Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,987
- 144,319
Mimi ni Mkristo lakini niseme tu viongozi wa msikiti huu ni mfano wa kuigwa na viongozi wengine wote wa dini na ningekuwa na mamlaka, hakika ningewatunuku cheti maalumu cha kutambua mchango wao kwa vitendo katika mapambana na janga hili la corona.
Inawezekana miongoni mwa vongozi wa Msikiti huu hakuna mwenye elimu kubwa kubwa (madokta, n.k) lakini wamefanya maamuzi ambayo yamewashinda viongozi wengine wa dini wenye elimu kubwa za udokta, n.k.
Hogereni sana!
Inawezekana miongoni mwa vongozi wa Msikiti huu hakuna mwenye elimu kubwa kubwa (madokta, n.k) lakini wamefanya maamuzi ambayo yamewashinda viongozi wengine wa dini wenye elimu kubwa za udokta, n.k.
Hogereni sana!