Mziki wetu wa Bantu unafeli wapi vs Bongo fleva?

FUSO

JF-Expert Member
Nov 19, 2010
31,617
37,815
Sikiliza kwa makini wimbo huu, namna maudhui, sauti na mpangilio wa vyombo ulivyofanyika. Je mziki huu wa kibantu unafeli wapi against Bongo fleva?

Yaani mziki wa namna hii kwa nini unashindwa ku break into the music industry !! tatizo?

 
Back
Top Bottom