ajira

  1. I AM BANE

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya kudumu au ya muda Dodoma nina uzoefu kwenye Sales & marketing, consultation, supervisory roles

    Natafuta kazi ya muda au ya kudumu Dodoma My experience ni kuanzia kwenye Sales & marketing,consultation, supervisory roles kama sales supervisor, property manager, Team leader Nina uzoefu wa miaka 4, na pia nina very valuable skills kama Hardworking, Multitasking, Teamwork, na Fast learning...
  2. Petro E. Mselewa

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli: Ubunge umekuwa rahisi na usiotisha tena. Kuna wa kulaumiwa au kupongezwa?

    Mimi si mtu mzima sana ingawa nami najongea miaka ya kuweza kugombea Urais wa Tanzania kwa mujibu wa Katiba yetu ya sasa(miaka 40). Hatahivyo, nimekuwa mfuatiliaji mkubwa wa siasa na mambo ya kinchi tangu nikiwa mdogo. Leo, nitalizungumzia Bunge kama Mhimili mmojawapo wa dola. Mingine, wengi...
  3. Freddie Matuja

    JamiiForums Tanzania Ubunge wa CCM ni "FURSA ya Kutoka" kuwa Waziri, Kupata Ajira ya miaka 5 au mengine mengine

    Rais Magufuli anamaliza ungwe yake ya kwanza ya miaka 5 na sasa anakwenda ungwe ya pili 2020-25. Bila shaka atashinda kwa maana wapinzani wake wana hoja dhaifu na maandalizi yao ni muda mfupi kiasi ambacho wanakosa muda na agenda ya kupindua meza ya kifikra ili kuchukua Urais. Ila hoja yangu...
  4. Mwamba1961

    JamiiForums Tanzania Tangazo la ajira: Technician Grade II

    EMPLOYERSHIRIKA LA MZINGA APPLICATION DEADLINE :2020-07-21 DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. To operate, maintain and assist to repair production machines; ii. To assist to design and inspect products manufactured and other work to ensure they conform to specified standards, plus...
  5. J

    JamiiForums Tanzania NEC yatangaza ajira 300,000 katika Uchaguzi Mkuu wa 2020. Vijana changamkieni

    Ni jambo jema. Tume ya Uchaguzi yaani NEC imetangaza ajira mpya 300,000 kuelekea uchaguzi mkuu October 2020. Vijana changamkieni ajira bila kujali itikadi. Source Nipashe Maendeleo hayana vyama! === NEC: AJIRA 390,000 UCHAGUZI MKUU 2020 TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), inatarajia kutangaza...
  6. U

    JamiiForums Tanzania Tujue moja: Nchi hii ajira kwa graduates zimeshafutwa!

    Miaka mitano hamna ajira kabisa wala kupandishwa mishahara wafanyakazi? Hebu vijana unganeni mumtoe huyu jamaa hata akiiba kura ingieni barabarani. Hakikisheni utawala kama ule wa JK wa kuajiri kila mwaka madaktari na walimu unarudi la sivyo huyu jamaa atawaua maana hajali lolote bora mfe ila...
  7. Mwamba1961

    JamiiForums Tanzania Kwanini nikiomba ajira kwa Mohammed Enterprises Tanzania Limited - MeTL huwa siitwi?

    Habari zetu, Mimi nimekuwa nikiomba kazi zinazotangazwa na Mohammed Enterprises Tanzania Limited - MeTL ila nimekuwa sipati majibu ya kuitwa, ila nikituma sehemu nyingine naitwa. Unahisi nakosea wapi?
  8. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Kutoka "elimu elimu elimu" mpaka "ajira ajira ajira"

    Ajenda kuu mwaka huu iwe ni suala la ajira watanzania tujiulize nani ana sera nzuri za kuwapa watoto wa wenye Nchi ajira ili nao wafike mahali pazuri kama ambavyo na wenyewe walipata ajira wakafikia hizo nafasi kubwa kubwa. Tuache Kwanza habari za nyongeza ya mshahara kwa watumishi tujue...
  9. FrankLutazamba

    JamiiForums Tanzania Kila mwenye shahada asiye na ajira aendelee kulipwa pesa ya kujikimu(boom) Tsh. 5,000 akiwa anasaka ajira

    Mh. Rais Dr. Magufuli tunakuomba kila mwenye shahada(degree)aendelee kulipwa hata baada ya kuhitimu shahada, mfano tukiwa milioni moja ukizidisha mara elfu tano ni kama milioni mia tano tu kwa mwezi na hapo wengi umeshawaajili hivyo tunakuwa kama laki tano tu ambao ni sawa na milioni mia mbili...
  10. VentureCapitalist

    JamiiForums Tanzania Natafuta ajira ya udereva, nina uzoefu wa miaka 7 wa kuendesha magari ya mizigo

    Habari wana JamiiForums, Natafuta ajira ya udereva Nina umri miaka 26. Nina uzoefu wa miaka 7 kwenye magari ya mizigo, abiria na kawaida. Pia ninaozefu wa kulima kwa trekta shambani. Leseni yangu ni daraja B, C1, C2, C3, D, G, E Tafadhali kwa ambaye ataniona naweza kumfaa naomba...
  11. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Kuwe na website maalumu kwa ajili ya wahitimu wanaotafuta kazi

