A new lawsuit filed with the International Criminal Court (ICC) accuses China of using coronavirus as a bioweapon. Although the theory has already been debunked in the past, a new complaint filed against Beijing claims the deadly virus was engineered in a lab by Chinese scientists.
The...
Pastor Chris Oyakhilome, founder of Believers Loveworld aka Christ Embassy, has weighed in on recent developments with a theory about Coronavirus and 5G. The clergyman said what is happening is not a pandemic but a plan by people interested in a New World Order to implant digital IDs in people...
Covid-19 ugonjwa usababishwao na Corona virus hadi sasa hauna tiba wala chanjo. Waliopona ugonjwa huu wamepona si kwa kuwa walikuwa wakitibiwa Covid-19 bali zaidi kwa bahati zao na kudra za mwenyezi Mungu.
Ugonjwa huu unaua. Hata aliyeugua akapona, anaweza kuugua tena na tena, akapona tena au...
EUGENICIST AND POPULATION CONTROL ADVOCATE BILL GATES SAYS UNITED STATES MUST SHUT DOWN FOR A MINIMUM OF 10 WEEKS RIGHT NOW TO BEAT CORONAVIRUS
Bill Gates laid out a 3-step process the U.S. government must take to help curb the COVID-19 outbreak that could kill between 100,000 and 240,000...
Tanzania imeboresha hatua za kuchukuliwa ili kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya #CoronaVirus kwa Wasafiri na kujuisha hatua za usafirishaji wa bidhaa na huduma
Watanzania na wageni wanaoishi nchini wametakiwa kutosafiri kwenda nchi zilizoathiriwa kama hakuna ulazima. Wasafiri wote watakaoingia...
Kwa wapenzi wa filamu za disney bila shaka watakuwa wameshawahi kuitazama hii filamu. kiufupi inamhusu binti aitwaye Rapunzel kutoka familia ya kifalme alitekwa akiwa mdogo kwa sababu ya uwezo wa nywele zake ambazo zilikuwa na uwezo wa ajabu wa ku deaging, kuponya etc.binti huyu anatokea kwenye...
Wanabodi
Wale wenye nafasi, fuatilieni Kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari ambacho kiko Live on Star TV. Kipindi cha leo, Msemaji Mkuu wa Serekali, Dr. Hassan Abbas, Anazungumzia Wajibu wa Vyombo Vya Habari Kwenye Kuripoti Janga la Ugonjwa wa Corona.
Kipindi kinaongozwa na Nguli Dotto...
Habari za Kwako Mwana Jamii Mwenzangu!
Natumaini upo poa na unaendelea kujikinga na Corona iliyokuja kwa kasi 2020, Natumaini Mungu atatuvusha!
Wakati China wakiwa wamefunga milango yao na wamerudi makazini na shughuli zikiwa zinaendelea kama kawaida ( masks, sanitizers, kupimwa joto la mwili...
Askari watano wa Rwanda wamekamatwa baada ya wakazi wa kitongoji cha mji mkuu wa Kigali kudai waliwabaka wanawake walipokua wakitekeleza sheria ya kukaa nyumbani iliyowekwa kote nchini humo ili kuzuwia mambukizi ya Covid-19, limesema jeshi la Rwanda.
Wakazi wa kitongoji cha Nyarutarama...
Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona- Zitto
#COVID19TZA Serikali imethibitisha uwepo wa virusi vya Korona Tanzania. Utulivu ni muhimu kwani kukiwa na maandalizi ya kutosha tunaweza kukabili madhara ya mlipuko huu. Nashauri mambo 3 muhimu sana, kwa maoni yangu.
- Tunaona Nchi nyengine kukiwa...
Ni rahisi kuhisi kuzidiwa na kila kitu unachosikia kuhusu #COVID_19. Inaeleweka pia ikiwa watoto wako wanahisi wasiwasi. Watoto wanaweza kupata shida kuelewa kile wanachokiona mtandaoni au kwenye Runinga - au kusikia kutoka kwa watu wengine - kwa hivyo wanaweza kuwa katika hatari ya kuhisi...
Waafrika kusini mwa jangwa la Sahara ni wahanga wakubwa wa umaskini (poverty), magonjwa ya kuambukiza kwa njia ya hewa kama TB, flu kali kabisa. Magonjwa haya yamezoeleka sana ndani ya jamii hizi lakini hakuna watu wanaoyaundia task forces ili kujua nani ana flu na TB na nani amekufa ili...
Katika mwendelezo wa Vita ya kupambana na CORONA (COVID-19),inaonekana dhahiri kwamba nchi za Kidemocrasia (Democratic countries) zimelemewa mno na hili janga
zikiongozwa na Marekani na Ulaya kwa Ujumla,tofauti na mitazamo ya wengi hapo mwanzo kwamba pengine China kama Epicenter ya mlipuko huu...
Nadhan Taifa lolote linahitaji watu kama hawa wanaoweza kusema na kuwaambia ukwel pale viongozi wa juu wanapofanya makosa, bila hiana wala uoga.
Huyu jamaa ukimwangalia alichokizungumza ni facts,
Plz watch out!
Habari zenu wakuu
Tunaanza weekend sio mbaya nikija story nyepesi nyepesi mimi ninatokea kanda maalumu kwa asili ila nimezaliwa DSM na niko hapa maisha yangu yote sasa tokea tuko wadogo tulikuwa tunaenda likizo baba alikuwa anatupeleka hiyo tabia ninayo mpaka leo nikiwaga likizo naendaga kwetu...
Katibu mkuu wa TEC padre Dr Charles Kitima amesema ili kuendana na maelekezo ya wizara ya afya katika kuikabili corona Kanisa Katoliki limebadili taratibu kadhaa za kiibada siku ya alhamis ya amri (kuu) na Ijumaa kuu.
Alhamisi zoezi la kiibada la kuoshwa miguu halitafanyika na Ijumaa kuu...
Yakiwemo maji yanayotiririka na sabuni au sanitilizer. Aidha iwe lazima baada ya COVID-19 kuisha maeneo yote yanayokusanya idadi kubwa ya watu yawe na mapipa madogo ya kuweka taka na iwe marufuku kubwa kwa yeyote kuonekana na taka katika eneo lake la biashara.
Maeneo kama vile
- Maduka Makubwa...
Trump ameamua kujaribu kuhamisha mjadala wa vifo vya wamarekani 5,112 waliokufa na Corona kwa kuitishia Iran.
Trump, kwenye akaunti ya tweeter amedai kuwa Iran na mawakala wake wanapanga kushambulia majeshi ya Marekani nchini Iraq
Trump ameshindwa kabisa kupambana na Corona sasa ameamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.