chuo

  1. D

    Jirani yangu ana moyo wa kipekee sana, huwa anasomesha wafanyakazi wa ndani (house boy & girl) hadi Chuo Kikuu

    Hakika hapa duniani kuna binadamu wanatabia njema sana! Jirani yangu pamoja na mkewe! Wana maisha ya kawaida kabisa kama yangu ya kipato cha kati! Wakiishiwa hela wananiazima, vivyo nami nawaazima vyao nikiishiwa. Tuna maisha ya kawaida sana! Lakini Jirani Siku zote hapo kwake haishi kupokea...
  2. D

    Mwenyekiti wa Baraza la Chuo

    Nini hasa majukumu ya baraza la chuo? Je, nafasi hii ina mshahara na posho au posho zake hadi vikao vya bodi? Je, hii inaweza kuwa demotion au promotion?
  3. Waziri wa Kaskazini

    Leo nilikuwa nipeleke barua ya posa ila nilivyofika chuo cha Ushirika Moshi nimeingia mitini

    Aisee! Asikuambie mtu Moshi kuna warembo.. -Leo nilikuwa Moshi kwa tukio la kihistoria la kupeleka barua na kujitambulisha kwa wazee wa binti, ila wakati nikitembea mitaani nikitazama mandhari ya jiji la Moshi nikajikuta nimetokea maeneo ya Chuo cha Ushirika Moshi, salalee kuna watoto wakali...
  4. Troll JF

    Kumbukeni Hizo Pesa za Mkopo wa Chuo Zinarudishwa mara baada ya Kuajiriwa tu

    Pamoja na Sherehe mnazofanya mitaani kumbukeni pesa za Mkopo zinarudishwa kwa Rate ya 15% kwenye Basic Salary let say umeajiriwa unalipwa 2.5M utakatwa jumla ya sh. 0.375 Million so tukumbuke kuwa pesa inarudishwa ili na wengine wasomee pia kuna adhabu kama utachelewa kulipa ndani ya mda baada...
  5. 44mg44

    Je, nitafanya nini endapo moja ya masomo niliyochagua halifundishwi kwenye chuo nilichochaguliwa?

    Nimechaguliwa kwenda kusoma shahada ya ualimu, sasa je endapo nkikuta somo moja wapo ya yale niliyochagua mim halifundish hapo chuoni nitafanya nini?
  6. E medics

    Natafuta nafasi ya kazi as Pharmacist asistant

    Habari, Natafuta nafasi ya kazi ya pharmacist asistant (pharmaceutical technician) Elimu: Diploma in pharmaceutical science (3yrs) sehemu ya kazi: Hosipitali, Pharmacy,Dukanla dawa Muhimu Uzoefu: Hosipitali 6months , Pharmacy :7months Mkoa: Dodoma, Morogoro,Arusha, kilimanjaro note: Uaminifu...
  7. M

    Nahitaji kuhama chuo lakini sijui utaratibu

    Wadau habari zenu, nahitaji kuhama chuo lakini sijui utaratibu wa mimi kufanikisha hili, tafadhali nisaidieni kujua hatua za mimi kufanikisha hili suala langu.
  8. B

    Ni chuo kipi au nchi gani mwanafunzi anaweza akaruhusiwa kuandika PhD kwa kiswahili, je inaruhusiwa?

    Msaada tutani, naomba kufahamu ni chuo kipi kinaweza kumruhusu mwanafunzi wa PhD kuandika Thesis kwa kiswahili au ni nchi ipi. Msaada. UPDATES: --------------------- Maana yangu ni kwamba kuna watu wana PhD kingereza hawajui sasa nauliza Thesis waliandika kwa kiswahili?
  9. 44mg44

    Maisha ya mahali kilipo Chuo cha Marian yapoje?

