dar es salaam

Dar es Salaam
Dar es Salaam is the largest city and financial hub of Tanzania. With a population of over five million people, Dar es Salaam is the largest city in East Africa and the sixth-largest in Africa. Located on the Swahili coast, Dar es Salaam is an important economic center and one of the fastest-growing cities in the world.
  1. M

    Kamati Kuu ya CHADEMA kimewapitisha Freeman Mbowe na Cecil Mwambe kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa

    Sasa ni Rasmi.Kamati Kuu ya CHADEMA katika kikao chao leo cha kikatiba kimewapitisha Freeman Mbowe na Cecil Mwambe kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa katika uchaguzi utakaofanyika Jumatano Desemba 18. Katika kuonyesha kukomaa kwa Demokrasia ndani ya chama hicho Kamati Kuu iliwahoji wagombea...
  2. Influenza

    Serikali ya Wanafunzi-UDSM yatoa saa 72 kwa HESLB kutimiziwa maagizo yao vinginevyo kukusanyika nje ya ofisi ya HESLB

    Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam imetoa saa 72 kwa Bodi ya Mikopo (HESLB) kutekeleza maagizo 4 likiwamo kuwaingizia fedha wanafunzi ambao hawajapewa tangu chuo hicho kifunguliwe, yasema isipotekeleza watakusanyika nje za ofisi ya HESLB. Taarifa iliyotolewa na Waziri wa...
  3. C

    More opportunities in Dar es Salaam than Nairobi

    More Opportunities in Dar es Salaam Than Nairobi : Report Investors likely to swap Nairobi for Dar BY SAMUEL GITONGA DECEMBER 16, 2019 You are more likely to land business opportunities in Tanzania’s Capital Dar es Salaam than you would in Nairobi, a new report has revealed. Audit and...
  4. O

    Naomba kujuzwa hospitali ya magonjwa ya watoto kwa Dar es Salaam

    Ndugu zangu, naomba kujuzwa hospital nzuri ya kutibu magonjwa ya watoto kwa hapa Dar es Salaam. Kijana wangu anasumbuliwa na kifua. Nimezunguka hospital kadhaa bila msaada wa maana. Anayejua tiba au hospital ninayoweza kupata matibabu mazuri, naomba anisaidie.
  5. W

    Form one selection Dar es Salaam

    Ndugu wanaJF, Tafadhali naomba ambaye anaweza kunisaidia hizi selection za mkoa wa Dar wanao ingia form one mwaka 2020 zinapatikana wapi siku zinaaisha niko njia panda tafadhali.
  6. GENTAMYCINE

    Sasa ni rasmi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul C. Makonda ana Akili, Elimu na Ufahamu mkubwa kuliko Watanzania wote

    Kama kuna Mtu ambaye nilikuwa nabisha na nakataa kabisa kuhusu ‘ Dhihaka ‘ za Watanzania wenye Akili nyingi dhidi ya Uelewa na Uwezo wa Maarifa aliyonayo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul C. Makonda basi nilikuwa ni Mimi GENTAMYCINE ila kwa nilichokisikia leo na Mimi sasa rasmi...
  7. Suley2019

    Dar: Mfanyabiashara wa Tandale afikishwa kizimbani kwa kukutwa na bunduki ya kivita

    Mfanyabiashara ambaye ni Mkazi wa Tandale kwa Tumbo, Ally Makwaya (40) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kwa kosa la kukutwa na silaha ya moto. Mwendesha Mashtaka wa Jamhuri, Saada Mohamed, akisoma hati ya mashtaka mbele ya Hakimu Mwamini Kazema, alidai Januari 7...
  8. GENTAMYCINE

    Je, ni kwanini upimaji wa DNA umeongezeka sana kwa Mikoa ya Dar es Salaam, Kilimanjaro na Morogoro pekee?

    Nina Jirani yangu Mmoja ana Watoto Saba ( 7 ) ila hakuna hata Mmoja amefanana nae achilia mbali hata Kufanana na Wazazi wake na Ndugu zake lakini anawapenda kweli kweli. Yaani Mimi nizae na Mwanamke Watoto Saba ( 7 ) kama hao halafu hata Mmoja hajafanana nami kwa chochote kile huyo Mwanamke...
  9. beth

    Waziri Jenista Mhagama atangaza punguzo la bei ununuzi wa nyumba za PSSSF za Buyuni - Chanika jijini Dar es Salaam

    Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia, Bunge, Sera, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (Mb), ametangaza punguzo la bei kwa karibu asilimia 50 kwa atakayehitaji kununua nyumba zilizo katika mradi wa nyumba za gharama nafuu zinazomilikiwa na Mfuko...
  10. Jamii Opportunities

    Administrative Assistant at United State Embassy Dar es salaam

    Announcement Number: DaresSalaam-2019-041 Hiring Agency: Embassy Dar Es Salaam Position Title: Administrative Assistant-OSC (Military Security Asst and Training Coord)-(All interested candidates) Salary: TZS TSh37,474,950 Work Schedule: Full-time - 40 hours a week - work schedule...
  11. Suley2019

    Dar es Salaam: Rais Magufuli amemsimamisha kazi kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga

