Testing for the respiratory illness coronavirus disease 2019 (COVID-19) and the associated SARS-CoV-2 virus can be done by polymerase chain reaction (PCR) testing, nucleic acid tests and ELISA antibody test kits. One study published in February 2020 claims that chest CT scans perform better than PCR tests.
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundikano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa...
Takribani wiki ya tatu sasa mataifa mbalimbali ulimwenguni yamekuwa yakichukua hatua mbalimbali kukabiliana na usambaaji wa Virusi vya Corona nchini mwao.
Virusi hivi vinavyoshambulia mapafu na kusababisha homa kali, mafua, kikohozi pamoja na upumuaji wa shida viliibukia huko China katika Mji...
Convenience, speed, instant gratification… That’s what we want from the Internet. The more we have it, the more we need it. As existing 3 and 4G networks become overworked, providers look to the next big technology solution: 5G. So it’s natural to wonder, what are the health risks of 5G?
Why Do...
Wakuu,
Kwa taarifa nilizo nazo, ni kuwa muda si mrefu Rais Magufuli atalihutubia Taifa.
Kama hii itatokea, itakuwa mara ya kwanza tangu aingie madarakani kuhutubia Taifa.
Tutarajie nini?
Stay tuned...
=======
LIVE:
VIDEO:
Rais Magufuli anasema;
=> Baada ya kuibuka Ugonjwa wa Corona...
Wakuu habari za leo!!
Dunia imekumbwa na janga, na sisi kama Watanzania tumekumbwa tayari. Mambo ni mabaya, na shughuli nyingi zimesimama tayari kuanzia Taasisi za elimu, dini n.k na muda sio mrefu yatatoka matangazo mengine ya kuzuia huduma zingine ikiwemo masoko, safari n.k.
Nimeona leo...
Kirusi cha korona (Corona virus), ni kimelea chenye gamba na kutunza vinasaba vyake katika malighafi za RNA. Corona virus ni kisababishi cha magonjwa mbalimbali na vimelea hivyo vina makabila mbalimbali. Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus) - JamiiForums
COVID-19-...
Watafiti wa vyuo vikuu na taasisi kadhaa za utafiti wa magonjwa ya mlipuko nchini Marekani, wamechapisha utafiti mpya wa kimaabara unaotoa mwanga mkubwa wa namna virusi wa Covid19 wanavyasambaa na kuambukizwa kutoka mtu mmoja hadi mwingine (UKO HAPA). Kwa kuwa sio kila mtu anasoma machapisho ya...
Wakuu hamjambo?
Nimekuwa nafuatilia kuhusu hili gonjwa la Corona kwa wataliano, naona linawapukutusha kama mti unavyopukutisha majani wakati wa kiangazi.
Idadi ya vifo inasoma 400+ kila siku,angalia hii record ya vifo kwa Jana na Leo, ambapo Jana tu uliua watu 475. Leo hii watu takribani 425...
Pakua handbook bure chini katika .pdf format... Very resourceful. Wanajamvi tuweke handbooks zote, video illustrations, and any other pertinet information to share with fellow citizens on how we can prevent and control the coronavirus. This thread is intended to leverage in research and...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesitisha masomo kwa vyuo vikuu na vya kati nchini kuanzia leo March 18, 2020 ili kujikinga na virusi vya Corona, waliofunga wametakiwa kutorudi vyuoni “vyuo vya ualimu vilitakiwa kufanya Mitihani mwezi May, Waziri afanye marekebishisho ya ratiba yao”...
Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona- Zitto
#COVID19TZA Serikali imethibitisha uwepo wa virusi vya Korona Tanzania. Utulivu ni muhimu kwani kukiwa na maandalizi ya kutosha tunaweza kukabili madhara ya mlipuko huu. Nashauri mambo 3 muhimu sana, kwa maoni yangu.
- Tunaona Nchi nyengine kukiwa...
Wanajamvi, hili suala la vipimo vya Corona, hata Marekani wanapambana kuhakikisha vinapatikana nchi nzima kadri ya mahitaji. Trump yeye alilalamikiwa kwa kuzikataa zile walizotoa W.H.O hapo awali.
Lakini leo nimemsikia Waziri Mkuu (na juzi Ummy), akisema sample za wanaohisiwa kuwa na Virusi vya...
The number of Covid-19 cases in the country could rise after three patients suspected to have contracted the coronavirus were isolated on Monday.
Addressing the press, Government spokesperson Col. Cyrus Oguna said in total there are 20 admitted patients who include the three who have since been...
Asubuhi na mapema leo Serikali imesitisha mbio za mwenge mwaka huu 2020 kama moja ya strategy za kukabiliana na ugonjwa wa Corona, COVID-19. Nakubaliana na uamuzi huo lakini hatujajipanga!
Tumesitisha mbio za mwenge ila mipaka ya nchi ipo wazi kuruhusu wageni kuingia na kutoka!
Kama hiyo...
Hali ya maambukizi ya Covid19 duniani hadi kufikia 16/03/2020
Kenya wamethibitisha uwepo wa watu 3 wenye Covid19 na tayari leo Rais Kenyatta katangaza kufungwa kwa shule na taasisi zote za elimu nchini kuanzia kesho.
Pia amefunga mipaka yake kwa raia wa nchi yoyote ambayo imeshatangaza kuwa na...
Rwanda has confirmed the first case of corona virus today
It becomes the 2nd country in East Africa after Kenya yesterday confirmed its first case
DR Congo also confirmed their case in the past few days
Rais Donald Trump ametangaza hali ya dharura kutokana na kuenea kwa virusi vya corona, pamoja na upatikanaji wa karibu dola bilioni 50 kama msaada zaidi wa serikali ya shirikisho kupambana na ugonjwa huo.
Trump ametoa tangazo hilo katika mkutano na waandishi wa habari na kusema kwamba hali...
Maambukizi ya Corona Virus barani Afrika yamefikia 134 baada ya maambukizi mapya manne kuripotiwa Afrika Kusini leo. Hadi sasa watu watatu wamefariki dunia kutoka nchi za Misri, Morocco na Algeria.
Misri ina idadi kubwa zaidi ya waathirika ikifuatiwa na Algeria
====
As coronavirus continues to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.