    Anayejua anipe taarifa maana kuna dogo kachaguliwa hapo, na vip kuhusu upatikanaji wa nyumba za kupanga ukoje? Karibuni wadau
  10. Kingney

    Msaada kuhusu chuo cha Ifakara

    Jamani nimechaguliwa chuo cha St Francis Ifakara... Anaekijua au aliesoma au anaesoma aniambie kikoje.
  11. A

    Ushauri jinsi ya kuishi maisha ya ghetto chuo

    Wakuu poleni na hongera kwa shughuli za kutafuta riziki. Naomba wale wote wenye experience ya maisha ya ghetto pindi wapo chuo, mnaweza nipa muongozo mdogo wenu ni kwa namna gani nitaweza hustle kiume. Ikiwa ni pamoja na ushauri namna ya kupambana na shughuli nyingine nje ya masomo, maana...
  12. Nyalikanho

    Kuchaguliwa chuo zaidi ya kimoja

    Habari wadau, Nimechaguliwa chuo zaid ya kimoja yaan DUT na CBE ila nimetumiwa sms ni confirm chuo kimoja ninachokita kupitia code number kupitia account cha chuo ninachokitaka. Pia kuna chuo cha private niliomba ila siyo online na wamenichagua so nasubiri majibu ya majina waliyopeleka TCU...
  13. James Martin

    Mh. Lissu naomba ukishinda uikuze elimu yetu angalau mtu akifika chuo kikuu aongee Kiingereza kwa ufasaha

    Mh. Lissu naamini kuna haja ya kupitia mfumo wa elimu yetu hapa Tanzania. Nimetumia mfano wa lugha ya Kiingereza kama kipimo kwasababu tunawasikia watu wakijaribu wakikiongea. Inawezekana yako masomo mengine pia yanayotakiwa yakuzwe lakini kwa sasa hatujui. Wapo watakaosema mbona Urusi na...
  14. tapemeasure

    Uwezekano wa kuhama chuo ngazi ya Diploma

    Habari za kutwa wana jamvi la elimu. Husika na mada tajwa apo juu. Leo nilikuwa niko na rafiki yangu yeye amepata Dvs two point 12 flat D na anatamani sana kusoma MD ila akajiamini kweli ana weza kusoma MD kwa mwaka huu. Ameomba KCMC UDOM pamoja na St Francise ila amekosa vyote. Amekaa...
  15. Johnyy

    Nina 3.9 GPA Diploma nitapata Chuo cha Ardhi Bachelor of Science in Accounts

    Msaada wa mawazo nimehitimu dipl ya uhasibu TIA gpa inasoma 3.9 nitapata kweli Ardhi university b science Accounts.
  16. 44mg44

    Aliebahatika kupata chuo kwa kutumia matokeo ya foundation ya Open aje hapa

    Wahitim weng wa Foundation progra wanalalamika kuwa hawajapata chuo kwenye first round! Wew uliebahatika kupata kwa kutumia hayo matoke ya Foundation course njoo uwape moyo wenzio,ikiwezekana uwaambie na ufaulu wako ulikuwaje! Karibun wadau
  17. 44mg44

    Nimebahatika kuapply chuo kimoja tu,vingne mtandao unagoma

    Kwa wengne hali ikoje jaman?? kwangu mtandao umengomea kabisa
  18. 44mg44

    Nitumie mbinu gan ili nisikose chuo kwenye second round?

    Mbinu ipi ya kutumia kufanya application ili npate chuo? Je, kuapply vyuo vingi ni njia moja wapo itakayokufanya upate chuo?
  19. Said Mshana

    Naomba ushauri nihakiki chuo gani kati ya hivi?

    Habari za wakati huu wana Jukwaa wenzangu, mm mdogo wenu nilifanikiwa kuomba vyuo vinne na namshukuru mungu majibu yametoka nimechaguliwa vyuo vyote hivyo nimekuja hapa kuwaombeni mnipe ushaur wenu ni chuo gani na koz gan nzur niconfirm itakayonisaidia hapo baadae. Vyuo na kozi hizo ni; 1...
Back
Top Bottom