Salaam, Shalom!
Hakuna cha bure yupo MMILIKI, mtoaji, Muumba wa vyote.
Sisi WANADAMU kwa ujumla wetu, masikini kwa tajiri, mgonjwa Kwa mzima, mrefu Kwa mfupi, mweupe Kwa mweusi nk nk tunavuta PUMZI ya uhai Bure kabisa.
Wema Kwa waovu, tunapata Bure PUMZI ya uhai.
Wenye dini kwa wapagani, tunaye Mungu mmoja atupaye Pumzi ya uhai Bure.
Wote Kwa nafasi zetu, tupite katika Uzi huu kumshukuru Mungu Kwa Kila nama atakayokujalia kumsifu na kumshukuru.
Ukiquote mstari wa Neno la Mungu, ni sawa, ukiweka wimbo ni sawa, ukishukuru Kwa maneno ya kinywa chako ni sawa, na hata ukisema tu "ASANTE", yatosha.
Karibuni🙏
Hakuna cha bure yupo MMILIKI, mtoaji, Muumba wa vyote.
Sisi WANADAMU kwa ujumla wetu, masikini kwa tajiri, mgonjwa Kwa mzima, mrefu Kwa mfupi, mweupe Kwa mweusi nk nk tunavuta PUMZI ya uhai Bure kabisa.
Wema Kwa waovu, tunapata Bure PUMZI ya uhai.
Wenye dini kwa wapagani, tunaye Mungu mmoja atupaye Pumzi ya uhai Bure.
Wote Kwa nafasi zetu, tupite katika Uzi huu kumshukuru Mungu Kwa Kila nama atakayokujalia kumsifu na kumshukuru.
Ukiquote mstari wa Neno la Mungu, ni sawa, ukiweka wimbo ni sawa, ukishukuru Kwa maneno ya kinywa chako ni sawa, na hata ukisema tu "ASANTE", yatosha.
Karibuni🙏