Full Time: NBC Premier League: Young Africans 3-0 Singida Big Stars 🌟: KMC Complex

Full Time: NBC Premier League: Young Africans 3-0 Singida Big Stars 🌟: KMC Complex

Palac

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2025
Posts
2,952
Reaction score
7,867
Timu ya soka ya Yanga imefanikiwa kufunga magoli 3-0 dhidi ya Singida Big Stars

Magoli ya Yanga yalifungwa na Allan Okello (Star Boy) magoli mawili na Mudathir goli moja

Kwa ushindi huo Yanga wamerudi kileleni mwa ligi wakiwa na points 57, huku wakiwa wamebakiza mechi 6
===========

Leo tena weekend inaanza na game hii young african dhidi ya walima alizeti

Je ni kwanini klabu ya simba na coastal zikiwa zinacheza zinahusishwa kua ni klabu zinazoachiana matokeo hii imekua hivyo hivyo pia kati ya young african dhidi ya singida stars kuitwa mtu na dada ake wanacheza

Je tatizo inakua nini ni kwasababu ya timu zote kua na udhamini mmoja
 
Mi kama vile Simba haikamatiki tena; je, Yanga yangu tunapelekwa likizo?
 
Hii mechi Yanga inatakiwa ishinde kwa namna yoyote ile baada ya akina Mwamnyeto, Diarra, na Masalanga kufanya ule upuuzi wao kwenye mechi dhidi ya Dodoma Jiji.

Inahuzunisha kuona mbumbumbu fc waliokuwa wameachwa point 5, wanaongoza ligi!
 
Metacha Mnata msengerema sana
Kauza match ndio maana wamemtoa kenge huyu
Huyu jamaa metacha ni mjinga sana
This a sale wirhout consideration
Tujitahidi kuwa wavumilivu. Hata sisi kwenye mechi iliyopita tulivumilia baada ya Mwamnyeto pamoja na golikipa wake namba 2 Hussein Masalanga waliwazawadia Dodoma Jiji magoli 2 ya kizembe kabisa! Tuamini basi na wenyewe waliuza ile mechi.

Kwa hatua tuliyofikia mpaka sasa, ni vizuri kila timu ikashinda mechi zake. Huu siyo muda wa lawama, ok?
 
Back
Top Bottom