    Rais John Magufuli amemsimamisha kazi Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Richard Abwao na mkuu wa upelelezi mkoani humo, John Rwamulema kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili. Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Novemba 23, 2019 na msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime inaeleza kuwa...
  12. Sky Eclat

    Ndugu wa James wana jimwambafai Dar es Salaam nyumbani kwa ndugu yao

    James ni mtoto wa pekee kuzaliwa, wazazi wake walikuwa fukara mno na uzazi uliwapa shida. Mama yake alipata ujauzito akiwa na miaka 40+ bahati mbaya alifariki akiwa anajifungua. Ndugu walimsaidia baba James kumlea mtoto mpaka alipofika umri wa kwenda shule. Wakati huo mzee umri umesogea akiwa...
  13. Analogia Malenga

    TRC yatangaza kurejesha huduma za treni ya abiria kutoka Dar kwenda Moshi

    Shirika la Reli Tanzania, TRC linawatangazia watu wote kuwa safari za treni la biria kutoka Dar kuelekea Moshi zitarejea rasmi mwanzoni mwa mwezi Desemba mwaka 2019 Nauli Dar - Moshi inategemewa kuwa ifuatavyo: - Daraja la tatu Tsh. 16,500 - Daraja la pili kukaa Tsh. 23,500 - Daraja la pili...
  14. Influenza

    Dar: Mtu afariki katika Mtaa wa Stakishari kutokana na mvua zinazonyesha jijini humo

    Mvua iliyonyesha leo Alhamisi Novemba 21, 2019 jijini Dar es Salaam nchini Tanzania imesababisha kifo cha Mwenga Agustino mwenye umri wa miaka 78 katika mtaa wa Stakishari. Inaelezwa kutokana na maji yaliyokuwa yamezidi katika eneo hilo, Agustino alikuwa akifanya jitihada za kujiokoa kutoka...
  15. ESCORT 1

    Rais Magufuli ajiandikisha kwenye daftari la mpiga kura kitongoji cha Sokoine. Asema amehamia Ikulu ya Chamwino, Dodoma

    Rais Magufuli amejitokeza katika kitongoji cha Sokoine jijini Dodoma kwa ajili ya kujiandikisha kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Baada ya kujiandikisha, amewaambia wakazi wa eneo hilo kuwa kwa sasa yeye ni mwenzao na ameshahamia rasmi kwenye Ikulu ya Chamwino. Hivyo yeye ni mwenzao...
  16. Mtambuzi

    Ushauri, Maoni, Mapendekezo na Pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

    Kwanza ningependa kukupongeza kwa juhudi zako za kutaka kuliboresha jiji letu hili la Dar. Nimekuwa nikifuatilia juhudi zako tangu ulipokuwa mkuu wa wilaya ya Kinondoni. Naamini jitihada zako za kutaka kuboresha wilaya ya Kinondoni ndizo zilizomfanya Raisi akuongezee majukumu kutokana na kuona...
  17. G

    Rock City ( Mwanza) vs Mlimani City & City mall ( Dar es Salaam)

    Nimekuwa mtu wa kuja Dar es salaam na kuondoka mara kwa mara bila kufanikiwa kufika ndani ya majengo mawili yaliyondani ya jiji hili la dar es salaam( MLIMANI CITY & CITY MALL). Nashukuru awamu hii nimefanikwa kufika na kutembea ndani ya majengo hayo. kiukweli ni majengo ya kawaida sana katika...
  18. Jamii Opportunities

    New Scholarship Opportunities at The University of Dar es Salaam ( UDSM ) 2019/20 | Deadline: 31st October, 2019

    New Scholarship Opportunities The University of Dar es Salaam ( UDSM ) 2019/2020 NAFASI ZA UDHAMINI WA MASOMO 2019 Overview: The University of Dar es Salaam is the oldest and biggest public university in Tanzania. It is situated on the western side of the city of Dar es Salaam, occupying...
  19. GENTAMYCINE

    Hivi ni nani aliyewadanganyeni kuwa ukimuhamisha ' Taahira ' toka Muhimbili Dar es Salaam ataenda ' Kuponea ' Bugando Mwanza?

    Wewe tumekuambia mapema sana kuwa tibiwa Hospitali ya Muhimbili Mkoani Dar es Salaam utapona haraka dhidi ya Ugonjwa wako wa ‘ Pyramid Mwarabu Fever ‘ ukatuona wenye Akili akina GENTAMYCINE ni ‘ Mapopoma ‘ na ukasema kuwa unataka kwenda Kutibiwa Hospitali ya Bugando Mkoani Mwanza ambapo sasa...
  20. Mukulu wa Bakulu

    Makao makuu ya Rais yako Dar es Salaam au Dodoma?

    Juzi nilimsikia Mheshimiwa Rais Magufuli akisema amehamia rasmi jiji la vumbi Dodoma na kujiandikisha mtaa wa jirani na ofisi yake na makazi yake yalipo Ikulu ya Chamwino. Lakini kwa siku za hivi karibuni nimekuwa nikimuona Mheshimiwa akiapisha watu Ikulu ya Dar es Salaaam, na leo amepokea...
Back
Top Bottom