Tuingize tu bure Jumatano baada ya Kushiba Uzuzu wetu kwa Kutupiga, ila Wajukuu wa Kwame Nkurumah wakituadhibu utatumbua na Magodoro yako

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,654
109,055
Yaani Mashati yetu yenye Vifungo unayauza kwa Tsh 40,000/ halafu Wewe unachukua Tsh 38,500/ na Sisi Mazuzu wa Mafurikoni na Vyura wetu unatupa Tsh 1,500/ tu.

Nadhani bado hujatujua Sisi Mazuzu.
 
Back
Top Bottom