chanjo

Chanjo (kutoka kitenzi "kuchanja"; kwa Kiingereza "vaccine") ni dawa ya kibiolojia ambayo inajenga kingamwili dhidi ya ugonjwa fulani.

Dawa ya chanjo huwa na sehemu za vidubini vinavyosababisha ugonjwa fulani. Dawa hutolewa kutoka katika kidubini kilicho hai au kilichokuwa hai. Sehemu zinazotumiwa kwa dawa haziwezi kusababisha ugonjwa lakini zinatambuliwa na mmfumo wa kinga mwilini.

Mara dawa ya chanjo inaingizwa katika mwili, mfumo wa kinga unaanza kutegeneza fingomwili dhidi ya ugojwa huo.

Chanjo ni njia bora zaidi kuzuia magonjwa ya kuambukiza. Kinga inayoenea kutokana na chanjo kwa kiasi kikubwa inawezesha kuepukana na kifua kikuu duniani na kizuizi cha magonjwa kama vile polio, pepopunda, tetekuwanga kutoka duniani kote. Hata hivi karibuni kumekuwa na mlipuko wa ugonjwa wa COVID-19 kuna chanjo zilitengenezwa na kuukabili

Tunashauriwa na wataalamu wa afya na wanasayansi wa kimataifa kuwapa watoto wadogo chanjo ili iwakinge dhidi ya magonjwa na maradhi mabaya. Kinga ni bora kuliko tiba.
  1. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Twitter kuanzisha mfumo wa kupambana na taarifa potofu kuhusu chanjo ya corona

    Twitter imesema kuwa inaanzisha mfumo mpya wa kubaini na kuondoa machapisho yanayopotosha kuhusu chanjo ya COVID-19 na kuwafungia watumiaji wa mtandao huo watakaoonekana kusisitiza kuenea kwa habari za uongo. Kampuni hiyo yenye makao yake San Fransisco nchini Marekani imesema katika chapisho la...
  2. Webabu

    JamiiForums Tanzania Ghana na Ivory Coast wapokea chanjo za bure

    Nchi jirani za Afrika ya Magharibi za Ghana na Ivory Coast wiki hii zimepokea mzigo wa chanjo za bure aina ya Covax na kuanza kuwachanja raia zao. Wa mwanzo kuonesha mfano wa kupokea chanjo hizo alikuwa ni raisi Nana Akufo-Addo Ghana. Mara baada ya kuchanjwa raisi hiyo alisema anataka aoneshe...
  3. V

    JamiiForums Tanzania Kanisa la Baptist IFB: Heko Rais John Magufuli kwa msimamo wako juu ya corona na chanjo zake

    TAMKO LA KANISA KUUNGA MKONO MSIMAMO WA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI KATIKA SUALA LA UGONJWA WA COVID-19 NA CHANJO ZAKE 1. UTANGULIZI: Tamko hii halina malengo ya kisiasa kwa maana sio jukumu la kanisa kuhubiri siasa (1 Kor. 5:12; 2 Tim. 4:2). Hii ni taarifa fupi ambayo haitaweza kugusia kwa...
  4. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania EACSOF yashauri kuwe na hatua za kikanda za kukabiliana na COVID19 ikiwemo kuwa na chanjo itakayotengenezwa chini ya Africa-CDC

    EACSOF ilikaa Februari 26 kujadili muelekeo wa COVID19 na kushauri njia za pamoja za kukabilina na janga hilo Haya ni Mapendekezo ya EACSOF kwa Marais wa Jumuiya ya Afrika Mashariki siku moja kabla ya Marais hao kukutana 1. Wameshauri kuwa na hatua za kikanda dhidi ya gonjwa hili, hasa kuwa na...
  5. I

    JamiiForums Tanzania Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania waagiza takwimu za wagonjwa wa korona na chanjo vitolewe

    Ambassador to Tanzania. I want to talk to you about COVID-19, and how we can work together to prevent its spread and help all of us stay safe. Since the start of the Covid-19 pandemic, almost two and a half million people have died of the disease. The loss is staggering, and no country has...
  6. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Benki ya dunia yaipa Ghana fedha zaidi ili kununua chanjo za covid19

