Salaam, Shalom!
Hakuna cha bure yupo MMILIKI, mtoaji, Muumba wa vyote.
Sisi WANADAMU kwa ujumla wetu, masikini kwa tajiri, mgonjwa Kwa mzima, mrefu Kwa mfupi, mweupe Kwa mweusi nk nk tunavuta PUMZI ya uhai Bure kabisa.
Wema Kwa waovu, tunapata Bure PUMZI ya uhai.
Wenye dini kwa wapagani...