bongo

Neno lisilo rasmi / la mtaani likimaanisha Tanzania. Linatumika badala ya neno Tanzania.
  1. Jamii Opportunities

    Senior Software Engineer at Bongo Live

    Bongo Live is a cloud communications service provider based in Dar es Salaam with a presence across 18+ African markets (www.bongolive.co.tz). Our unique service provides enterprises the ability to reach and transact with customers across Africa via sms, ussd, airtime and mobile payments...
  2. teledam

    Chemsha bongo

    Mwalimu akiwa katika mazungumzo na wanafunzi wake akawaambia "Kama jana ingelikuwa kesho basi leo ingelikuwa jumamosi" je mwl aliitoa kauli hiyo siku gani? Binafsi sina jibu😝😝
  3. Dong Jin

    Wanaowalaumu wasanii wa bongo wa mziki kwa playback hawajui mziki!

    Nipo naangalia Clouds Tv hapa wameweka moja ya show ya Chris Brown... Hatofautiani sana na anavofanyaga msanii wetu pendwa Diamond Platnumz... Zile tuimbe wote kama kawa, sauti out of normal song vocal, afu ni playback... Sa sijui kwanini wasanii wetu hapa wakifanya hivo wanaonekana bogas...
  4. Pascal Mayalla

    Corona: Japo ni janga, pia ni fursa. Tanzania bado hakuna maambukizi, tupunguze panic, tuongeze Elimu. WB kumwaga mihela, tuchangamkie fursa

    Wanabodi, Kuna msemo wa Kiswahili usemao "Kufa Kufaana", wakati watu wanahangaika na janga la Corona, wengine wanaangazia namna ya kutumia changamoto kuzibadili kiwa fursa, yaani turning problems, obstacles, challenges or adversaries into opportunities. Tangu dunia na taifa letu kukumbwa na...
  5. Trubarg

    Corona: Wasanii wa Bongo wanaongoza kwa ukilaza

    Naongelea hasa zile basics za corona ikiwemo matumizi ya vifaa kinga kama mask, gloves na sanitizer. Wakati mashirika makubwa ya Afya duniani na vyombo vingine vya habari wakihamasisha hatua stahiki za kuchukua ikiwemo kunawa mikono na kuepusha kushikana mikono na mikusanyiko isiyo ya lazima...
  6. goldcall

    Hivi ni kweli COVID-19 haijaingia bongo au ndio tunafichaficha kama ilivyo desturi yetu?

    Kichwa chajieleza ni wasiwasi na kuto kuamini viongozi wetu,maana ni matukio mengi, huwa hatuambiwi kwa lengo la kulinda mambo fulani katika nchi au hata jinsi tutakavyo onekana nchi za nje. By fact- Tanzania inategemea bizaha nyingi sana kutoka china, kwa mfano, pale kariakoo, bizaha nyingi ni...
  7. Randy orton

    Hivi Serikali imechukua hatua kufuatia ile video ya ngono inayosambaa mtandaoni?

    Kuna kila dalili ya jinai ya kubaka ikiwahusisha wanawake katika hii connection mpya mjini. Kwa uelewa wangu mdogo wa sheria zetu Tanzania, mwanamke hawezi kuwa convict kwa kosa la ubakaji unless iwe gang rape na huyo mwanamke/wanawake wahusike katika kusaidia ubakaji kufanyika. Hii connection...
  8. GRAMAA

    Tabia za kiboya za wasanii wa Bongo

    Bongo hapa tunawasanii wengi sana wanaofanya vizuri nje na ndani ya Bongo. Pamoja na mazuri yao wasanii hao wengi wao huwa na Gambia za ajabu ajabu sana. Mfano kila msanii na yake. 1. NIKKI WAPILI Huyu hujionaga yeye ndiye msanii msomi pekee dunia nzima hakuna. Kwenye kila media akienda...
  9. mayowela

    Media za Bongo na muendelezo wa Copy & Paste

    Hili suala linanishangaza sana kwa upande wa media, wenzetu wa nchi za mbali huko wao huajili watu kwa kazi maalumu tu ya ubunifu na hulipwa mshahara wa juu sana, na hiyo hufanya Redio/TV kuwa midomoni mwa watu wakati wote na kuwa undisputed. Sasa tuone hapa kwetu, na wewe utakuja na orodha...
  10. Z

    Ni vigumu kuamini lakini Harmonize is the new king of bongofleva. Mbeya wamethibitisha hilo. Afroeast album ndio itayotoa majibu

    Mapokezi makubwa aliyoyapokea mbeya... Yamemshtua sana kijana wetu anaepambana kuukuza mziki Wa bongo fleva. Mji wa mbeya umezizima siyo kawaida... Na hapo unaambiwa ni maandalizi ya kuupokea album. Ya afroeast . 2009 diamondplatinumz alianza hivihivi. Kama matani. Mwishowe akaubeba ufalme....
  11. mayowela

    Je, Bongozozo ana nia iliyojificha?

    Naweza nikasaidiwa humu kwa wajuzi, haya masuala siyafahamu kiundani ila kupitia maandiko mbalimbali, nk nimekuwa kuna watu siwaamini, nakukaa kwa umakini, kutokumuamini kila mtu, issue za usalama, upelelezi. Hivi Bongo ZOZO ni shabiki tu na mtu mwenye mapenzi na Tanzania au kuna kitu nyuma...
  12. Samedi Amba

    Kati ya AliBaba na Amazon, nani mkali Bongo?

    Juzi nilikuwa mtandaoni, nikastumble upon uzi unaolinganisha Alibaba na Amazon. Nikaona jinsi ambavyo wanaendana bega kwa bega kwa vitu vingi tu. Tukizingatia pia kuwa watanzania wengi wanaelekea Mashariki china dubai nk kununua vitu. Lakini swali linabaki, kati ya hawa magwiji wawili, nani...
  13. T

    Ratiba ya Ligi Kuu Bara: Inakuwaje Ijamaa kuna mechi halafu Jumapili na Jumamosi hakuna?

    Nashindwa kuelewa kwanini azam jana na KMC walicheza na leo hakuna game Taifa japo sijajua taifa Kuna nini Angalieni ratiba zenu TFF. Watu J. Pili Na J.mosi wako home wanasubiria burudani
  14. H

    Kuna haja ya wasanii wa bongo kuwa wabunifu kwenye matamasha

    Moja Kati ya Jambo nimeona Kuna improvement kwenye mziki wetu ni suala la ubunifu wa majukwaa na hii imechangiwa na competition ya matamasha yetu especially Wasafi festival na fiesta kwa upande wa efm kidogo wapo nyuma kwenye kutengeneza jukwaa lenye kiwango Cha kimataifa. Ukiangalia Wasafi...
  15. Babu Kijiwe

    Bongo Zozo amesajili Channel yake TCRA?

    Habari zenu wakuu, Sheria za mtandao nchini zinawataka watengeneza maudhui wote kusajili channels zao TCRA bila kujali ni maudhui gani wanatoa, jambo hili limefanya baadhi ya watu walioendelea kutoa maudhui bila kusajili kujikuta mikononi mwa vyombo vya ulinzi na usalama, mfano yupo kijana...
  16. Guacamole

    Chemsha Bongo

    Habari wakuu, Ningependa tuchangamshe bongo zetu kidogo. Unaweza kutunga sentensi kwa kutumia lugha 3 tofauti? Ngoja nianze na mfano: 1. Habari za asubuhi (Kiswahili) 2. Good morning (English) 3. Buenos dias ( Spanish) Twenzetu wazee!!
  17. Keyboard_Warrior

    Je, Samatta atafanya makubwa EPL?

    Kwa kiwango alichoonesha leo, basi Samatta ajiandae kukalia "ubao", pia nimesikia jamaa (Aston Villa) wanamtaka Sturridge. Kama ataendelea kupuyanga uwanjani kwa mtindo huu wa leo basi atakalia "ubao" mpaka makalio yatawaka moto. Ila bado nina imani naye, aendelee kupambana tu.
  18. Mwananchi wa chini

    Ni Diamond Platnumz ukipenda mwite Warren Buffett wa Bongo

    MWAKA 2007 (miaka 11 iliyopita), nilisoma jarida la Forbes. Mahojiano mazuri na tajiri mwenye mawe mengi, Warren Buffett. Kipindi hicho, Buffett alikuwa tajiri namba mbili duniani, nyuma ya Bill Gates. Niliandika makala gazetini mwaka huo kwa kutafsiri mahojiano hayo. Wakati huo, Buffett...
Back
Top Bottom