corona

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Kupaa kwa bei ya sukari DSM shida ni upungufu au panic purchase?

    Wakuu amani ya bwana iwe nanyi! Toka juzi zimeanza tetesi kwamba bei ya sukari inapanda nasema ni tetesi kwasababu sikuwa na uhakika. Jana nikiwa ofisini nilimsikia bosi wangu akimpigia simu mwanaye akanunue sukari kilo 20, nikamuuliza mbona unanunua kilo nyingi hivyo (maana najua kwake hana...
  2. M

    Mikoa yenye maambukizi makubwa corona iwekewe quarantine na vizuizi vya upimaji

    Naishauri serikali, kuwepo na gates kwa ajili ya kupima wasafiri waingiao na watokao katika mikoa hiyo. Mfano Dar, gate za upimaji abiria wote ziwekwe kwenye njia zote za mabasi yaingiayo na kutoka Dar, hali kadhalika kwa mikoa yote, hii itasaidia kufanya mass testing na kuzuia uenezi kwenye...
  3. simplemind

    University of Nairobi imependekeza 2.5 % ya mfuko (funds) wa Covid ugharamia utafiti wa Corona

    The University of Nairobi has proposed that 2.5 per cent of funds mobilised to fight Covid-19 be channelled towards the development of diagnostics, therapeutics and vaccines. The university, in a memo to the Senate’s ad hoc Committee on the Covid-19 Situation, further called for tax exemptions...
  4. B

    Vita dhidi ya Corona, Bunge sitisheni vikao sasa

    Wamesikika kina Mwigulu bungeni wakiitisha taarifa za wagonjwa wa Corona kufichwa. Hii ni kwa manufaa ya nani? Ndugu wabunge mnaoendelea na vikao hapo bungeni nyote kabisa bila kujali vyama vyenu hamuoni kuwa mnatusaliti sisi wananchi wenu? Mwalimu (RIP) alisema kwa hivi: "nyote nani ga...
  5. Mzukulu

    Wenye Mamlaka nchini Tanzania mnatuhangaisha mno Wananchi wenu hasa kuhusu Uvaaji wa Mask na CORONA

    Kuna Tangazo la Redioni nalisikia karibu katika Redio zote Kubwa nchini ambalo linatoka katika Mamlaka husika linasema kuwa Uvaaji wa Barakoa ( Masks ) ni kwale Walioathirika tu na Maambukizi ya COVID-19 na Wanaowahudumia na si kwa Watu wengine na kwamba wakifanya hivyo watakuwa wanajihatarishia...
  6. mathsjery

    Ushairi wangu juu ya corona

    Ubeti wa kwanza: Ni corona inapita, hata ukunje zo ndita, Hakuna alo-iita, labda ni wewe pita, Na uchumi wazorota, wapi pesa nitapata. Nilichobakiwa nacho, barakoa mdomoni. Ubeti wa pili: Baada ya saa 48,..... nitaendelea
  7. byeyombo

    Vita dhidi ya Corona, Wakenya wabuni barakoa zao

  8. Roving Journalist

    RC Makonda: Dar es Salaam tumetenga hospitali 25 kuhudumia wenye dalili za Corona na mh Rais Magufuli ametupa magari ya wagonjwa 20 yote mapya

    Mkuu wa mkoa wa DSM Mh. Makonda amesema mkoa wake umetenga hospitali 25 jijini zikiwemo zile za Rufaa na baadhi ni binafsi ili kuhudumia watu wote wanaojihisi wana dalili za corona. Makonda amesema ukifika katika hospitali hizo utapimwa magonjwa mengine yote na ukionekana uko salama ndipo damu...
  9. M

    Hii Twitter ya Trump akiipongeza China kwa kupambana dhidi ya Corona wamemuona mnafiki

    President Trump kaifutia WHO msaada wa fedha akidai WHO imekuwa upande wa China kwa kuipongeza kwenye kupambana na Coronavirus. Cha ajabu hata yeye aliisifia China January 24.
  10. G Sam

    Ni Corona ipi serikali ya Tanzania inapambana nayo? Wapi? Kwa kina nani?

