johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,852
- 141,786
Spika wa bunge mh Ndugai amesema endapo mbunge yoyote anajihisi au atajihisi ana dalili za maambukizi ya Covid 19 kama zilivyoainishwa na wataalamu wa afya basi ajifanyie self isolation na kuripoti hospitali haraka sana.
Spika Ndugai ametoa mwongozo na tahadhari hiyo Bungeni leo hii na amesisitiza sana na kurudia rudia kwamba wabunge wenye dalili za maambukizi ya Covid 19 " WASISITE" kujiweka katika Karantini.
Source Clouds tv!
Spika Ndugai ametoa mwongozo na tahadhari hiyo Bungeni leo hii na amesisitiza sana na kurudia rudia kwamba wabunge wenye dalili za maambukizi ya Covid 19 " WASISITE" kujiweka katika Karantini.
Source Clouds tv!