Wapinzani walianza kidigo kidogo kuchomekea baada ya janga la Corona kuingia nchini baadaye wakamtuma Zito lakini serikari makini imezima kiki zote kwani msemaji mwenye dhamana ni Mh Humi Mwalimu au Waziri mkuu Kassm Majaliwa au makam wa kwanza wa rais mama Samia Hassan kwa sababu chama chao...
Heshima kwenu,
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Kama mwananchi kuna jambo limekuwa likiniumiza sana. Serikali walitenga baadhi ya hoteli kwa ajili ya watu wanaotoka nje kukaa huku wakichunguzwa ugonjwa wa Corona, moja wapo wa hoteli zilizotengwa ni FQ village iko Ukonga Stakishari...
Kwa hapa Tanzania bado tunapima JOTO
Unaweza kuona namna hali isivyo shwari.
Dunia imefikia hapa kwa kutokuwa serious kwetu kuhusu COVID-19 tang mwanzo.
Wakuu, ni ukweli sasa Marekani imenyoosha mikono juu kufatilia kuongoza kuwa na cases nyingii za wagonjwa wa COVID-19 kuliko nchi yeyote duniani!
Hii imepelekea mpaka Trump kumgeukia mhasimu wake wa muda mrefu na hivyo hapa tunavyoongea ndege ya Urusi ya kijeshi aina ya AntonovAN124 upo angani...
Hivi wale watu waliosemaga kuwa black hawafi na korona eti inaogopa ngozi nyeusi wapo wapi?? Alafu bhana kuna black people mweusi kama giza la usiku wa manane kaniambia corona virus haipati blacks huku amevaa mask na kwenye mfuko kabeba sanitizer mbili, jamaa kakohoa karibu nae kanawa mpaka uso...
Wana bodi,nataka kufanya public interest litigation kuchallenge ukaidi wa wizara ya uchukuzi.
Kwanza kabisa Mimi siyo mwanasheria Mimi ni 'mpima ardhi' aka land saveya.
Back kwenye mada, ni hivi kufuatia Kusambaa kwa ugonjwa wa corona (covid 19),hapa nchini kwetu ninakusudia kufungua kesi...
Taasisi za kibeberu zimekaa mkao wa kula,aliyenacho ataongezewa, jamaa wametikisa uchumi wa dunia na sasa wako tayari kukopesha ili kusaidia hali ya mambo iliyokorogeka.
Kutokana na demand kubwa ya kukopa, riba itakuwa juu, na wakopeshaji watachagua wa kukopesha... Kipaumbele watapewa mataifa...
Tazama kipande hiki Cha filamu iliyotengenezwa na kuingia sokoni mwaka 2018. Katika filamu hii virusi vya CORONA vimezungumziwa. Sasa hapo ndo utajua kuwa tamaa ya mchina ndo inayougharimu ulimwengu kwa sasa.
Ukiiangalia kwa haraka haraka utaona kama ni ugonjwa mfano malaria au TB, kumbe ni zaidi ya tufikiliayo waafrika na haswa mataifa ya dunia ya 3
Huu ni zaidi ya ugonjwa tuufikiliavyo kuna watu washapanga yao tena kwa kuwatumia viongozi wakuu wa nchi zilizo maskini na ambazo bajeti zao kwa...
Kwa mwezi mzima, USA ilikua na kesi 15 tu, walidhani wako salama na wameishinda corona!
Siku 22 za kwanza, Italy walikua na kesi tatu tu!!, walidhani wako salama!!!!
Siku 21 za kwanza, Egypt walikua na kesi 3 tu, walidhani hali iko sawa!!!
siku 26 za kwanza, Spain walikua na kesi 7 tu...
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Hospitali ya Wilaya ya Kibaha iliyotengwa kwa ajili ya kuwahudumia watu watakaogundulika na kuwa na maambukizi ya COVID19 ni kituo cha tatu
Vituo vingine ni Temeke Isolation and Treatment Centre, Treatment Centre karibu na Hospitali ya Mloganzila...
Ulipolileta wazo la kuanzisha 'Timu ya Utetezi wa CCM' mitandaoni katika vikao vya kichama ulisifiwa na wazo lako lako likapita. Vijana wakatafutwa na Timu husika ikaundwa ikiwa na jukumu kubwa la kutetea chochote kinachohusu Serikali au CCM au vyote viwili. Timu yetu ya mtandaoni ambayo humu JF...
Hali ya corona yawa mbaya zaidi nchini Marekani.
Visa vya maambukizo vilivyothibitishwa vyazidi 180,000.
Watu zaidi ya 4,000 wamefariki kwa corona, huku jana (31 March) ikiripotiwa idadi kubwa zaidi ya vifo kwa siku, 912.
Ni kweli tangu nijitambue hapa Duniani kwa kuwa na ufahamu sijawahi kuona hofu kama hii inapamba moto Duniani, inaitisha DUNIA kiasi hiki kweli hofu imetawala lakini lazima tuishinde
Nawaombeni vijana wa kitanzania huu si wakati wa kuimba nyimbo za vyama, dini, hadhi au kabila huyu mdudu ni...
Je, inawezekana chanjo ya Virusi vya Corona kupatikana kwa usawa?
Seth Berkley kutoka Muungano unaotoa Chanjo (kulia, karibu na Bill Gates) akitoa wito wa kupatikana kwa chanjo ya Covid-19 kwa kila mmoja
Lakini tayari kuna wasiwasi kuhusu vile suluhisho la virusi vya corona kutoka kwa...
Wakati nchi nyingine wakigawa vyakula bure kwa wananchi wao, kule wilayani Temeke jijini DSM, tayari barua za serikali za mitaa zishaanza kusambazwa kwenye kaya zote za Kata ya Miburani kwamba kila kaya yapaswa kulipia hela za Tanzania shilingi elfu 2 kama gharama ya kupuliza dawa ya kuangamiza...
Mimi ni Mkristo lakini niseme tu viongozi wa msikiti huu ni mfano wa kuigwa na viongozi wengine wote wa dini na ningekuwa na mamlaka, hakika ningewatunuku cheti maalumu cha kutambua mchango wao kwa vitendo katika mapambana na janga hili la corona.
Inawezekana miongoni mwa vongozi wa Msikiti huu...
Waziri wa afya Ummy Mwalimu ametangaza kifo cha mgonjwa wa Corona kilichotokea leo asubuhi katika kituo cha Mlonganzila.
Anakuwa mgonjwa wa kwanza nchini kutangazwa kufa kwa ugonjwa huu.
"Nasikitika kutangaza Kifo cha Kwanza cha Mgonjwa wa COVID-19 hapa nchini Kilichotokea alfajiri ya Leo...
Msikiti wa Ngazija uliopo Posta jijini Dar umefungwa kwa muda wa siku 21 kuanzia tarehe 30/03/2020 hadi 19/04/2020 kama hatua ya kupunguza mikusanyiko ya watu.
Uongozi wa Msikiti umesema Uamuzi huo ni mgumu lakini hauna budi kuchukuliwa ili kuwanusuru waumini na risk ya kuweza kupeana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.