Nahisi kusoma kwangu ni bure, bora ningebaki tu nyumbani

Rayns

JF-Expert Member
Jul 29, 2023
999
1,329
Nimeianza IT Rasmi, naiona Rahisi ila ya moto, wanvyofundisha sielewi kabisa yaani, darasani kama ni mtihani tukipewa leo au siku yoyte, basi mimi nitakuwa ni mmojawapo wa wanafunzi waliofanya vibaya darasani,

Jamani naombeni mnishauri jamani,

SASA BASI.....

Tukija upande wa practical sasa ukiachana na ma operating system kuyakariri, nipo vizuri japokuwa so kivili, kidogo najitahidi kutatua changamoto ndogondogo za kiteknolojia pale simu zao zinapopata shida,

Naombeni ushauri jamani halafu pia mapenzi yananitesa nashindwa kuacha japokuwa sijatongoza msichana yeyote tangu nianze masomo october mwaka huu,

Pia mimi ni level 4

Nasema ukweliii mapenzi yananitesaaaa na ndio chanzo cha mimi kutokuelewa class nahisi, naombeni mnishauri kak zangu kwa dada zangu.
 
Nimeianza IT Rasmi, naiona Rahisi ila ya moto, wanvyofundisha sielewi kabisa yaani, darasani kama ni mtihani tukipewa leo au siku yoyte, basi mimi nitakuwa ni mmojawapo wa wanafunzi waliofanya vibaya darasani,

Jamani naombeni mnishauri jamani,,,,,,,

SASA BASI.....

Tukija upande wa practical sasa ukiachana na ma operating system kuyakariri, nipo vizuri japokuwa so kivili, kidogo najitahidi kutatua changamoto ndogondogo za kiteknolojia pale simu zao zinapopata shida,

NAOMBENI USHAURI JAMANI ALAF PIA MAPENZI YANANITESA NASHINDWA KUACHA JAPOKUWA SIJATONGOZA MSICHANA YEYOTE TANGU NIANZE MASOMO OCTOBER MWAKA HUu,
Pia mm ni level 4

nasema ukweliii... mapenzi yananitesaaaa... na ndio chanzo cha mimi kutokuelewa class nahisi, naombeni mnishauri kak zangu kwa dada zangu.......
Tatizo vyuo vimevamiwa Kuna watu wanatakiwa kuwa wapiga debe au Makondakta daladala au vibarua wabeba mizigo sokoni au nzege kwenye majenho wanaomba kusoma IT vyuoni na kupoteza Bure pesa za ada za wazazi wao

Ushauri acha chuo nenda kawe mpiga debe au msukuma mkokoteni au kibarua mbeba nzege kwenye majengo
 
Nimeianza IT Rasmi, naiona Rahisi ila ya moto, wanvyofundisha sielewi kabisa yaani, darasani kama ni mtihani tukipewa leo au siku yoyte, basi mimi nitakuwa ni mmojawapo wa wanafunzi waliofanya vibaya darasani,

Jamani naombeni mnishauri jamani,,,,,,,

SASA BASI.....

Tukija upande wa practical sasa ukiachana na ma operating system kuyakariri, nipo vizuri japokuwa so kivili, kidogo najitahidi kutatua changamoto ndogondogo za kiteknolojia pale simu zao zinapopata shida,

NAOMBENI USHAURI JAMANI ALAF PIA MAPENZI YANANITESA NASHINDWA KUACHA JAPOKUWA SIJATONGOZA MSICHANA YEYOTE TANGU NIANZE MASOMO OCTOBER MWAKA HUu,
Pia mm ni level 4

nasema ukweliii... mapenzi yananitesaaaa... na ndio chanzo cha mimi kutokuelewa class nahisi, naombeni mnishauri kak zangu kwa dada zangu.......
Dogo soma aisee....acha masihara na elimu
 
Nimeianza IT Rasmi, naiona Rahisi ila ya moto, wanvyofundisha sielewi kabisa yaani, darasani kama ni mtihani tukipewa leo au siku yoyte, basi mimi nitakuwa ni mmojawapo wa wanafunzi waliofanya vibaya darasani,

Jamani naombeni mnishauri jamani,,,,,,,

SASA BASI.....

Tukija upande wa practical sasa ukiachana na ma operating system kuyakariri, nipo vizuri japokuwa so kivili, kidogo najitahidi kutatua changamoto ndogondogo za kiteknolojia pale simu zao zinapopata shida,

NAOMBENI USHAURI JAMANI ALAF PIA MAPENZI YANANITESA NASHINDWA KUACHA JAPOKUWA SIJATONGOZA MSICHANA YEYOTE TANGU NIANZE MASOMO OCTOBER MWAKA HUu,
Pia mm ni level 4

nasema ukweliii... mapenzi yananitesaaaa... na ndio chanzo cha mimi kutokuelewa class nahisi, naombeni mnishauri kak zangu kwa dada zangu.......
🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom