#COVID19 Serikali ya Saudia yasema "Mwaka huu ni wale Waislamu waliopata chanjo ya COVID-19 pekee ndiyo wataruhusiwa kuhiji Makka/Madina"

M-mbabe

JF-Expert Member
Oct 29, 2009
13,203
23,019
Hii ni kwa mujibu wa tweet ya Zitto Kabwe.

Ameichagiza BAKWATA kuishikiniza serekali ya awamu ya 5 iruhusu chanjo kwa Watanzania ili waweze kutekeleza hii nguzo muhimu sana kwa Waislamu.

Hili ni la kwako mzee wetu Mufti Zuberi.....kabiliana na swahiba wako asiyetaka chanjo ili Mungu aendelee kukupa kibali cha kutumika katika nafasi nyeti uliyo nayo. Ama sivyo utakuwa umeuweka rehani utumishi wako ndani ya dini ya Mungu.

1614751824992.png

————-

Saudi Arabia’s health ministry says only people who have been vaccinated against COVID-19 will be allowed to attend the Hajj this year, Saudi newspaper Okaz reported.

“The COVID-19 vaccine is mandatory for those willing to come to the Hajj and will be one of the main conditions (for receiving a permit to come),” Monday’s report said, citing a circular signed by the health minister.

Saudi Arabia takes pride in its guardianship of Islam’s holiest sites in Mecca and Medina and its smooth organisation of the annual Hajj, which has been marred in the past by deadly stampedes, fires and riots.

In 2020, the kingdom dramatically reduced the number of pilgrims allowed to attend Hajj to about 1,000 Saudi citizens and residents of the kingdom, in order to help prevent the spread of the coronavirus, after barring Muslims abroad from the rite for the first time in modern times.

Source: Saudi Arabia says COVID-19 vaccination mandatory for Hajj 2021
 
Mahojaji wote lazima kuchanja chanjo ya covid 19 kabla kuruhusiwa Saudi Arabia
Saudi Arabia: Vaccine mandatory for Hajj

Saudi Arabia's health ministry has ruled that only people who have been vaccinated will be allowed to attend the Hajj this year, Saudi newspaper Okaz reported.

"The Covid-19 vaccine is mandatory for those willing to come to the Hajj and will be one of the main conditions (for receiving a permit to come)," the report said, citing a circular signed by the health minister.
 
JPM akiipata hiyo

" Nimesikia ndugu zangu waislamu mmewekewa masharti kwamba mwaka huu hauwezi kwenda kuhiji mpk uwe umechanjwa, Hao ndiyo viongozi wetu wa kiroho tulio nao leo yaani wanawazuia watu kisa ugonjwa, nilikuwa nachombeza na Mufti hapa kwani hatuwezi kujenga hiyo sehemu ya kuhiji kama ile ya Makka kule kisarawe kwa Mh Jafo ili na wao huko waje kuhiji hapa Tanzania kwa watani zangu wazaramo na fedha hizo zipo maana mambo mengine aah basi tu"
Mkuu serikali ya saudia ni genge la wahuni,,waliojivika joho la uislam..

Hii serikali ya kifalme hakuna inchi yeyote ya kiislam inayokubaliana nayo zaidi ya mataifa ya magharibi..

Hill genge la wahuni la saudia limekuwa likifanya mambo kadhaa ya kinyume na haki za binadamu kwa Yemeni kwa miaka kadhaa.

--Mfano kuendelea kushambulia Yemen,, haswa kwenye makazi ya raia na kuua watu wasio na hatia.

Bila kujali Wanawake na watoto.

Tena ikipata baraka zote za marekani,, kwa kuwauzia silaha za technology ya hali ya juu,,saudia iendelee kuipiga Yemen na kuikandamiza.

-- kuweka kambi za kijeshi kwnye bandari kadhaa kwenye mpaka kuzuia watu wa haki za binadamu kupeleka misaada Yemen..

Mkuu ukiona kwa macho wanayofanya saudia kwa Yemen,,yanasikitisha sana.

