Hebu acheni ujinga wa kutuchangisha michango ya harusi wakati hakutakuwa na sherehe yeyote kwa mwaka mzima huu. Kama kuna ulazima wa sherehe basi hamtazidi watu kumi
Sasa MC, buffet, DJ, Ukumbi, Mapambo, magari ya kukodi, etc kwa ajili ya nini?
Naomba mnipotezee na vikao vyenu vya Whatsapp!
Mkuu wa Taasisi inayotengeneza chanjo ya #COVID19 Dkt. Rick Bright amesema ametolewa katika nafasi hiyo baada ya kupinga tiba ya Chloroquine ambayo imepewa kipaumbele na Trump
Dkt. Bright amesema amepewa cheo cha chini kwenye Taasisi ya Kitaifa ya Afya na anaamini uhamisho huo umetokana na yeye...
Madreva 2 zaidi wa magari ya mizigo kutoka Tanzania kuelekea Kampala nchini Uganda wamekutwa na virusi vya corona baada ya vipimo mpakani imese taarifa ya wizara ya afya ya Uganda.
=====
Uganda has confirmed two new Covid-19 cases, bringing the country's total to 63.
The new cases were...
April 16/4/2020 Rais John Magufuli aliandika ujumble katika ukurasa wake wa Twitter akiwaomba Watanzania kufunga na kuomba kwa kipindi cha Siku tatu aliandika, Ndugu zangu Watanzania, kutokana na ugonjwa wa Corona, nawaomba tutumie siku 3 za kuanzia tarehe 17- 19 Aprili, 2020 {Ijumaa, Jumamosi...
Tunaelewa umuhimu wa jiji la Dar es Salaam katika maisha ya Watanzania na nchi jirani. lakini kwenye hili suala la corona hakuna kuzubaa tena. Mamlaka husika iweke utaratibu mzuri wa kulibana hili jiji ili kuzuia na kupunguza kabisa kasi ya usambaaji wa covid19.
KWANINI NIMEWAZA HIVYO...
If you play this song to a person who is possessed by evil spirits, the evil spirits will leave him immediately.
If your house or premise is harrassed by evil spirits then pray this song and the evil spirits will delay not to promptly leave Ur house.
Another virtue of this song is that if u...
Wanabodi,
Hii vita ya Corona Tanzania inakumbana na twists and turns za ajabu ajabu!, kwa vile huu ni mlipuko wa ugonjwa, ilitegemewa madaktari Bingwa ndio wangekuwa wakombozi wa taifa letu kwenye janga hili, lakini kwa Tanzania ni maajabu matupu, badala ya Madaktari Bingwa wa Tiba! kuwa...
Asema watu waende wapate kikombe amesema hakuna ugonjwa unaoshindikana kutibika kwa dawa zake alizooteshwa na Mungu.
---
WAKATI Dunia ikiwa kwenye taharuki kubwa ya kupambana na maradhi ya ugonjwa wa Covid 19 unaosababishwa na virusi vya corona baada ya kuendelea kuua maelfu ya watu duniani...
Wanandoa wakazi wa Tabata Kimanga, jijini Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka la kutoa lugha hatarishi kwa lengo kupotosha jamii kuhusu ugonjwa wa Corona.
Akisoma hati ya mashtaka Wakili wa Serikali Mwandamizi, Mkunde Mshanga akisaidiana na...
Muda huu hapa ofisi ya Chadema kamda ya kati Dodoma... polisi wamezuia viongozi wote wa Chadema na kufunga ofisi yetu...
Hii yote ni kuhofia press conference ya Mwenyekiti tu.
Jana nilikua naangalia documentary ya Mobutu Seseseko. Tuko kwenye kipindi kibaya sana. John Heche on Twitter
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Aprili 22, 2020 atakuwa mgeni rasmi katika maombi ya kitaifa ya kuombea nchi dhidi ya janga la #COVIDー19 yatakayofanyika katika viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam kuanzia saa 3:00 asubuhi. Maombi yataongozwa na viongozi wakuu wa madhehebu ya dini.
Updates:
"Jumla...
Wakuu habari za asubuhi!
Napenda kuwaomba Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuangalia namna bora zaidi ya kuboresha daftari la wapiga kura wakati huu wa corona bila kuleta athari kwa jamii. Kama ugonjwa huu utaingia vijijini hali yetu itakuwa mbaya sana kama taifa hivyo napendekeza yafuatayo kwa Tume...
Mabadiliko katika bunge la bajeti linaloanza Machi 31, Dodoma:
Hakuna maswali kwa waziri mkuu
Bunge litaanza saa 8 mchana hadi saa 12 jioni
Maswali na majibu yatatumwa kwenye 'tablets' za wabunge
Kura za kupitisha bajeti zitapigwa kwa mafungu
Waandishi wachache wataruhusiwa
Spika wa bunge mh Ndugai amesema endapo mbunge yoyote anajihisi au atajihisi ana dalili za maambukizi ya Covid 19 kama zilivyoainishwa na wataalamu wa afya basi ajifanyie self isolation na kuripoti hospitali haraka sana.
Spika Ndugai ametoa mwongozo na tahadhari hiyo Bungeni leo hii na...
Kenya has reported 15 new coronavirus cases bringing the country's total number to 296, Health CAS Mercy Mwangangi has said.
Out of these, 11 are Kenyans, while four are foreigners. None have a history of travel.
The CAS said seven of the new cases are from Mombasa, which has become a hot...
Kama kitaalamu watu wanaweza kutengeneza artificilal cloud na mvua ikapatikana,je hakuna uwezekano wa kutengeneza gesi itakayokuwa kama fog (ukungu) kutoka angali?
Kwa wasiolewa,ukungu yaani fog,kitaalamu ni mawingu(low flying cloud) yanayotokea karibu kabisa na uso wa dunia na kuna factor...
Mfanyabiashara maarufu nchini ndugu Rostam Aziz amemkabidhi Spika wa bunge Mh. Ndugai mashine ya kuwapulizia dawa wabunge ili kudhibiti maambukizi ya Covid 19.
Sasa wabunge kabla ya kuingia Bungeni watapita kwenye mashine hiyo na kupuliziwa dawa mwili mzima kisha wataingia ukumbini.
Maendeleo...
Mataifa 193 wanachama wa Umoja wa Mataifa yamepitisha azimio linalohimiza kuwepo usawa kwa kila nchi duniani kupata chanjo ya virusi vya corona itakayopatikana katika juhudi zinazoendelea.
Azimio hilo ambalo lilitayarishwa na Mexico na kuungwa mkono na Marekani linatoa wito pindi chanjo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.