corona

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Turnkey

    Solo Thang alitabiri Corona 2001

    "Bila Upevu wa Fikra kung'amua Hii Homa ni Ndoto/ Madaktari , Waganga Wote Cha Mtoto/ Bado Wanaitafuta Pimajoto/ Kwani Dunia Ina Homa Kali Mithili ya Moto/ Wanasayansi Tumelala Maabara/ Tunaitafuta Tiba Kwani Homa ya Dunia Ishaleta Madhara Hakuna Masihara/ Vipofu Wameisikia Homa ya Dunia...
  2. Mdaiwa-Sugu

    Wachawi kutumia janga la corona kuumiza watu

    Wakuu tukiwa tunaendelea kuchukua tahadhari ya kujikinga na corona kwa kuzingatia maelekezo ya wataalamu wa afya tukumbuke pia kuchukua tahadhari ya kujikinga na corona dhidi ya imani za kishirikina Wachawi hupenda kutumia majanga ya mlipuko kama hili la corona kuumiza watu na kuwageuza...
  3. denooJ

    Wabunge wa CHADEMA wakubaliana kutohudhuria tena vikao vya Bunge kutokana na janga la COVID-9, Kujiweka Karantini kwa wiki 2

    Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Bunda Mjini, Ester Bulaya amesema "Hali ya Corona ni mbaya sana, wabunge kupitia Chadema, leo tumefikia makubaliano ya kutoingia Bungeni na kila mbunge kubaki nyumbani kwake Dodoma, niwatake wananchi huko mlipo mchukue tahadhari kubwa."
  4. simplemind

    Ufaransa kuhimiza matumizi ya baskeli kukabiliana na Corona Virus

    France to pay 50 euros per person for bike repairs to boost cycling post-lockdown "(Reuters) - France will contribute 50 euros per person towards bicycle repairs after a nationwide coronavirus lockdown ends on May 11, taking an innovative step to encourage cycling and keep cars off city...
  5. Makirita Amani

    Jinsi ya kutumia Falsafa ya Ustoa Kukabiliana na janga la Corona

    Tangu mwishoni mwa mwaka 2019, dunia imekuwa inapitia janga kubwa la mlipuko wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona. Mlipuko huu ulianzia kwenye mji wa Wuhan nchini China na wengi hawakuupa uzito unaostahili. Mpaka kufikia mwezi Machi 2020, ugonjwa ulikuwa umesambaa kwenye...
  6. manchoso

    Rais Magufuli yupo sahihi sana kuhusu COVID-19

    Ndugu zangu kwanza niwape pole waathirika wote na wafiwa wa ugonjwa wa corona ndo mapito tuwe na imani corona itaondoka, ila itaondoka pale tu sisi binadamu tutakapokuwa wanyenyekevu mbele ya Mungu. Hii corona ni pigo kutoka kwa Mungu kwa sababu sisi wanadamu ni washenzi tumezidi maasi na...
  7. Analogia Malenga

    Hizi ni nchi ambazo hazina kesi za Corona Virus

    Comoros Kiribati Lesotho Marshall Islands Micronesia Nauru North Korea Palau Samoa Solomon Islands Tajikistan Tonga Turkmenistan Tuvalu Vanuatu #CoronaVirus wametangazwa kuwa janga la dunia, lakini bado kuna baadhi ya nchi hazijaguswa na janga hilo Kwa mujibu wa Chuo Kikuu...
  8. W

    COVID19 Tanzania: Mambo ambayo Wizara ya Afya inapaswa kufanya

    Si jambo jipya tena, maambukizi ya corona Tanzania yapo kwa kasi kubwa sana kwenye jamii, pia tumeendelea kuona vifo vikiongezeka siku hadi siku. Tuna maswali mengi sana kama watanzania juu ya mikakati ya wizara ya Afya ya Tanzania kukabiliana na Tatizo la Corona. Je sekta ya Afya imejiandaa...
  9. M

    Madagascar Corona Stats as of 29th April 2020...Their herbal treatment is worth a try...

    The Treatment is worth a short, african countries should intervene as this may help in the fight against the Covid-19 Pendemic. 29th April 2020 128 Covid-19 confirmed cases 0 death recorded 85 recovered These stats dont need scientic proof, might as well the world start to recognize...
  10. Pascal Mayalla

    Tukidhani ni Binadamu wenzetu, kumbe ni mashetani! Mtu unaombeaje mwenzako afe kwa Corona? Can't believe this wickedness! Huu sio utu, ni ushetani!

