Fursa za kipindi hiki cha janga la Corona

OLS

JF-Expert Member
Oct 12, 2019
419
670
Wanajamvi najua corona inatuumiza kwa namna moja au nyingine. Sio lazima uwe mgonjwa ili kuathirika na corona. Kuna watu kupitia corona wamefunga biashara nk

Lakini niwaambie wale wote wenye hela ambao wanaogopa kuwekeza kwa kipindi hiki cha corona, japo mnaogopa kuwekezalakini angalieni fursa hii kama itawafaa ifuateni

FUNGUA ACCOUNT YA FEDHA ZA KIGENI
Hii ni moja ya fursa kubwa kwenye soko la pesa, kumbuka ule msemo, 'when the USD sneezes, the world catches cold' kwa kipindi hiki muda si mrefu dola itazingua na ndipo thamani za pesa nyingine zitakapoporoma kwa kasi

Ili kubaki salama ukiwa na account iliyo katika fedha za kigeni, hautahofu sana kwa kuwa, shilling ikiporomoka kwako ni faida.

Iko hivi, kama leo unafungua account, dola 1, ikiwa ni takriban 2300
Baada ya muda shillingi ikaporomoka kutokana na hili janga, ikawa dola 1 ni sawa na tsh 3000, piga hesabu ukienda kutoa idadi ya dola zako ulizoweka

NB hii ni kwa wale tu wenye hela wanaoogopa kuwekeza kutokana na hali mbovu ya biashara kwa kipindi hiki.

RISK: Eeeh katika kila uwekezaji kuna risk, hii risk yake ni ikitokea benki uliyoweka hela imefirisika, itakula kwako, so chagua benk yenye nguvu kidogo, ambayo inaweza kuwa ya mwisho kutangaza imefirisika

ZINGATIA: Najua kuna fursa ya biashara ya vyakula lakini kwa msimu huu, kuna hatari kwa kuwa govt intervention ni kubwa, bei elekezi zinaweza kukumiza na ukapata hasara.

Serikali inaangalia anayeuza bila kuangalia anayezalisha anauza kwa bei ipi. Muda si mrefu sukari itakuwa sawa na bange kwa sababu ya bei elekezi, so hata vyakula vingine vinaweza kuingia katika mkumbo huo

WEKEZA KISASA

Signed

Oedipus
 
sa

mtaji kubwa kama kias gan unaweza kufungua account ya dollar?
Kufungua account ni kama hizi zetu tu,

Ila nimesema mtaji kwa kuwa kuna watu wana hela ila wanaogopa kuwekeza kwa kipindi hiki kutokana na biashara kuwa mbaya.

Hisa kwa sasa zimeongezeka risk kwa kuwa soon zinaweza kushuka, thus nimeshauri hizo accounts

Lakini kama una laki mbili tatu zako kaweke tu, benki nyingi zina hiyo huduma
 
Wanajamvi najua corona inatuumiza kwa namna moja au nyingine. Sio lazima uwe mgonjwa ili kuathirika na corona. Kuna watu kupitia corona wamefunga biashara nk

Lakini niwaambie wale wote wenye hela ambao wanaogopa kuwekeza kwa kipindi hiki cha corona, japo mnaogopa kuwekezalakini angalieni fursa hii kama itawafaa ifuateni

FUNGUA ACCOUNT YA FEDHA ZA KIGENI
Hii ni moja ya fursa kubwa kwenye soko la pesa, kumbuka ule msemo, 'when the USD sneezes, the world catches cold' kwa kipindi hiki muda si mrefu dola itazingua na ndipo thamani za pesa nyingine zitakapoporoma kwa kasi

Ili kubaki salama ukiwa na account iliyo katika fedha za kigeni, hautahofu sana kwa kuwa, shilling ikiporomoka kwako ni faida.

Iko hivi, kama leo unafungua account, dola 1, ikiwa ni takriban 2300
Baada ya muda shillingi ikaporomoka kutokana na hili janga, ikawa dola 1 ni sawa na tsh 3000, piga hesabu ukienda kutoa idadi ya dola zako ulizoweka

NB hii ni kwa wale tu wenye hela wanaoogopa kuwekeza kutokana na hali mbovu ya biashara kwa kipindi hiki.

RISK: Eeeh katika kila uwekezaji kuna risk, hii risk yake ni ikitokea benki uliyoweka hela imefirisika, itakula kwako, so chagua benk yenye nguvu kidogo, ambayo inaweza kuwa ya mwisho kutangaza imefirisika

ZINGATIA: Najua kuna fursa ya biashara ya vyakula lakini kwa msimu huu, kuna hatari kwa kuwa govt intervention ni kubwa, bei elekezi zinaweza kukumiza na ukapata hasara.

Serikali inaangalia anayeuza bila kuangalia anayezalisha anauza kwa bei ipi. Muda si mrefu sukari itakuwa sawa na bange kwa sababu ya bei elekezi, so hata vyakula vingine vinaweza kuingia katika mkumbo huo

WEKEZA KISASA

Signed

Oedipus
Ni Idea nzuri. Tatizo lipo ktk gharama za ku run a/c ya fedha za kigeni, na hasa US dollars. Kuna gharama kubwa mno, kiasi ambacho uki convert kwa T.sh unaeza ukatamani uzitoe zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Idea nzuri. Tatizo lipo ktk gharama za ku run a/c ya fedha za kigeni, na hasa US dollars. Kuna gharama kubwa mno, kiasi ambacho uki convert kwa T.sh unaeza ukatamani uzitoe zote

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, gharama ziko ni kawaida, kwa savings account nyingi huwa na 100usd kama kianzio, lakini pia nimetahadharisha kwamba hii ni kwa wale ambao wana hela ila hawana cha kufanya kutokana na ugumu wa mazingira ya biashara kwa kipindi chetu
 
Hizi pia zipo, DTB wanazo, wacheki kwenye website yao
Tugusie kdg,fixed ipo ya interval ya miezi mingapi mingapi hv,lkn hii iko poa sana sa'bu kwa hili janga lzm kutakua na mtikisiko tu,na je gharama za hii account japo niya savings Haina makato ya ajabu ajabu kweli?
 
Back
Top Bottom