muneera75
Senior Member
- Oct 12, 2019
- 190
- 318
Habari,
Naomba kujuzwa kwa yeyote mwenye experience au hata ambaye hana experience lakini maybe alisikia sehemu kuhusu field mkoa wa Dar es Salaam.
Mambo ninayohitaji kujua:
1: Ofisi zote ambazo mwanafunZi anaweza kufanya field. Private and public offices
2: Changamoto zinazotokea uko field
3: Even advantages
Thanks
Naomba kujuzwa kwa yeyote mwenye experience au hata ambaye hana experience lakini maybe alisikia sehemu kuhusu field mkoa wa Dar es Salaam.
Mambo ninayohitaji kujua:
1: Ofisi zote ambazo mwanafunZi anaweza kufanya field. Private and public offices
2: Changamoto zinazotokea uko field
3: Even advantages
Thanks