    Nimefanikiwa kusikiliza "audio clip" ya mtu anayedaiwa kuwa ni Gloria Michael ambaye bila shaka ni mtangazaji wa TBC. Katika hiyo sauti iliyorekodiwa inaonekana dada huyu anakiri wazi kuwa amejiridhisha kuwa ana kila dalili inayoonyesha anaugua COVID 19 na kwa sasa yanaendelea vyema. Dada...
  11. Inside10

    Askofu Bagonza: Vita ya Kagera VS Corona

    VITA YA KAGERA Vs CORONA Wakati wa vita ya Kagera, Baba wa Taifa akiwa Rais wa Tanzania, alilazimika kufanya mabadiliko ya uongozi wa Mkoa wa Ziwa Magharibi. Mkoa huu ulikuwa katika eneo la msitari wa mbele vitani. Alimuondoa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa na kumteua mwingine anayendana na mabadiliko...
  12. Cvez

    Museven katika hii Corona anacheza kama Pele

    Katika hili janga la Corona Mh Museven aneonyesha nini maana halisi ya kua kiongozi na kusimamia usalama wa wananchi wake... Na kutoa miongozo ya changamoto mbalimbali yenye tija kwa nchi. Sina maana hiyo lakini....
  13. Corticopontine

    Marekani inataka kujiondoa kuwa Mwanachama kuficha idadi ya wagonjwa wa Corona na vifo kusitisha mchango wake WHO ni mwanzo wa Safari

    Kwa mnaofuatilia siasa za Marekani huwa hayuko tayari. Kukubali kushindwa anapopata aibu hutafuta wa kumsingizia ili yy aendelee kuilinda heshima take kwa propaganda Mmarekani amesema atafikia kilele cha maambukizi wiki hii huku akijua wazi mdudu huyu haonekani na hatabiriki kwa hiyo mmarekanii...
  14. M

    Misaada ya corona yafikia bil. 6.726/-

    MISAADA ya kusaidia Serikali kukabiliana na janga la corona imeendelea kumiminika na kufikia zaidi ya Sh. bilioni 6.726, ikiwa ni fedha taslimu na vifaa. Jana Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, alipokea hundi ya mfano ya Sh. milioni 500 kutoka kampuni ya Export Trading Group (ETG) kwa ajili ya...
  15. J

    Unafanyaje kuimarisha kinga ya mwili kipindi hiki cha mlipuko wa COVID-19?

    Ugonjwa wa Corona Virus (COVID-19) huathiri zaidi wale ambao kinga yao ya mwili iko chini kama wazee, wajawazito na wale wenye hali nyingine za kiafya kama magonjwa ya pumu na mengine ya mfumo wa upumuaji. Tumekuwa tukipeana mbinu za kujikinga na ugonjwa kama kunawa, kutoshika uso, kukaa ndani...
  16. Kaduguda

    Rais Trump asitisha ufadhili wa Marekani kwa Shirika la Afya Duniani (WHO)

    Rais wa Marekani Donald Trump amesitisha mchango wa kifedha ambao Marekani imekuwa ikiutoa kwa Shirika la Afya Duniani WHO kufuatia namna walivyolichukulia suala la COVID-19. Pia WHO wanalaumiwa kwa kuchelewa kutoa taarifa za mlipuko wa ugonjwa huo kwa mataifa mengine kwa wakati. Amewaambia...
  17. Kafrican

    Ndani ya Hospitali Inayotibu Wagonjwa wa Corona Nchini Kenya

    Hospitali hii ina shughulikia jumla ya wagonjwa 123 walio na corona, duh, mambo yanatisha hapo ndani kazi si mchezo
  18. E

    INAUZWA Moderm bei inauzwa nafuu

    Nauza moderm zifuatazo bei poa. MODERM ya Airtel no mpya nauza 30,000/+ moderm ya Vodacom yenye namba juu ni 20,000/- na nyenzake pia ya Vodacom ni 15,000/- Karibuni Sana nipo DSM 0625610791 & 0713373875
  19. The Assassin

    Mchungaji aliedai Corona ni kagonjwa kadogo mbele ya Mungu, amefariki kwa Corona

    Mchungaji Bishop Gerald Glenn wa kanisa la New Deliverance Evangelistic Church huko Virginia Marekani ambae alidai corona ni kagonjwa kadogo mbele ya Mungu amefariki sababu ya corona. Mchungaji huyo alikua akisisitiza watu kuomba na wasiogope ugonjwa wa corona kwa sababu si chochote wala lolote...
  20. Pdidy

    Madhara ya Corona na Mapenzi/Mahusiano

    Habari hii inaweza isiwahusu wanandoa. Wale Kadamnasi hali ni tete wale wa Uganda/Kenya/Ghana kwenye full lockdown wameamua kulia ama kutoa vilio vyao kupitia mitandaoo Nimeona Ghana Raisi akitoa hotuba mabinti wanaandika tunaomba Mh. President tuko horny sana tukazibuliwe hata nusu saa tu...
Back
Top Bottom