The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,465
- 17,307
Itakuwa sawa na elimu bure ila ukienda hospital lazima utoe rushwa ndipo umwone daktari na utaambulia panadol tuNa Tanzania ije hii, swala la Afya ya mtu ni muhimu zaidi
Hi ndiyo report sahihi. Ni nchi chache sana duniani ambapo halipi ibima ya afya hata senti moja.Usahihi ni kwamba Kiwango cha bima kimepunguzwa kutoka Ksh. 500 hadi 300. Ila kwa wale wasio na uwezo kabisa ndio watapata tiba bure. Kwa hiyo sio kweli kwamba wananchi wote watatibiwa bure.
Tanzania bado wanakukuruka na bima ya afya kwa wote.Ishu ya matibabu ni ya msing sana.Ila naona serikali nyingi za nchi za africa zimeanza kufanya biashara kwenye matibabu.Na wanafanya mazaha mwingi sana linapokuja suala la huduma za afyaNa Tanzania ije hii, swala la Afya ya mtu ni muhimu zaidi