Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Habari hii inaweza isiwahusu wanandoa.
Wale Kadamnasi hali ni tete wale wa Uganda/Kenya/Ghana kwenye full lockdown wameamua kulia ama kutoa vilio vyao kupitia mitandaoo
Nimeona Ghana Raisi akitoa hotuba mabinti wanaandika tunaomba Mh. President tuko horny sana tukazibuliwe hata nusu saa tu
Wengine wanaomba Serikali walinde mabwana zaoo, masugar mumy wanatesa mabwana zao
Lockdown inahusisha upya bikira za watu soon
Na huku Tanzania bado hamjaathirikaa ee?
Wale Kadamnasi hali ni tete wale wa Uganda/Kenya/Ghana kwenye full lockdown wameamua kulia ama kutoa vilio vyao kupitia mitandaoo
Nimeona Ghana Raisi akitoa hotuba mabinti wanaandika tunaomba Mh. President tuko horny sana tukazibuliwe hata nusu saa tu
Wengine wanaomba Serikali walinde mabwana zaoo, masugar mumy wanatesa mabwana zao
Lockdown inahusisha upya bikira za watu soon
Na huku Tanzania bado hamjaathirikaa ee?