Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Makonda kasema mtoto wa Mbowe anaumwa Corona. Katika hili katoa siri ya Serikali ambao wahusika wa kutangaza ni Rais, Waziri Mkuu na Waziri wa Afya.
Mbowe kakiri na kusema mwanaye kaipata Dar na sio nje ya nchi.
Wakati huo huo serikali na Rais wamehama Dar na wako Dodoma.
Mara namsikia Makonda anatangaza kupuliza dawa mitaani.
Kwa sasa watanzania tuwe macho Corona iko mitaani Dar na itaenda mikoani soon
Mbowe kakiri na kusema mwanaye kaipata Dar na sio nje ya nchi.
Wakati huo huo serikali na Rais wamehama Dar na wako Dodoma.
Mara namsikia Makonda anatangaza kupuliza dawa mitaani.
Kwa sasa watanzania tuwe macho Corona iko mitaani Dar na itaenda mikoani soon