    Hello JF... Nimeijibu hii katika one of the topics but nimeona tudiscuss. Kuna changamoto kubwa sasa hivi kupata ajira kwa wanaohitimu vyuoni. Hata humu tukiona graduates wakitafuta kazi yoyote itakayowafanya waishi. MImi leo ningependa kupendekeza kuwe na Facilitator/ Agency katika...
  12. mgt software

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ombi kwa Magufuli: Piga chini Wazee kuanzia 65-90, kwani hawana shukrani na ajira, kura za maoni ziwe na wenye maono sio walioshindwa kujenga nchi

    Wana JF, Kuna Wazee wengi mfano wa Wassira bado wana uchu wa kuingia bungeni, Wazee kama Mkuchika piga chini wazee wote kwani ndio waliotudhooofisha kwenye kwenye maendeleo kwenye miaka waliohudumu walikuwa ni ndiyooo kwenda mbele, hawa wazee so kwamba wana lolote Bali ndio waliotengeneza CCM...
  13. U

    JamiiForums Tanzania GE2020 Suala la ajira ndio litamuondoa Rais Magufuli madarakani hasa vijana ambao ndio wengi

    Huyu jamaa swala la ajira ameliona lakawaida sana bora ajenge barabara, madaraja na flyover na kununua wapinzani tu. Mwenzake jk swala la ajira alilikumbatia sana kiasi ambacho kila mwaka walimu wote waliajiliwa labda ukatae mwenyewe ajira. Madaktari nao wanasugua benchi kitaa. Ikumbukwe kwamba...
  14. Ivan Breaker

    JamiiForums Tanzania Course gani nzuri katika Utumishi wa Umma upande wa ajira?

    ...
  15. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania BSc. Petroleum Chemistry Vs BSc. Petroleum Engineering. Ni kozi ipi ina uwanja mpana wa Ajira?

    Habari za Leo wakuu, Naombeni kuuliza kati ya hizo kozi mbili tajwa ni ipi ina uwanja mpana wa ajira kwa hapa Tanzania? Na ni ipi ipo wide? Natanguliza shukrani.
  16. dosama

    JamiiForums Tanzania Naona kuna shida ya ajira au kupata fedha. Jimbo moja watia nia zaidi ya 500. Au siasa imekuwa ya yeyote anayeweza?

    1. Magufuli alisema kazi ya urais ni kazi ngumu sana anatamani aondoke hata leo, lakini bado kachukua fomu ya kuomba kuongoza dola (sio fomu ya kuomba nafasi ya chama kuwa mgombea). Na tena fomu ilikuwa moja tu. 2. Naona wakuu wa mikoa, wilaya, DED na wateule karibia wote wanataka kuwa wabunge...
  17. jastertz

    JamiiForums Tanzania Hivi unatambua kuwa hizi ni ajira kubwa sana mtandaoni kwa sasa?

    Hivi unatambua kuwa hizi ni ajira kubwa sana mtandaoni kwa sasa? Authors, trainers, motivators, consultants, councillors, inspirers, and teachers in any field. Kama una uwezo au ujuzi katika Mambo haya uwanja ni wako. Cha msingi ni kujiboresha na kutafuta connection kubwa ya watu...
  18. P

    JamiiForums Tanzania Kwa hali ya ajira ilivyo sasa, Serikali fikirieni upya kuhusu fao la kujitoa kwenye ajira

    Kuna kundi kubwa sana la vijana wasiokuwa na ajira ama wako kwenye ajira zisizo rasmi na ajira za ujira mdogo. Hawa wote wanategemea siku moja kupata kazi zenye maslahi ya kuridhisha. Kibaya zaidi kuna watu wameajiriwa serikalini na sekta binafsi lakini sio wote walio na malengo ya kustaafu...
  19. J

    JamiiForums Tanzania Dkt. Abbas: Ongezeko la ajira ni sababu kuu iliyotupeleka uchumi wa kati

    Msemaji mkuu wa Serikali Dr Abbas amesema uwekezaji mkubwa katika miradi ya kimkakati iliyozalisha ajira lukuki ndio sababu kuu ya kupaisha uchumi wetu. Dkt. Abbas amesema miradi kama SGR na Stiglers Gorge imekuwa kichocheo cha ongezeko la ajira nchini. Chanzo: ITV habari Maendeleo hayana vyama!
  20. T

    JamiiForums Tanzania Mwezi June Trump aongeza ajira milioni 4.8 kinyume na matarajio ya wataalamu

    Mwezi wa 6 Serikali ya Marekani imeongeza Ajira milion 4.8 kinyume na matarajio ya wataalamu. Wataalamu walitabiri kua ajira milion 5 zitapotea ila imekua kinyume chake, ajira milion 4.8 zimeongezeka. Mwezi wa 5 watabiri walisema ajira milion 7 zingepotea ila ajabu Trump akatengeneza ajira...
Back
Top Bottom