Tena waislam wenzao,,

Dini inasema ndugu wa muislam ni muislam mwenzie,,

Huo udugu upo wapi hapo?

Pasi na shaka huu utawala wa saudia ni genge la wahuni lililojivika joho la waislam.

Ukijumlisha na mauaji ya KASHOGI..

Hawafai hata kidogo..

Wanachokifanya wao ni kufata amri za mabwana zao marekani.

Na kuweka sheria za Mungu pembeni.

Wametoa mambo mengi ya kiislam na kuweka utamaduni wa kimagharibi..

Saudia ile inayopambwa kwenye vitabu vitakatifu. ,,sio hii iliyopo Leo..

Chochote kinachoendelea saudia kimepata baraka zote za mataifa ya magharibi..
 
Mkuu serikali ya saudia ni genge la wahuni,,waliojivika joho la uislam..

Hii serikali ya kifalme hakuna inchi yeyote ya kiislam inayokubaliana nayo zaidi ya mataifa ya magharibi..

Hill genge la wahuni la saudia limekuwa likifanya mambo kadhaa ya kinyume na haki za binadamu kwa Yemeni kwa miaka kadhaa.

--Mfano kuendelea kushambulia Yemen,, haswa kwenye makazi ya raia na kuua watu wasio na hatia.

Bila kujali Wanawake na watoto.

Tena ikipata baraka zote za marekani,, kwa kuwauzia silaha za technology ya hali ya juu,,saudia iendelee kuipiga Yemen na kuikandamiza.

-- kuweka kambi za kijeshi kwnye bandari kadhaa kwenye mpaka kuzuia watu wa haki za binadamu kupeleka misaada Yemen..

Mkuu ukiona kwa macho wanayofanya saudia kwa Yemen,,yanasikitisha sana.

Tena waislam wenzao,,

Dini inasema ndugu wa muislam ni muislam mwenzie,,

Huo udugu upo wapi hapo?

Pasi na shaka huu utawala wa saudia ni genge la wahuni lililojivika joho la waislam.

Ukijumlisha na mauaji ya KASHOGI..

Hawafai hata kidogo..

Wanachokifanya wao ni kufata amri za mabwana zao marekani.

Na kuweka sheria za Mungu pembeni.

Wametoa mambo mengi ya kiislam na kuweka utamaduni wa kimagharibi..

Saudia ile inayopambwa kwenye vitabu vitakatifu. ,,sio hii iliyopo Leo..

Chochote kinachoendelea saudia komepata baraka zote za mataifa ya magharibi..
Allah awabariki watawala wa Saudia, awahifadhi na awasamehe makosa yao.
 
Kila la Mtu ana uono wake mtazamo na maamuzi yake kulingana na utashi wake
Si sawa kulazimisha au kutaka serikari kua na mtizamo sawa na wengine wafanyavyo.
Issue ya Corona sio ya kukurupukia tu na kubugia chanjo kama tuonavyo.
Nashauri kuwepo na utulivu na utaratibu rafiki juu ya maamuzi yeyote ya hiyo chanjo.
N.b chanjo kwangu siafikiani nayo. Kufa nitakufa wakati wangu ukifika iwe Nina chanjo au sina. Nimechagua kutokua na chanjo
 
Huyu Zito Sijuhi kala maharage gani .

heti Watanzania wachanjwe kwani kasikia Watanzania wote ni Waislamu .
Hiyo kauli yake abadili asema Waislamu Ndo wachanjwe
Sisi wangeni hatutaki kuchanjwa.
Kubaini yupi kachanjwa na yupi ambaye hajachanjwa hapo ndo chip inabidi iingizwe kwenye mwili wa mtu

Irani Ana ugovi na Saudi Arabia naamini hii Ndo fursa ya Saudi Arabia kumdhiti Irani. Irani ataki chanjo za nchi za magharibi, Saudi Arabia kuna chanjo moja ataiteu kutoka nchi za magharibi itumike kwa watu wote wanaotaka kwenda Hijja.
Kazi ipo hapo
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom