Tetesi: Inasemekana kuwa Sera ya Elimu bure imefutwa

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Mar 6, 2014
4,451
9,375
Maafisa elimu mkoa, mpaka Wilaya hawana majibu, Wakurugenzi wa Halmashauri hawana majibu, wakuu wa mikoa mpaka wilaya hawana majibu, makatibu tawala hawana majibu, wabunge hawana majibu, zaidi ya tetesi kuwa serikali ipo kwenye mpango mwakani turudi kwenye elimu ya kulipia hii ni kutokana na shule kuwa nyingi na idadi ya wanafunzi kuongozeka hivyo inataka jitoa

Na hii inaweza kuwa ina ukweli ukweli kwani ni miezi miwili sasa imepita shule za msingi na sekondari hazijapokea pesa za uendeshaji shule fedha hizo ni za mwezi October, na Novemba 2023, wale wa elimu msingi mwezi September 2023, hawakupokeea kabisa, wakaja kupewa za mwezi October pekee,

Kwa hiyo mpaka sasa elimu msingi wanadai pesa za mwezi September na November, sekondari wao wanadai za mwezi October na November, kwahiyo wakuu wa shule wana hali mbaya ikumbukwe huu ni mwisho wa mwaka, mwezi October na November shule zilikuwa na mitihani ya Taifa na mitihani ya kumaliza mwaka jiulize mitihani ya ndani imeendeshwaje shule zenye watoto elfu mbili plus.

Inasemekana zile shule za boarding za serikali zenye kidato cha tano na kidato cha sita wadhabuni wachakula baadhi ya maeneo wadhabuni wameingia woga kutoa huduma kwani miezi miwili sasa wamehudumia na hawajalipwa ikumbukwe sasa hivi hao wazabuni kila mwezi wanalipwa hivyo hali ni mbaya wanafunzi wanakula mlo mmoja tu kwaiyo mzazi ukiombwa pesa na mwanao mtumie hali si shwari uko mashuleni.
 
Mimi naunga mkono, mzazi agharamie elimu ya mwanawe, ukweli ni kwamba licha ya serikali kusema kuwa elimu ni bure, michango iliyoko mashuleni ni zaidi ya karo ya shilingi elfu 20,000/=
Ukweli usemwe ijulikane moja kama elimu bure kipi kimesababisha mkwamo wa kutopeleka pesa za undeshaji shule miezi miwili mfululizo ikumbukwe tangu elimu bila malipo ianze kipindi cha Hayati Magufuri haijawahi kutokea sitofahamu hizi na je hizo pesa ambazo elimu msingi hawakupewa mwezi September zipo wapi ikiwa bajeti ilikuwepo kwanini mwezi October hawakupewa double wakaja kupewa pesa ya October pekee je hakuna upigaji unafanyika uko inasikitisha sana
 
Maafisa elimu mkoa, mpaka Wilaya hawana majibu, Wakurugenzi wa Halmashauri hawana majibu, wakuu wa mikoa mpaka wilaya hawana majibu, makatibu tawala hawana majibu, wabunge hawana majibu, zaidi ya tetesi kuwa serikali ipo kwenye mpango mwakani turudi kwenye elimu ya kulipia hii ni kutokana na shule kuwa nyingi na idadi ya wanafunzi kuongozeka hivyo inataka jitoa

Na hii inaweza kuwa ina ukweli ukweli kwani ni miezi miwili sasa imepita shule za msingi na sekondari hazijapokea pesa za uendeshaji shule fedha hizo ni za mwezi October, na Novemba 2023, wale wa elimu msingi mwezi September 2023, hawakupokeea kabisa, wakaja kupewa za mwezi October pekee,

Kwa hiyo mpaka sasa elimu msingi wanadai pesa za mwezi September na November, sekondari wao wanadai za mwezi October na November, kwahiyo wakuu wa shule wana hali mbaya ikumbukwe huu ni mwisho wa mwaka, mwezi October na November shule zilikuwa na mitihani ya Taifa na mitihani ya kumaliza mwaka jiulize mitihani ya ndani imeendeshwaje shule zenye watoto elfu mbili plus.

Inasemekana zile shule za boarding za serikali zenye kidato cha tano na kidato cha sita wadhabuni wachakula baadhi ya maeneo wadhabuni wameingia woga kutoa huduma kwani miezi miwili sasa wamehudumia na hawajalipwa ikumbukwe sasa hivi hao wazabuni kila mwezi wanalipwa hivyo hali ni mbaya wanafunzi wanakula mlo mmoja tu kwaiyo mzazi ukiombwa pesa na mwanao mtumie hali si shwari uko mashuleni.
Ntakua wa Mwisho kuona kama serikali haina pesa kugharamikia elimu ya Msingi na Secondary.

