Kichwa cha habari chahusika .
Natambua juhudi zote za kila mmoja ikiwa ni pamoja na serikali na Taasisi mbalimbali , zinazofanyika kwenye kuzuia na kupunguza na bila shaka kuondoa kabisa ugonjwa wa hatari wa virusi vya COVID - 19 , naunga mkono juhudi hizo kwa vitendo baada ya mimi pia
kugawa...
Waziri wa habari wa Zanzibar amezuia mikutano yote ya waandishi wa habari na mtu yoyote mwenye jambo la kuhabarisha Umma basi alifikishe ofisi ya Maelezo na waandishi watatumiwa taarifa.
Source: Clouds tv
Nimeikuta hii kwenye makala moja ya kitabibu kwamba kirusi cha corona kinachosababisha ugonjwa wa Covid 19 kina uwezo wa kusafiri umbali wa futi 13.
Hivyo wataalamu hao wanashauri kàtika mkusanyiko wowote umbali kati ya mtu na mtu kwa kila upande ili kujilinda na maambukizi ni lazima uwe mita 4...
Walitabiri wiki tatu zilizopita ikifika pasaka waafrika weusi watapuputika kama Nzi kwaugonjwa wa Corona na walikuwa wanasubiri kwa hamu sana itokee. Hadi jana walishangaa masela bado tunadunda tuu licha ya kujisaidia porini na vichakani na IQ zetu mbovu zenye Mushkheli.
Kuna kahusuda fulan...
Shirika la Afya Duniani(WHO) limeeleza kuwa watumiaji wa Sigara na Tumbaku wako kwenye hatari zaidi endapo Watabeba virusi kwenye viganja vyao
WHO imesema kuwa kitendo cha uvutaji wa Sigara na Tumbaku kinahusisha mikono kugusa mdomo hivyo ni rahisi kupata maambukizi endapo mvutaji hakuzingatia...
Kama ulidhani ujio wa hili Janga Kubwa na baya Ulimwenguni la CORONA halina Faida kwa upande mwingine utakuwa umekosea sana na unajidanganya mno. Katika hali isiyokuwa ya Kawaida Serikali ya Afrika Kusini kupitia Waziri wa Polisi Bwana Bheki Cele amekishukuru kupita maelezo Kirusi kibaya cha...
Mji wa Wuhan , mji wenye idadi ya watu takribani milioni 6 . Mji wa Wuhan unapatikana katika jimbo la Hubei.Ni miongoni ya miji mizuri zaidi nchini China, Kwa mengine kuhusu mji huo 👇👇👇👇👇
Taifa teule la Israel laendeleza mapambano dhidi ya corona huku likiwa limerikodi visa zaidi ya 10,800 na vifo 103.
Hata hivyo maabara za nchi hiyo zimekumbwa na uhaba wa vifaa vya kupimia corona, na hivyo kupunguza upimaji wa watu wenye kuonesha dalali za ugonjwa huo. Mamlaka yatarajia kuanza...
Baraza la Congress la Marekani limemwandikia barua Tedros Adhamon ambaye ni DG wa WHO likimtuhumu kuisaidia China kwenye mpango wake wa siri kueneza COVID19 duniani kwa Makusudi.
Jisomee mwenyewe hapa👇:
April 9, 2020
Dr. Tedros Adhanom Ghebreyesus
Director-General
World Health Organization
20...
Napenda kuwajibu hao wanaosema kuwa Africa tutakuwa katika hali mbaya zaidi kuliko hata Italy, France na Germany.*
Ni nani asemaye neno na likatimia ikiwa Bwana hakuliagiza? MAOMBOLEZO 3:37-38
1. Usisahau kuwa ni katika Africa ambapo Mungu alimtajirisha Abraham (Misri)
2. ISAKA alitembelea...
Sijawahi kuona Pasaka ambayo Wachungaji na Makasisi wengi ' Wamenuna ' na wana ' Hasira ' hata Nyusoni mwao kama hii ya leo. Kuna Kanisa Moja Wilayani Kinondoni Siku zote Saa 2 Asubuhi huwa ' limeshafurika ' Waumini na Sadaka yake kwa Siku hufikia Shilingi Milioni hata Tatu hadi Nne ila cha...
Ni juavyo mimi wafanyakazi wa Mashirika Binafsi ya Utalii yameandhirika sana na janga la Corona. Mashirika mengi yameshindwa kulipa mishahara, hivyo mengine yanaishia kulipa sehemu ya mshahara na mengine kutokulipa kabisa kwa miezi kadhaa ijayo kwani haijulikani janga hilo litachukua muda...
Wanabodi,
Heri ya Pasaka.
Naangalia Live ya Pasaka kwe Wasafi TV, kipindi kinaendeshwa na Mtangazaji mahiri Lilian Mwasha ila kiukweli somo la social distancing bado halijaeleweka. Kama hii ndio media iliyopaswa kuonyesha mfano wa social distancing, lakini wao ka Studio kadogo wanarundikana watu...
Rais Magufuli kwa mara nyingine nakuletea ushauri ambao ni nadra kuupata toka kwa wanaojipendekeza kwako kwa maslahi yao.
Kwa bahati mbaya pana watu gonjwa hili la Corona wamelifanyia siasa kwa maslahi binafsi. Busara na hekima vimewekwa pembeni kujaribu kuifanya jamhuri ya Tanzania kuwa ni...
Nimeshindwa kuelewa kwanini wametuweka katika kundi hili! Nika google na kupata hasa wanamaanisha nini. see below:
WHO USES EXISTENTIAL THREAT?
The phrase existential threat gets used when the continued existence of something is perceived to be at stake due to some force or action.
Pascal...
Ukitaka maji utakwenda Kisimani na Ukitaka Mchicha utakwenda Shambani…, Sidhani kama itakuwa busara kuomba ushauri wa kiimani kwa daktari, vilevile busara itakwambia mambo ya kiafya huenda mchungaji au mtu wa Imani asiwe sahihi kuliko daktari kwa ushauri muafaka. Wataalamu wa Imani ni madaktari...

BERLIN, UJERUMANI
WATAFITI katika Chuo Kikuu cha Göttingen nchini Ujerumani wametahadharisha kuwa huenda visa vya maambukizi ya virusi vya Corona duniani vimepindukia mamilioni kwa mamilioni.
Watafiti wanasema kufikia sasa ni asilimia 6% tu ya mambukizi hayo ambayo yamegundugulika...
AU report estimates 20 million job loses in Africa due to coronavirus
A recent African Union (AU) study reveals that about 20 million jobs are at risk on the continent as a result of the impact of the coronavirus pandemic.
Most African economies are projected to shrink this year due to the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.