Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 999
- 1,329
Nimeianza IT Rasmi, naiona Rahisi ila ya moto, wanvyofundisha sielewi kabisa yaani, darasani kama ni mtihani tukipewa leo au siku yoyte, basi mimi nitakuwa ni mmojawapo wa wanafunzi waliofanya vibaya darasani,
Jamani naombeni mnishauri jamani,
SASA BASI.....
Tukija upande wa practical sasa ukiachana na ma operating system kuyakariri, nipo vizuri japokuwa so kivili, kidogo najitahidi kutatua changamoto ndogondogo za kiteknolojia pale simu zao zinapopata shida,
Naombeni ushauri jamani halafu pia mapenzi yananitesa nashindwa kuacha japokuwa sijatongoza msichana yeyote tangu nianze masomo october mwaka huu,
Pia mimi ni level 4
Nasema ukweliii mapenzi yananitesaaaa na ndio chanzo cha mimi kutokuelewa class nahisi, naombeni mnishauri kak zangu kwa dada zangu.
Jamani naombeni mnishauri jamani,
SASA BASI.....
Tukija upande wa practical sasa ukiachana na ma operating system kuyakariri, nipo vizuri japokuwa so kivili, kidogo najitahidi kutatua changamoto ndogondogo za kiteknolojia pale simu zao zinapopata shida,
Naombeni ushauri jamani halafu pia mapenzi yananitesa nashindwa kuacha japokuwa sijatongoza msichana yeyote tangu nianze masomo october mwaka huu,
Pia mimi ni level 4
Nasema ukweliii mapenzi yananitesaaaa na ndio chanzo cha mimi kutokuelewa class nahisi, naombeni mnishauri kak zangu kwa dada zangu.