chanjo

Chanjo (kutoka kitenzi "kuchanja"; kwa Kiingereza "vaccine") ni dawa ya kibiolojia ambayo inajenga kingamwili dhidi ya ugonjwa fulani.

Dawa ya chanjo huwa na sehemu za vidubini vinavyosababisha ugonjwa fulani. Dawa hutolewa kutoka katika kidubini kilicho hai au kilichokuwa hai. Sehemu zinazotumiwa kwa dawa haziwezi kusababisha ugonjwa lakini zinatambuliwa na mmfumo wa kinga mwilini.

Mara dawa ya chanjo inaingizwa katika mwili, mfumo wa kinga unaanza kutegeneza fingomwili dhidi ya ugojwa huo.

Chanjo ni njia bora zaidi kuzuia magonjwa ya kuambukiza. Kinga inayoenea kutokana na chanjo kwa kiasi kikubwa inawezesha kuepukana na kifua kikuu duniani na kizuizi cha magonjwa kama vile polio, pepopunda, tetekuwanga kutoka duniani kote. Hata hivi karibuni kumekuwa na mlipuko wa ugonjwa wa COVID-19 kuna chanjo zilitengenezwa na kuukabili

Tunashauriwa na wataalamu wa afya na wanasayansi wa kimataifa kuwapa watoto wadogo chanjo ili iwakinge dhidi ya magonjwa na maradhi mabaya. Kinga ni bora kuliko tiba.
  1. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Je, Mhe. Rais anayo haja ya kuwa na wasiwasi na mashaka dhidi ya Chanjo ya Corona?

    JE, KUNA HAJA YA RAIS MAGUFULI KUWA NA HOFU NA MASHAKA JUU YA CHANJO YA CORONA? Kwa Mkono wa, Robert Heriel Dunia kwa sasa ipo katika mjadala mkubwa kuhusiana na janga la Corona na chanjo zake. Nadharia mbalimbali zimezuka ama zingine zilikuwepo na zimepata nguvu katika kipindi hiki cha janga...
  2. K

    JamiiForums Tanzania TAHURI: Tumuunge mkono Rais Magufuli katika vita dhidi ya Corona

    Taasisi ya Haki za Binadamu, Tanzania Human Rights-Foundation (TAHURI) imetoa tamko la kuwataka Watanzania kuungana pamoja katika vita dhidi ya Shirika la Afya Duniani, WHO na Rais Magufuli huku likiwataka wananchi kumuunga mkono Rais wao. Akiongea na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam...
  3. Q

    JamiiForums Tanzania WHO kutoa ‘Kadi ya Chanjo ya Corona’ itakayokuruhusu kuingia nchi nyingine

    Shirika la Afya Duniani WHO linajiandaa kutoa cheti au kadi ya chanjo ya Corona (Covid-19 vaccination certificate) itakayotumika dunia nzima, na huwezi kusafiri au kupata VISA kama hautakuwa umechanjwa. Kwa sasa chanjo inayotakiwa ili usafiri au ukienda kuomba VISA ni chanjo ya homa ya manjano...
  4. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania WHO inatakiwa izijibu hoja za Rais Magufuli kwa umakini mkubwa. Tropical diseases kama TB, Malaria kwanini hazina chanjo na zinaua sana?

    Shirika la Afya Duniani ni kibara na chombo muhimu cha kutekeleza Sera za mabeberu moja wapo ya ajenda muhimu ya mabeberu ni kuitawala mifumo ya Dunia kwa ku-centralize mamlaka ili hii sera ifanikiwe ni lazima kwanza wajiimarishe kichumi waendelee kuwa superpowers na ili waendelelee super powers...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Gazeti la The Washington Post laripoti kauli ya Rais Magufuli kuhusu Corona na chanjo yake

