Dar es Salaam is the largest city and financial hub of Tanzania. With a population of over five million people, Dar es Salaam is the largest city in East Africa and the sixth-largest in Africa. Located on the Swahili coast, Dar es Salaam is an important economic center and one of the fastest-growing cities in the world.
Mzukaaaaaa!!!!
Guys it's been so loooooong time since my last thread on due course!!!let's go
Umewahi kujiuliza kuwa kunaweza kuwa na ligi ya mabus Tanzania? Kama hujawahi kujiuliza ndio nakujuza
Barabara zote Tanzania zinaligi,ispokuwa ligi maarufu Tanzania ni ligi ya Dar Mbeya kwa miaka...
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameutolea wito ulimwengu kuchukua hatua dhidi Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kabla ya kesi ya uhalifu wa kivita inayoweza kufunguliwa dhidi ya Israel.
Mwendesha mashtaka mkuu wa ICC Fatou Bensouda amesema mwezi uliopita kwamba kuna uwezekano wa...
Introduction
Tumaini University Dar es Salaam College – TUDARCo is a constituent College of Tumaini University Makumira since 1st April, 2003. TUDARCo is owned by the Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT) Eastern and Costal Diocese (ECD). The College is accredited by the Tanzania...
A: Introduction
Tumaini University Dar es Salaam College – TUDARCo is a constituent College of Tumaini University Makumira since 1s’April, 2003. TUDARCo is owned by the Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT) Eastern and Coastal Diocese (ECD).The College was awarded, by the Tanzania...
Kwa mujibu wa taarifa ya Chadema kanda ya Pwani, ni kwamba Mstahiki Mayor amechukuliwa na watu wanaosadikika kuwa ni watu wa usalama. More news to follow
======
Meya wa Jiji la Dar, Isaya Mwita (CHADEMA) akiongoza kikao cha Kamati ya Fedha na Uongozi, leo tarehe 16 Januari 2020, katika ukumbi...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumanne Januari 14, 2020 ameongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu jijini Dar es salaam.
Kwa vile haijawahi kuwa kosa kisheria kufahamu wasifu wa Mtumishi halali wa umma basi na mimi kama raia halali wa nchi hii na mkazi wa Jiji la DSM wilaya ya Temeke , kijiji cha Tandika Mwembeyanga , ninaomba kufahamishwa wasifu wa Ofisa huyu mwenye Tuhuma za kufoji jina la mpiga kura kwenye...
Ni wiki sasa kila siku ninakuwa na safari ya nenda rudi Temeke to Mvuti kwenda kuangalia maendeleo ya kibanda changu kinachojengwa huko. Barabara kuu imejaa vibao vya makanisa kuliko vibao vya shule na vyuo.
Je, sasa Tanzania tunahitaji huduma za kiroho zaidi kuliko huduma za elimu na afya?
WAKUU SALAAM...
TUNAUZA DAGAA NYAMA (DAGAA MCHELE) WALIOANDALIWA KATIKA MAZINGIRA MAZUZRI KUTOKA VISIWA VYA ZANZIBAR NA MAFIA BEI KILO 7500-
-TUPO DAR ES SALAAM
-UNALETEWA MPAKA NYUMBANI
-MIKOANI TUNATUMA
-MAWASILIANO 0653916356
Kimepimwa (surveyed)
400 meters kutoka baharini
3 kilometers kutoka Dege Eco Village
Barabara nzuri inapitika muda wote
Kumeendelea (kumejengeka)
Kiwanja square meters 574
Bei ni Tshs 9,000,000 (9 millions Tsh mazungumzo yapo)
Mawasiliano: +255714908121
Katika kukabiliana na changamoto ya ufaulu wa masomo ya sayansi nchini, Excellence Tuition Centre inakuletea huduma bora kabsa ya masomo ya ziada kwa wanafunzi wa sekondari kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita
Masomo
Kwasasa tutafundisha masomo ya Physics, Chemistry, Biology na Mathematics...
Mipango miji yetu ilikuwa mizuri zaidi mwaka 1930 chini ya wakoloni. Utagundua kwamba sehemu karibu zote za miji yetu zilizopangwa vizuri zilipangwa na wajerumani 1860-1920 au waingereza 1920-1961. Dar, Tanga, Moshi, Arusha, Mwanza, Moro, etc. Sijui sisi waana wa Africa tunakwama wapi? Miaka 60...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema haiwezi kuzuia Meya wa DSM,Isaya Mwita kuondolewa kwenye nafasi yake kwa sababu hakuna uthibitisho wa uwepo wa kikao cha kumuondoa madarakani wala hasara atakayoipata endapo akiondolewa.
Yasema mwombaji hajatoa sababu za msingi za kukidhi vigezo vitatu...
Wakuu hii ndio sababu kubwa ya CCM kutaka kumuondoa Meya wa Jiji la Dar es Salaam , hakuna sababu nyingine yoyote ile.
Mwita anatuhumiwa kuzuia matumizi ya zaidi bil 5 ambazo ni mgawo kutoka UDART, Je, ni matumizi gani hayo yaliyotakiwa kufanywa na kwanini yamezuiliwa ? Hakuna mwanaccm...
Heri ya mwaka mpya 2020 waungwana.
Mimi ni mwanachuo kikuu hapa Dar es Salaam. Ninasoma Shahada ya kwanza katika Uhasibu na Fedha (BAF).
Nipo hapa kuomba ushauri kuhusu mada tajwa hapo juu maana mimi sikufanikiwa kuomba mkopo kutoka Bodi ya Mikopo (HESLB) na ndugu zangu hawako interested na...
By: Khamis Saleh
•Staffs are the first Customers and our brand ambassadors
•Stand front to remind people about the vision
•Let them feel are comprised in that vision
•Get time to Know your people, they can cause failure or success
•We may have these kind of people, to know them will increase...
Hapa ni muonekano baada ya kukamilika litakavyokuwa nimechanya maneno ya kuambiwa na wanasiasa,ubunifu Wa injinia mfugale na akili zangu nikapata kitu kama hicho samani lakini kama nimekukwaza mpinzani Wa jiwe!!!!
Sea taxi ni usafiri wa boti au meli ndogo zenye kubeba abiria kutoka eneo moja kwenda eneo lingine ndani ya bahari, na ndani ya boti abiria huweza kupata sehemu za burudani kama televisheni, eneo la wazi, mgahawa na sehemu ya mkutano.
Hii imekuwa ikifanyika katika nchi mbalimbali mfano kwa...
Kero kubwa ya Dar es Salaam kushinda zote ni foleni ndefu za magari kuelekea na kutoka Posta. Shida hii imechangiwa kwa kiasi kikubwa na ofisi na huduma nyingi kupatikana mitaa ya Posta.
Je, huko Dodoma kosa kama hili wamelizingatia? Je, ofisi nyingi za serikali zimetawanywa au zote ziko mtaa...
Tumaini University Dar es Salaam College – TUDARCo is a constituent College of Tumaini University Makumira since 1st April, 2003. TUDARCo is owned by the Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT) Eastern and Costal Diocese (ECD). The College is accredited by the Tanzania Commission for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.