CCM kufyeka wanaotumia Corona kusaka Ubunge

CCM kufyeka wanaotumia Corona kusaka Ubunge

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,606
CCM imesema itawafyekelea mbali Wanachama wake wanaolitumia janga hatari la Corona kama fursa ya kusaka Ubunge.

CCM imesisitiza kwamba siyo wote wanaotoa misaada ya Barakoa, Sabuni na Vitakasa mikono wana nia njema bali wengine wako kisiasa zaidi.

Source: Rai
 
CCM imesema itawafyekelea mbali wanachama wake wanaolitumia janga hatari la Corona kama fursa ya kusaka ubunge.
CCM imesisitiza kwamba siyo wote wanaotoa misaada ya barakoa, sabuni na vitakasa mikono wans nia njema bali wengine wako kisiasa zaidi.

Source: Rai
Watajuana wenyewe
 
Msihangaike na watu maana wanajua chakuwafanya kama nyinyi mnavyowafanyia wananchi. Hangaikeni na kuilinda tume yenu ya uchaguzi na majeshi yenu ndio yanayodhani nyie mna akili ila wananchi wanajua wazi nyie ni majambazi yanayovaa nguo za kijani na kuteka nyara Uhuru wao.
 
kwa hiyo nyie mmeona kuwafyeka ni bora kuliko misaada wanayoitoa. Malizaneni
 
CCM imesema itawafyekelea mbali wanachama wake wanaolitumia janga hatari la Corona kama fursa ya kusaka ubunge.
CCM imesisitiza kwamba siyo wote wanaotoa misaada ya barakoa, sabuni na vitakasa mikono wans nia njema bali wengine wako kisiasa zaidi.

Source: Rai
CCM inayo uhakika itakuwepo post kolona? Inawezekana Kolona ikafyeka kabla haijafyeka.
 
Kumbe katika chama cha siasa mkikosea tuu kupata mwenyekiti basi chama hata kiwe na watu wenye weledi namna gani, mumekwisha.
Nawaonea sana huruma CCM baada ya kosa walilofanya katika kupata mwenyekiti jinsi lilivyo sambaratisha kutoka chama bira kabisa kilichojaa wajuzi wa siasa hadi kuwa Chama comedian, chama Zuzu na chama cha kibwege pengine Afrika nzima.
Ila shauri yao, wameyataka wenyewe. Na wanaweza kuyabadili wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM imesema itawafyekelea mbali wanachama wake wanaolitumia janga hatari la Corona kama fursa ya kusaka ubunge.

CCM imesisitiza kwamba siyo wote wanaotoa misaada ya barakoa, sabuni na vitakasa mikono wans nia njema bali wengine wako kisiasa zaidi.

Source: Rai
Wakili maarufu tayali...Siku hizi vipi hauendi kwa mzee Mgaya?
 
Tatizo la CCM ni kuwaza kutawala kila siku.
Tatizo hili limerithiwa na wafuasi + wanachama kuwaza kutawala na uchaguzi.
 
CCM imesema itawafyekelea mbali Wanachama wake wanaolitumia janga hatari la Corona kama fursa ya kusaka Ubunge.

CCM imesisitiza kwamba siyo wote wanaotoa misaada ya Barakoa, Sabuni na Vitakasa mikono wana nia njema bali wengine wako kisiasa zaidi.

Source: Rai
Ni wakati wa kupumzisha hili genge tumechoka sana jamani.
 
Back
Top Bottom