moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,900
- 4,865
Napenda kuwajibu hao wanaosema kuwa Africa tutakuwa katika hali mbaya zaidi kuliko hata Italy, France na Germany.*
Ni nani asemaye neno na likatimia ikiwa Bwana hakuliagiza? MAOMBOLEZO 3:37-38
1. Usisahau kuwa ni katika Africa ambapo Mungu alimtajirisha Abraham (Misri)
2. ISAKA alitembelea Africa na akabarikiwa.
3. Ni katika Africa ambapo Yakobo alikimbilia akabarikiwa wakati dunia nzima ilipigwa na njaa.
4. Ni katika Africa Yusufu aliinuliwa na kuwa waziri mkuu (Misri)
5. Ni katika Africa ambako wana wa Israel walipona na mapigo ya Mungu yaliyowapata dunia nzima.
6. Ni katika Africa ambako Musa alizaliwa na akawa mkuu sana ili kuwaokoa wana wa Israel
7. Ni katika Africa ambako wana wa Israel walibeba (mali) fedha, dhahabu na vito vya thamani ili kujengea hema ya kukutania
8. NI KATIKA AFRICA AMBAKO MKOMBOZI WETU *YESU* ALIPATA KIMBILIO WAKATI HERODE ALIPOTAKA KUMUUA AKIWA MTOTO MCHANGA. *Africa ni sehemu ya Makimbilio.*
9. Bwana Yesu alipokuwa akielekea kusulubiwa, ni Mtu Mwafrica (Simon wa Kirene) aliyemsaidia kuubeba msalaba. ( *Africa imeugusa msalaba* )
Ninapinga na kukataa kila neno baya linalotamkwa dhidi ya Africa. Kwa jina la Bwana Wetu Yesu Kristo Aliye Hai.
Wazungu wanamahospitali makubwa yaliyojaa kila aina ya dawa, lakini *AFRICA TUNAYE MUNGU MWEZA WA YOTE *
*ZABURI 91: 1.7* Mabaya hayatakupata, wala tauni haitakaribia katika hema yako
*EXODUS 23:25.* Nanyi mtamtumikia BWANA, Mungu wenu, naye atakibarikia chakula chako, na maji yako; nami nitakuondolea ugonjwa kati yako.
*Isaya 60:2* Tazama giza litaifunika dunia, na giza kuu litafunika kabila za watu bali Bwana atakuzukia wewe. Utukufu utaonekana juu yako.
Zaidi ya yote tufuate maelekezo ya serikali bila kuyapuuza na tuishi kwa tahadhari. Na pia usipoze imani kwa Mungu wako
Ukiamini haya basi sambaza kwa wengine ili washuhudie uweza wa MUNGU WETU
Ubarikiwe sana mwana wa MUNGU
Ni nani asemaye neno na likatimia ikiwa Bwana hakuliagiza? MAOMBOLEZO 3:37-38
1. Usisahau kuwa ni katika Africa ambapo Mungu alimtajirisha Abraham (Misri)
2. ISAKA alitembelea Africa na akabarikiwa.
3. Ni katika Africa ambapo Yakobo alikimbilia akabarikiwa wakati dunia nzima ilipigwa na njaa.
4. Ni katika Africa Yusufu aliinuliwa na kuwa waziri mkuu (Misri)
5. Ni katika Africa ambako wana wa Israel walipona na mapigo ya Mungu yaliyowapata dunia nzima.
6. Ni katika Africa ambako Musa alizaliwa na akawa mkuu sana ili kuwaokoa wana wa Israel
7. Ni katika Africa ambako wana wa Israel walibeba (mali) fedha, dhahabu na vito vya thamani ili kujengea hema ya kukutania
8. NI KATIKA AFRICA AMBAKO MKOMBOZI WETU *YESU* ALIPATA KIMBILIO WAKATI HERODE ALIPOTAKA KUMUUA AKIWA MTOTO MCHANGA. *Africa ni sehemu ya Makimbilio.*
9. Bwana Yesu alipokuwa akielekea kusulubiwa, ni Mtu Mwafrica (Simon wa Kirene) aliyemsaidia kuubeba msalaba. ( *Africa imeugusa msalaba* )
Ninapinga na kukataa kila neno baya linalotamkwa dhidi ya Africa. Kwa jina la Bwana Wetu Yesu Kristo Aliye Hai.
Wazungu wanamahospitali makubwa yaliyojaa kila aina ya dawa, lakini *AFRICA TUNAYE MUNGU MWEZA WA YOTE *
*ZABURI 91: 1.7* Mabaya hayatakupata, wala tauni haitakaribia katika hema yako
*EXODUS 23:25.* Nanyi mtamtumikia BWANA, Mungu wenu, naye atakibarikia chakula chako, na maji yako; nami nitakuondolea ugonjwa kati yako.
*Isaya 60:2* Tazama giza litaifunika dunia, na giza kuu litafunika kabila za watu bali Bwana atakuzukia wewe. Utukufu utaonekana juu yako.
Zaidi ya yote tufuate maelekezo ya serikali bila kuyapuuza na tuishi kwa tahadhari. Na pia usipoze imani kwa Mungu wako
Ukiamini haya basi sambaza kwa wengine ili washuhudie uweza wa MUNGU WETU
Ubarikiwe sana mwana wa MUNGU