mike2k
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 1,458
- 3,127
Tunaelewa umuhimu wa jiji la Dar es Salaam katika maisha ya Watanzania na nchi jirani. lakini kwenye hili suala la corona hakuna kuzubaa tena. Mamlaka husika iweke utaratibu mzuri wa kulibana hili jiji ili kuzuia na kupunguza kabisa kasi ya usambaaji wa covid19.
KWANINI NIMEWAZA HIVYO?
Interaction ya Dar na maeneo mengine ya nchi hii italeta shida sana. Sasa hivi hakuna mjadala tena sasa hivi serikali inazuia maambukizi ya ndani kwa ndani na jiji la dar ndo limekuwa na cases nyingi zaidi za huu ugonjwa.
further reading
Wuhan ends coronavirus lockdown – in pictures
Coronavirus - Quora
KWANINI NIMEWAZA HIVYO?
Interaction ya Dar na maeneo mengine ya nchi hii italeta shida sana. Sasa hivi hakuna mjadala tena sasa hivi serikali inazuia maambukizi ya ndani kwa ndani na jiji la dar ndo limekuwa na cases nyingi zaidi za huu ugonjwa.
further reading
Wuhan ends coronavirus lockdown – in pictures
Coronavirus - Quora