    Rais wa Benki ya Dunia(WB) David Malpass amesema wamefurahishwa na namna Ghana inavyojizatiti kutoa dozi za chanjo kwa wananchi wake WB ipo katika hatua za mwisho kuipa Ghana dola Milioni 100 sawa na takriban Tsh. Bilioni 232 ili kununua dozi zaidi za kuwatibu wananchi wake Awali WB ilijiatiti...
  7. Q

    JamiiForums Tanzania Tumeshinda kwenye Operation “Vaa Barakoa” sasa tuhamie kwenye Chanjo

    Hapo Mwanzo msimamo wa Rais na serikali nzima ulikuwa Tanzania HAKUNA KORONA kwa hiyo hakuna haja ya kuvaa barakoa. Baada ya wananchi, wanaharakati na baadhi ya viongozi wa dini kuonyesha msimamo wao wa kuvaa barakoa, serikali ikaanza kubadilika, tukaanza kusikia Tanzania ina korona chache sana...
  8. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Utafiti Uingereza: Chanjo inasaidia kupunguza kuenea kwa virusi vya corona kwa asilimia 85

    Takwimu kutoka nchini Uingereza zinaonesha kuwa chanjo dhidi ya virusi vya corona inasaidia kupunguza uwezekano wa kuenea kwa maambukizi kwa hadi asilimia 85. Utafiti uliochapishwa na taasisi ya Public Health England (PHE) unaonesha kuwa chanjo ya Pfizer-BioNTech inapunguza uwezekano wa kupata...
  9. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mollel: Ni ujinga Waziri kutoa Data za Walioathiriwa na Corona kila siku. Bei ya chanjo ni Tsh 400,000

    Naibu Waziri wa Wizara ya Afya Jinsia Wazee na Watoto amesema watu wengi wanasema Tanzania haitoi data, ambapo amesema data haina haja ya kutangazwa kila siku na Waziri, utakuwa ni ujinga mtupu. Amesema Data huwa inataka uchakataji ili kujua tatizo ya magonjwa yanayosababisha vifo na kujua...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Chanjo za Corona zimefanyiwa utafiti nchi za baridi zitawafaaje watu wa Dar es Salaam?

    Akizungumza katika kipindi cha Clouds 360, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema watanzania wanapaswa kujiuliza chanjo za watu wa nchi zenye baridi zinawezaje kuwasaidia watu wa Dar es Salaam kwenye joto. Mwigulu amesema ndio maana watu waliotoroka wakaenda kuchanja kimya kimya zinawaletea...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Naamini wapo Watanzania wameenda kuchanjwa au wamechanjwa kimyakimya maana uhai Ni suala binafsi.

    Mjadala wa chanjo ya Corona una msimamo wa nchi na msimamo wa mtu binafsi. Nchi haifi lakini mtu mmoja mmoja anakufa aidha kwa mapenzi ya Mwenyenzi MUngu au kwa kutotimia maarifa aliyopewa na Mwenyenzi MUngu. Kama chanjo hiyo inaonekana inafanya kazi na watu wanaamini inafanya kazi haiwekani...
  12. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania Je, ugonjwa wa changamoto ya kupumua (UCHAYAKU- 2021) ulioibuka Tanzania unasababishwa na nini, una tiba au chanjo, na kinga na dalili zake ni zipi?

