Dar es Salaam is the largest city and financial hub of Tanzania. With a population of over five million people, Dar es Salaam is the largest city in East Africa and the sixth-largest in Africa. Located on the Swahili coast, Dar es Salaam is an important economic center and one of the fastest-growing cities in the world.
Heri ya mwaka mpya 2020 waungwana.
Mimi ni mwanachuo kikuu hapa Dar es Salaam. Ninasoma Shahada ya kwanza katika Uhasibu na Fedha (BAF).
Nipo hapa kuomba ushauri kuhusu mada tajwa hapo juu maana mimi sikufanikiwa kuomba mkopo kutoka Bodi ya Mikopo (HESLB) na ndugu zangu hawako interested na...
By: Khamis Saleh
•Staffs are the first Customers and our brand ambassadors
•Stand front to remind people about the vision
•Let them feel are comprised in that vision
•Get time to Know your people, they can cause failure or success
•We may have these kind of people, to know them will increase...
Hapa ni muonekano baada ya kukamilika litakavyokuwa nimechanya maneno ya kuambiwa na wanasiasa,ubunifu Wa injinia mfugale na akili zangu nikapata kitu kama hicho samani lakini kama nimekukwaza mpinzani Wa jiwe!!!!
Sea taxi ni usafiri wa boti au meli ndogo zenye kubeba abiria kutoka eneo moja kwenda eneo lingine ndani ya bahari, na ndani ya boti abiria huweza kupata sehemu za burudani kama televisheni, eneo la wazi, mgahawa na sehemu ya mkutano.
Hii imekuwa ikifanyika katika nchi mbalimbali mfano kwa...
Kero kubwa ya Dar es Salaam kushinda zote ni foleni ndefu za magari kuelekea na kutoka Posta. Shida hii imechangiwa kwa kiasi kikubwa na ofisi na huduma nyingi kupatikana mitaa ya Posta.
Je, huko Dodoma kosa kama hili wamelizingatia? Je, ofisi nyingi za serikali zimetawanywa au zote ziko mtaa...
Tumaini University Dar es Salaam College – TUDARCo is a constituent College of Tumaini University Makumira since 1st April, 2003. TUDARCo is owned by the Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT) Eastern and Costal Diocese (ECD). The College is accredited by the Tanzania Commission for...
Sasa ni Rasmi.Kamati Kuu ya CHADEMA katika kikao chao leo cha kikatiba kimewapitisha Freeman Mbowe na Cecil Mwambe kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa katika uchaguzi utakaofanyika Jumatano Desemba 18.
Katika kuonyesha kukomaa kwa Demokrasia ndani ya chama hicho Kamati Kuu iliwahoji wagombea...
Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam imetoa saa 72 kwa Bodi ya Mikopo (HESLB) kutekeleza maagizo 4 likiwamo kuwaingizia fedha wanafunzi ambao hawajapewa tangu chuo hicho kifunguliwe, yasema isipotekeleza watakusanyika nje za ofisi ya HESLB.
Taarifa iliyotolewa na Waziri wa...
More Opportunities in Dar es Salaam Than Nairobi : Report Investors likely to swap Nairobi for Dar
BY SAMUEL GITONGA DECEMBER 16, 2019
You are more likely to land business opportunities in Tanzania’s Capital Dar es Salaam than you would in Nairobi, a new report has revealed.
Audit and...
Ndugu zangu, naomba kujuzwa hospital nzuri ya kutibu magonjwa ya watoto kwa hapa Dar es Salaam.
Kijana wangu anasumbuliwa na kifua. Nimezunguka hospital kadhaa bila msaada wa maana.
Anayejua tiba au hospital ninayoweza kupata matibabu mazuri, naomba anisaidie.
Ndugu wanaJF,
Tafadhali naomba ambaye anaweza kunisaidia hizi selection za mkoa wa Dar wanao ingia form one mwaka 2020 zinapatikana wapi siku zinaaisha niko njia panda tafadhali.
Kama kuna Mtu ambaye nilikuwa nabisha na nakataa kabisa kuhusu ‘ Dhihaka ‘ za Watanzania wenye Akili nyingi dhidi ya Uelewa na Uwezo wa Maarifa aliyonayo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul C. Makonda basi nilikuwa ni Mimi GENTAMYCINE ila kwa nilichokisikia leo na Mimi sasa rasmi...
Mfanyabiashara ambaye ni Mkazi wa Tandale kwa Tumbo, Ally Makwaya (40) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni kwa kosa la kukutwa na silaha ya moto.
Mwendesha Mashtaka wa Jamhuri, Saada Mohamed, akisoma hati ya mashtaka mbele ya Hakimu Mwamini Kazema, alidai Januari 7...
Nina Jirani yangu Mmoja ana Watoto Saba ( 7 ) ila hakuna hata Mmoja amefanana nae achilia mbali hata Kufanana na Wazazi wake na Ndugu zake lakini anawapenda kweli kweli. Yaani Mimi nizae na Mwanamke Watoto Saba ( 7 ) kama hao halafu hata Mmoja hajafanana nami kwa chochote kile huyo Mwanamke...
Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia, Bunge, Sera, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (Mb), ametangaza punguzo la bei kwa karibu asilimia 50 kwa atakayehitaji kununua nyumba zilizo katika mradi wa nyumba za gharama nafuu zinazomilikiwa na Mfuko...
Announcement Number:
DaresSalaam-2019-041
Hiring Agency:
Embassy Dar Es Salaam
Position Title: Administrative Assistant-OSC (Military Security Asst and Training Coord)-(All interested candidates)
Salary:
TZS TSh37,474,950
Work Schedule:
Full-time - 40 hours a week - work schedule...
Rais John Magufuli amemsimamisha kazi Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Richard Abwao na mkuu wa upelelezi mkoani humo, John Rwamulema kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili.
Taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Novemba 23, 2019 na msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime inaeleza kuwa...
James ni mtoto wa pekee kuzaliwa, wazazi wake walikuwa fukara mno na uzazi uliwapa shida. Mama yake alipata ujauzito akiwa na miaka 40+ bahati mbaya alifariki akiwa anajifungua. Ndugu walimsaidia baba James kumlea mtoto mpaka alipofika umri wa kwenda shule.
Wakati huo mzee umri umesogea akiwa...
Shirika la Reli Tanzania, TRC linawatangazia watu wote kuwa safari za treni la biria kutoka Dar kuelekea Moshi zitarejea rasmi mwanzoni mwa mwezi Desemba mwaka 2019
Nauli Dar - Moshi inategemewa kuwa ifuatavyo:
- Daraja la tatu Tsh. 16,500
- Daraja la pili kukaa Tsh. 23,500
- Daraja la pili...
Mvua iliyonyesha leo Alhamisi Novemba 21, 2019 jijini Dar es Salaam nchini Tanzania imesababisha kifo cha Mwenga Agustino mwenye umri wa miaka 78 katika mtaa wa Stakishari.
Inaelezwa kutokana na maji yaliyokuwa yamezidi katika eneo hilo, Agustino alikuwa akifanya jitihada za kujiokoa kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.