Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana yupo madarakani toka 88Huyu jamaa ni Akili kubwa kuliko ata trump
CC Zero IQ
78Ndio maana yupo madarakani toka 88
M7 alisaidia vita toka tz mkuu au nikumbushe maana dada alimtoa obote.ivi baada ya dada si ndo m7 au aliendelea tena milton.
Either way akiruhusu mabenki yadai pesa sake waliokopa watakua wanafilisika at the end of the day kama ni kiwanda itakua shutdown na wafanyakazi watakosa kazi...so local dwellers pia watakua affected plus hakusema anawalipia au wasilipe but wapewe grace period.Uchumi huwa Ni fumbo kubwa sana, alivyoamru mabenki yasidai madeni hamjui mabenki Ni biashara za watu wamewekeza mitaji?
Ameandaa relief yoyote kuzilipa benki ambazo hazitakusanya marejesho ya mikopo?
Acheni kushangilia jamani the impact will result in collapse of commerce within the territory.
Tayari ukianza kugusa benki umeaingia kwenye economic tile chasing game. The effects will hit on the local dwellers.
Sent using Jamii Forums mobile app
M7 alisaidia vita toka tz mkuu au nikumbushe maana dada alimtoa obote.ivi baada ya dada si ndo m7 au aliendelea tena milton.
In the times of disaster, the person with military background is better equipped to manage..., You can be a better commander in times of war and worse in times of peace....
Wakati Dada anatawala M7 alikuwa kwenye vikundi vidogo vya waasi akiendeleza harakati chini kwa chini. Mara baada ya Nduli kutolewa na majeshi ya Nyerere, akaingia Yusuf Lule, ambaye hakukaa sana Obote akarudi madarakani. Obote alikuja kupinduliwa kwa mara ya pili, safari hii akipinduliwa na Titto Okelo. M7 alikuja kuingia madarakani 1986 kwa kumpindua Titto Okelo.M7 alisaidia vita toka tz mkuu au nikumbushe maana dada alimtoa obote.ivi baada ya dada si ndo m7 au aliendelea tena milton.
Museveni kaanza kushika madaraka 29 January 1986.M7 alisaidia vita toka tz mkuu au nikumbushe maana dada alimtoa obote.ivi baada ya dada si ndo m7 au aliendelea tena milton.
Ww hapo ulikua unashauri afanyaje sasa mkuu....?Uchumi huwa Ni fumbo kubwa sana, alivyoamru mabenki yasidai madeni hamjui mabenki Ni biashara za watu wamewekeza mitaji?
Ameandaa relief yoyote kuzilipa benki ambazo hazitakusanya marejesho ya mikopo?
Acheni kushangilia jamani the impact will result in collapse of commerce within the territory.
Tayari ukianza kugusa benki umeaingia kwenye economic tile chasing game. The effects will hit on the local dwellers.
Sent using Jamii Forums mobile app