Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 7,802
- 20,761
Hivi wale watu waliosemaga kuwa black hawafi na korona eti inaogopa ngozi nyeusi wapo wapi?? Alafu bhana kuna black people mweusi kama giza la usiku wa manane kaniambia corona virus haipati blacks huku amevaa mask na kwenye mfuko kabeba sanitizer mbili, jamaa kakohoa karibu nae kanawa mpaka uso na sanitizer chupa nzima namulizaga vipi imekuahe au we si black anadai eti amenawa uso kuzuia mafua na kifua tu hawezi patwa na corona. Jamaa si kakohoa tena yule black ka mind anasema ukikohoa tena on my face tunashuka wote unaposhuka utanijua mimi ni nani
Uzi huu ni maalum kutupia picha za kuwapa moyo na kuwafurahisha wenzetu walio kuwa quarantined
Uzi huu ni maalum kutupia picha za kuwapa moyo na kuwafurahisha wenzetu walio kuwa quarantined