    Wanabodi, Mtu unachokiandika, ndicho unacho kiwaza!, kuna watu, tunaishi nao, tunakula nao, tunalala nao, tukidhani ni binaadamu wenzetu, kumbe ni machoni tuu ndio kama watu, lakini mioyoni ni mashetani wakubwa!. Mtu unaombeaje binaadamu mwenzako afe kwa Corona?!. Can't believe this wickedness...
  11. OLS

    Fursa za kipindi hiki cha janga la Corona

    Wanajamvi najua corona inatuumiza kwa namna moja au nyingine. Sio lazima uwe mgonjwa ili kuathirika na corona. Kuna watu kupitia corona wamefunga biashara nk Lakini niwaambie wale wote wenye hela ambao wanaogopa kuwekeza kwa kipindi hiki cha corona, japo mnaogopa kuwekezalakini angalieni fursa...
  12. J

    CCM kufyeka wanaotumia Corona kusaka Ubunge

    CCM imesema itawafyekelea mbali Wanachama wake wanaolitumia janga hatari la Corona kama fursa ya kusaka Ubunge. CCM imesisitiza kwamba siyo wote wanaotoa misaada ya Barakoa, Sabuni na Vitakasa mikono wana nia njema bali wengine wako kisiasa zaidi. Source: Rai
  13. Craig

    Uzi kwa ajili ya walioahirisha mipango yao kwa sababu ya visa vya Corona

    Habari za Mapambano wadau wote wa JF, Nimatumaini yangu kuwa wote tunaendealea kupambana Dhidi ya ugonjwa huu wa mlipuko CORONA. Ama baada ya Salamu lengo la Uzi huu Ni kujua wale wote walioathirika na ugonjwa huu kupelekea kuahirishwa kwa malengo/mipango yao Tena waliyoipanga kwa muda...
  14. Analogia Malenga

    Marekani inahesabu 'Probable deaths' ya wagonjwa wa Corona Virus

    Chuo Kikuu cha John Hopkins kimeripoti jumla ya visa 1,039,909, huku vifo vikikaribia 61,000 Kwa kuwa nchi inahesabu hadi vifo vinavyotarajiwa, Chuo Kikuu cha John Hopkins nacho kitaanza kuhesabu vifo vinvyotarajiwa kwa siku, zoezi ambalo linaonekana kuja kufanya idadi kuwa kubwa zaidi Watu...
  15. Maleven

    Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Uzi huu ni mrefu. Ukichangia naomba ujikite Zaidi katika kutoa maoni yako lakini kukosoa kunaruhusiwa. Binafsi nadhani maamuzi haya yangechukuliwa mwezi mmoja uliopita pale Waziri Mkuu alipotangaza kuzifunga shule na vyuo, lakini haikuwa hivyo badala yake shule zilifungwa kisha hakukuwa na...
  16. W

    Waziri Selemani Jafo ashauri kuanzishwa kwa wiki ya nyungu katika kupambana na Corona

    Waziri wa Tamisemi amesisitiza watanzania waanze kujifukiza kama namna ya kujenga kinga katika kupambana na corona. Ili jambo liwe na ufanisi amependekeza kuwe na wiki ya nyungu kwa maana ya wiki ya kujifukiza. Kama ambavyo mh Rais alipendekeza hivi karibuni. Amesema...
  17. Jidu La Mabambasi

    Corona kuisha mwezi wa sita? Data driven predictions...

    Kulingana na utafiti wa kukusanya data. Chuo kikuu cha Singapore wametoa matokeo ya utafiti juu ya gonjwa la COVID19. Utafiti huu unatokana na ukusanyaji wa data toka nchi mbali mbali ambazo wanaweka tafiti na takwimu zao wazi. Utafiti huu unaonyesha kuwa hadi mwezi wa sita tukiendelea...
  18. Return Of Undertaker

    Wakili Albert Msando ashikiliwa na Polisi baada ya kutoa taarifa ya hali ya maambukizi ya Corona na kuhamasisha waandishi kuandika ukweli

    Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani Arusha, Koka Moita amesema Alberto Msando ameitwa kwa ajili ya Mahojiano ila ni mapema sana kusema ni mahojiano yanayohusu nini kwani hana taarifa kamili Alipoulizwa kama kushikiliwa kwa Wakili Msando kunahusisha yale aliyoongea jana wakati wakati akikabidhi vifaa...
  19. G Sam

    TANZIA Mbunge wa Sumve, Richard Mganga Ndassa akutwa amefariki hotelini Dodoma. Rais Magufuli atuma salaam za rambirambi

    Kwa mujibu wa mbunge Godbles Lema na Waziri Kigwangalla ni kuwa mbunge wa Sumve Richard Ndassa amefariki dunia mapema leo. Aidha taarifa zinasema kuwa Ndassa amefikwa na umauti baada ya kuanguka ghafla ndani ya viwanja vya bunge leo. Inadaiwa pia kuwa ndani ya hoteli aliyokuwa akiishi...
Back
Top Bottom