    Sasa imefika wakati wataalam wa afya waueleze juu ya hili gonjwa jipya kabisa hapa Tanzania, na halipo kwengineko, liitwalo 'changamoto ya kupumua.' Watuambie gonjwa ili linasababishwa na nini, dalili zake, kinga yake, chanjo, na tiba? Pia tofauti yake na COVID-19 au UVIDO-19 kwa kiswahili. Kama...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Corona: Chanjo yathibitika ni mkombozi

    Mabibi na mabwana kwa mara nyingine imethibitika kutafuta ufumbuzi wa matatizo ya binadamu kisayansi haijawahi watupa waja wake mola. Israel ni taifa lililoendelea mno katika kila hali ikilinganishwa na nchi nyingi duniani. Hata hivyo duniani ni kutegemeana ambapo wingi na tofauti zetu ndiyo...
  14. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mataifa masikini kuanza kupelekewa chanjo dhidi ya COVID-19 kabla ya mataifa tajiri

    Shirika la Umoja wa Mataifa la afya, WHO hapo jana limeridhia chanjo dhidi ya virusi vya corona ya AstraZeneca kuanza kupelekwa kwenye mataifa masikini, baada ya kuithibitisha kwa dharura. Mataifa ya kipato cha chini na cha kati yanatarajiwa kupata dozi ya kwanza ya chanjo mwishoni mwa mwezi...
  15. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania UNICEF ikishirikiana na serikali za nchi jirani husika inasambaza chanjo za COVID duniani

    Across the world grandparents, parents, healthworkers, and other frontline workers are sharing what receiving the COVID-19 vaccine ✌.
  16. C

    JamiiForums Tanzania Msemaji wa Serikali: Tanzania haijawahi kusema haijawahi kuwa na Virusi vya Corona, hatujadharau chanjo

    Msemaji wa Tanzania Dkt Hassan Abbas amesema Tanzania inakabiliana na janga la corona kwa kutumia dawa za asili. DKt Abbas alimwambia mwandishi wa habari wa BBC,Salim Kikeke kuwa Tanzania haitapuuzia chanjo iliyokubalika kimataifa kuwa salama kutumia kama kinga. Pia Ameeleza kuwa hakuna ambaye...
  17. Snowden E

    JamiiForums Tanzania Hatudharau chanjo ya corona Tanzania, tunasubiri majaribio zaidi kabla kuitumia

    Msemaji wa Tanzania Dkt Hassan Abbas amesema Tanzania inakabiliana na janga la corona kwa kutumia dawa za asili. Dkt. Abbas alimwambia mwandishi wa habari wa BBC, Salim Kikeke kuwa Tanzania haitapuuzia chanjo iliyokubalika kimataifa kuwa salama kutumia kama kinga.
  18. Intelligence Justice

    JamiiForums Tanzania Wasomi Waliobobea katika Sayansi nchini Tanzania waingie Maabara Kutafiti Upatikanaji wa Chanjo ya magonjwa mbalimbali

    Jukwaa la JF Wito wangu ni kwa mamlaka ya nchi na Wataalamu wa Afya wafanye yafuatayo ili kuwa na uwezo wa kujikinga na kupambana na magonjwa mbalimbali: 1. Mamlaka ya nchi iwezeshe kifedha wataalamu wa afya na sayansi kwa ujumla kufanya utafiti wa uwezekano wa kutengeneza chanjo ya magonjwa...
  19. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Nchi ambayo haijapata chanjo ya Corona inaweza kutengwa?

    Iko hivi wakuu. Virusi vikipata mazingira mazuri huwa vinabadilika kila leo. Kubadilika huko kunaweza toa kirusi kikali kisichosikia dawa wala chanjo. Hizi chanjo zimetengenezwa kuzuia kirusi kwa namna kiliyopo sasa. Kinaweza kubadilika na kufanya chanjo hiyo isifanye kazi au ikafanya kwa...
  20. S

    JamiiForums Tanzania Ni aibu kwa vyuo vikuu hapa nchini kushindwa kugundua chanjo ya Corona na sasa vinashindana kutoa tahadhari

    Kazi kubwa za vyuo vikuu ni tatu: Kuelimisha/kifundisha (teaching) Kuandika vitabu (publication) Kufanya tafiti (Research). Kati ya kazi hizo tatu research ndiyo huleta maana kubwa sana kwa uwepo wa chuo kikuu chochote mahala popote. Ni sawa na benki, kwa mfano, ina kazi nyingi sana lkn utoaji...
Back
Top Bottom