali mashabiki zake na inawatapeli na kuwaingizia hasara,wakati mwingine kelele anazofanya Ahmed Ally ni kama unafki tu. * Simba ilileta mchango kwa ajili ya uzio wa uwanja wa Bunju,mashabiki wamechanga baadaye Magungu anasema imeenda kwenye matumizi mengine,na hakuweka bayana ni...
  18. Papillon 1906

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania WOMAN ARRESTED AFTER SENDING MAN 530 TEXTS A DAY AFTER FIRST DATE

    She was found inside the man's home bathing while he was away. Jacqueline ades sent a man more than 159,000 text messages, some of which were threatening. The two went on a single date, one text read " I'd make sushi outta ur kidneys n chopsticks outta ur hand bones." The man was out of...
  19. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Watumishi MOI washerehekea Siku yao Maalum- 'MOI DAY 2025'

    Watumishi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wameadhimisha kwa furaha na sherehe maalum siku ya 'MOI DAY 2025' , tukio linaloadhimisha mafanikio makubwa ya taasisi hiyo katika kutoa huduma bora za Kibingwa na Kibobezi za Mifupa, Ubongo, Mgongo na Mishipa ya Fahamu kwa...
  20. Sema kama nenga

    JamiiForums Tanzania Best friends day falls on june 8 each year

    To honor your closest and dearest friend. Who is your best friend?
Back
Top Bottom