    Hili gazeti limechapisha kauli ya Magufuli kuhusu ugonjwa wa Corona na chanjo ya ugonjwa huu. Gazeti limenukuu kauli za Magufuli kama zilivyo na hapa ndio kuna sehemu wamenukuu Magufuli akiongelea chanjo ya cancer kitu ambacho, kwa maoni yangu, kinamuweka Magufuli katika mtazamo hasi kwani...
  6. kopites

    JamiiForums Tanzania Chanjo ya covid 19 ni hatari

    Rais Magufuli anaposema chanjo za hawa watu weupe hazifai ni hatari muwege mnaelewa. Rais akisema kitu anazo taarifa zote msidhani amekurupuka. Hizi chanjo zimeanza kuwapa shida wao wenyewe huko ndio sisi tuchanjwe? Sisi tule vyakula vyetu vya asili na kumuomba Mungu. Angalia hii video hapa...
  7. Q

    JamiiForums Tanzania Shirika la Afya Duniani (WHO) laitaka Tanzania kujiandaa kupokea chanjo ya Corona

    Siku moja baada ya Rais wa Tanzania, John Magufuli kutaka wizara ya afya kutokukimbilia chanjo ya Corona, Shirika la Afya Duniani WHO imeitaka nchi hiyo kujiandaa na chanjo ya Corona kama mataifa mengine duniani. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwa njia ya mtandao, mkuu wa WHO...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Tatizo sio chanjo ya COVID19! Tatizo chanjo imekuja kipindi cha utandawazi kila mtu ana smartphone kila mtu mjuaji

    Habari wadau, Leo nimeamua kuingia kwenye hii fani ya udaktari ili nami niweke neno kaa hapa chin basi uongeze maarifa. Ok nadhan kila mtu anajua kwa sasa kuna vuguvugu la chanjo dunia mzima tena mbaya zaid chanjo imekuja kipind ambacho kila mtu anamtizama mwenzake kwa jicho la mnafiki kuna...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Dkt. Kitima: Baba Mtakatifu ametutaka tufuate ushauri wa Wanasayansi kuhusu ugunduzi wa chanjo

    Katibu mkuu wa Baraza la Maaskofu (TEC), Dkt. Charles Kitima akiongea na BBC amesema Baba Mtakatifu ambaye ndio mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francisco amewataka kupokea ushauri wa wanasayansi kuhusiana na ugunduzi wa chanjo za Corona. Dkt. Kitima amesema wao kama Kanisa watachukua...
  10. Mlaleo

    JamiiForums Tanzania Al-Jazeera: President Magufuli claims, without evidence, that vaccines against COVID-19 are dangerous

    Tanzania president raises doubts over COVID vaccines President John Magufuli claims, without evidence, that vaccines against COVID-19 are ‘dangerous’. --- Tanzanian President John Magufuli has claimed that vaccinations against COVID-19 are dangerous and instead urged Tanzanians to protect...
  11. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Afrika Kusini kuuziwa chanjo ya COVID-19 kwa bei ghali mara mbili ya nchi za Ulaya

    Afrika Kusini inatarajiwa kununua dozi za chanjo ya virusi vya corona ya Oxford-AstraZeneca kwa bei mara mbili na nusu zaidi ya nchi nyingi za Ulaya. Afrika Kusini ndiyo nchi iliyoathirika zaidi na maambukizi ya COVID-19 barani Afrika, inatarajiwa kupokea dozi milioni 1.5 za virusi vya corona...
  12. Cannabis

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima: Chanjo ya Corona ni hatari, ni chapa ya mpinga Kristo, Mataifa kututenga kwa sababu hatujachanjwa ni mwanzo wa Uchumi wetu kukua

    Askofu Gwajima ameonya waumini wake kwamba chanjo ya corona ni hatari, na kusisitiza hakuna haja ya kuchanja watanzania kwa sababu Tanzania hakuna corona. Askofu Gwajima amesema kilichopo hivi sasa ni hofu ya corona ambayo ina nguvu kuliko corona yenyewe. Askofu Gwajima amesema kwamba chanjo ya...
  13. beth