Watafute sababu nyingine ila sio kua hawana pesa. Ni vipaumbele tu, wanaona bora wanunue mav8 na kuwawekea mafuta wakubwa kuliko kumlipia mtoto shule asome.
 
Maafisa elimu mkoa, mpaka Wilaya hawana majibu, Wakurugenzi wa Halmashauri hawana majibu, wakuu wa mikoa mpaka wilaya hawana majibu, makatibu tawala hawana majibu, wabunge hawana majibu, zaidi ya tetesi kuwa serikali ipo kwenye mpango mwakani turudi kwenye elimu ya kulipia hii ni kutokana na shule kuwa nyingi na idadi ya wanafunzi kuongozeka hivyo inataka jitoa

Na hii inaweza kuwa ina ukweli ukweli kwani ni miezi miwili sasa imepita shule za msingi na sekondari hazijapokea pesa za uendeshaji shule fedha hizo ni za mwezi October, na Novemba 2023, wale wa elimu msingi mwezi September 2023, hawakupokeea kabisa, wakaja kupewa za mwezi October pekee,

Kwa hiyo mpaka sasa elimu msingi wanadai pesa za mwezi September na November, sekondari wao wanadai za mwezi October na November, kwahiyo wakuu wa shule wana hali mbaya ikumbukwe huu ni mwisho wa mwaka, mwezi October na November shule zilikuwa na mitihani ya Taifa na mitihani ya kumaliza mwaka jiulize mitihani ya ndani imeendeshwaje shule zenye watoto elfu mbili plus.

Inasemekana zile shule za boarding za serikali zenye kidato cha tano na kidato cha sita wadhabuni wachakula baadhi ya maeneo wadhabuni wameingia woga kutoa huduma kwani miezi miwili sasa wamehudumia na hawajalipwa ikumbukwe sasa hivi hao wazabuni kila mwezi wanalipwa hivyo hali ni mbaya wanafunzi wanakula mlo mmoja tu kwaiyo mzazi ukiombwa pesa na mwanao mtumie hali si shwari uko mashuleni.
Wabongo kwa kupenda dezo,hv wewe hujiulizi, ukiangalia shule za English medium, private, ada kuanzia milioni 1,mpaka tatu! Ukija shule za serikali unaambiwa mzazi alipe elfu 40! Tu kwa mwaka! Na waaalimu walipwe mishahara, posho, gharama za umeme na maji shuleni,vitendea kazi nk! Yote hayo yafanyike kwa ka elfu 40 tu! Bro haiwezekani, gharama kubwa ilikuwa inabebwa na serikali, hv vipesa wanavyotoa wazazi ni kununulia chaki tu, sasa mfumo kama huu, hauwezi kuwa endelevu kwa nchi zenye uchumi hoehae kama wetu,itafika sehemu serikali itashindwa tu! Haitaacha kununua V8, ili ipereke pesa kwenye shule!
Mzazi jipange beba gharama za kusomesha mwenyewe,inabidi hata shule za msingi tusomeshe kwa mikopo.
 
Sio Elimu Bure Hata OC ya mwezi oktoba inasemekana pia Imeingizwa then Ikarudishwa HAZINA Ila to be Honest Serikali inakosea sana Kwenye Hili na Kama Kuna Changamoto Bora Wakasema Kuna Changamoto labda ya kimifumo au Vipi Shule zinadaiwa na Wazabuni Wazabuni nao wanadaiwa na Mabenki Wizara Husika nafikiri inayaona haya soon watatoa Majibu au Fedha kuwekwa kwenye mashule

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Wabongo kwa kupenda dezo,hv wewe hujiulizi, ukiangalia shule za English medium, private, ada kuanzia milioni 1,mpaka tatu! Ukija shule za serikali unaambiwa mzazi alipe elfu 40! Tu kwa mwaka! Na waaalimu walipwe mishahara, posho, gharama za umeme na maji shuleni,vitendea kazi nk! Yote hayo yafanyike kwa ka elfu 40 tu! Bro haiwezekani, gharama kubwa ilikuwa inabebwa na serikali, hv vipesa wanavyotoa wazazi ni kununulia chaki tu, sasa mfumo kama huu, hauwezi kuwa endelevu kwa nchi zenye uchumi hoehae kama wetu,itafika sehemu serikali itashindwa tu! Haitaacha kununua V8, ili ipereke pesa kwenye shule!
Mzazi jipange beba gharama za kusomesha mwenyewe,inabidi hata shule za msingi tusomeshe kwa mikopo.
Au Gharama zingizwe kwenye tozo nini?
 
Nashauri waziri wa Elimu na Waziri wa Fedha na Waziri Tamisemi wafikishiwe huu Ujumbe Hili ni Janga Huu mwendo sio Mzuri au ndio Sarafu Kushuka ndio Tumetikisika inasemekana shule hazijawekewa Miezi mitatu Fedha za Capitation Grants na Serikali ipo Kimya
 
Back
Top Bottom