Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,919
- 15,604
Taifa teule la Israel laendeleza mapambano dhidi ya corona huku likiwa limerikodi visa zaidi ya 10,800 na vifo 103.
Hata hivyo maabara za nchi hiyo zimekumbwa na uhaba wa vifaa vya kupimia corona, na hivyo kupunguza upimaji wa watu wenye kuonesha dalali za ugonjwa huo. Mamlaka yatarajia kuanza kutengeneza vifaa vyake vya kupimia kwa material zinazopatikana nchini humo.
Pia Israel imeamua kupiga magoti kwa Uturuki, ikiomba msaada wa vifaa tiba vya kupambana na corona licha ya mahusiano mabaya yaliyopo baina ya nchi hizo mbili kutokana na manyanyaso ya Israel kwa wapalestina. Pamoja na mahusiano hayo mabovu, na pia Uturuki kuwa imeombwa msada wa aina hiyo na nchi nyinginezo takriban 100, Uturuki imeamua kuisaidia Israel.
Baadhi ya miji nchini Israel ipo kwenye lockdown/watu kuzuiliwa kuzagaa zagaa nje. Uvaaji wa mask umesisitizwa ili kupunguza maambukizi.
============
Hata hivyo maabara za nchi hiyo zimekumbwa na uhaba wa vifaa vya kupimia corona, na hivyo kupunguza upimaji wa watu wenye kuonesha dalali za ugonjwa huo. Mamlaka yatarajia kuanza kutengeneza vifaa vyake vya kupimia kwa material zinazopatikana nchini humo.
Pia Israel imeamua kupiga magoti kwa Uturuki, ikiomba msaada wa vifaa tiba vya kupambana na corona licha ya mahusiano mabaya yaliyopo baina ya nchi hizo mbili kutokana na manyanyaso ya Israel kwa wapalestina. Pamoja na mahusiano hayo mabovu, na pia Uturuki kuwa imeombwa msada wa aina hiyo na nchi nyinginezo takriban 100, Uturuki imeamua kuisaidia Israel.
Baadhi ya miji nchini Israel ipo kwenye lockdown/watu kuzuiliwa kuzagaa zagaa nje. Uvaaji wa mask umesisitizwa ili kupunguza maambukizi.
============