    JamiiForums Tanzania Serikali yatoa mwongozo wa utoaji chanjo ya mifugo nchini

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mashimba Ndaki amezindua mwongozo wa utoaji wa chanjo dhidi ya magonjwa ya mifugo nchini, wenye lengo la kuhakikisha sekta binafsi na umma zinajua haki na wajibu katika zoezi zima la utoaji wa chanjo na kuhakikisha afya ya mnyama inabaki salama. Waziri Ndaki...
  14. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Papa Francis: Kukwepa chanjo ya Covid-19 ni mauaji ya kujitakia

    Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis ameiita hatua ya watu kukwepa kupata chanjo ya Covid-19 ni mauaji ya kujitakia akisema wale wanaokataa chanjo hiyo wanacheza na afya zao na pia maisha ya watu wengine. Kiongozi huyo mkuu wa kidini kwa upande mwingine amethibitisha kwamba binafsi...
  15. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Iran yazuia uingizaji wa chanjo ya Corona kutoka Marekani na Uingereza kwa kutokuwa na imani na mataifa hayo

    Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei amepiga marufuku uingizaji wa chanjo ya Covid-19 kutoka kampuni ya Pfizer ya Marekani na mshirika wake BionTech, sambamba na chanjo ya Uingereza ya Astrazeneca kwa kile alichokitaja kama kukosa imani na mataifa ya Magharibi. Katika hotuba kupitia...
  16. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Antonio Guterres: Suala la Chanjo za kupambana na Corona lisichukuliwe kitaifa

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres amesema sio sahihi suala la chanjo dhidi ya Ugonjwa wa #COVID19 kuchukuliwa kitaifa Katika ujumbe wake amesema, hakuna nchi itakayokuwa salama dhidi ya #CoronaVirus hadi nchi zote zitakapokuwa salama Kauli yake inakuja baada ya nchi kadhaa...
  17. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Algeria, Bolivia Kupokea Chanjo ya COVID19 ya Sputnik V kutoka Urusi

    Urusi imesaini mikataba ya kusambaza chanjo yake virusi vya corona inayoitwa Sputnik V kwa mataifa ya Algeria na Bolivia. Hii ni mara ya kwanza kwa Urusi kuanza kusambaza chanjo ya COVID19 nje ya taifa hilo ambapo inaiweka Bolivia kuwa nchi ya kwanza kwa mataifa ya Amerika Kusini kupokea chanjo...
  18. Gama

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki aagiza halmashauri kufuta mikataba ya utoaji wa chanjo iliyoingiwa baina ya halmashauri na makampuni binafsi

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi ameagiza Halmashauri zote kufuta mikataba ya utoaji wa chanjo iliyoingiwa baina ya Halmashauri na makampuni binafsi. Ametoa agizo hilo baada ya kupata malalamiko kutoka kwa wafugaji kuwa mifugo imekuwa ikivimba na mingine kufa baada ya kupewa chanjo. Aidha, mh. Waziri...
  19. S

    JamiiForums Tanzania Kugundua dawa au chanjo hatuwezi. Vipi kuhusu kutoa uthibitisho wa kitaalamu kuwa dawa hii au chanjo hii si salama?

    Kuna madai kuwa chanjo ya corona si salama na maneno mengine mengi tu kuhusu dawa hiyo. Hata hivyo, ukiwaambia wahusika watoe uthibitisho juu ya madai hayo, kamwe hawawezi kufanya hivyo. Swali nalojiuliza, kama tuhuma hizi ni za kweli, lakini tunashindwa kuzithibitisha na tuna ma-doctor na...
  20. Q

    JamiiForums Tanzania Serikali kutoa tamko kuhusu chanjo ya Coronavirus

    Dar es Salaam, The minister for Health, Community Development, Gender, Elderly and Children, Dr Dorothy Gwajima, yesterday said the government will issue an official statement on its stand regarding Covid-19 vaccines soon. Many countries around the world are rolling out the vaccine following...
Back
Top Bottom