Hadi wakati huu taifa letu lina wahitimu wengi ambao walitegemea kuajiriwa baada ya kuhitimu mafunzo yao ya elimu aidha ya vyuo vikuu ama ambao kwa bahati mbaya ni wahitimu wa elimu ya juu ya sekondari yaani kidato cha sita na wameshindwa kusonga mbele kwa kufeli ama kwa kukosa mkopo wa...
Namaanisha hivi...
Mim sikufanikiwa kuhitim form four niliishia form three kutokana na ishu za uchumi. Lakini kutokana na uwezo wangu ulikua mzuri kiakili yaani sikua kilaza. Baada ya kupata kibarua kiwandan nilifanikiwa kujilipia technical college pale techno brain(Dar es salaam) ambako wao...
Kumekuwa na taratibu zisizo rasmi ktk kutoa ajira kwenye miradi mbali mbali ya maendeleo nchini mwetu, licha ya kuwa serikali inataka baadhi ya nafasi kupewa wazawa ili nao wapate ajira na kuendeleza ustawi wa nchi.
Badala yake hata nafasi wanazoweza kufanya watanzania wanapewa wageni kwa...
Hizi ni kozi ambazo mtu anaweza akasoma kuanzia ngazi ya Certificate,Diploma, Bachelor au Masters na akawa name fursa kubwa ya kupata kazi nchi yoyote na ni rahisi kujiajiri kwenye sekta ya bahari.
1.Marine Survey
Hii kozi ukisoma la kazi zako itakuwa ni kukagua meli kabla haijajengwa, Meli...
Mtikisiko wa Corona :Serikali ya Uingereza kulipa mishahara wafanyakazi wa sekta binafsi ili kulinda ajira zao. Kwa kweli huu ni utu zaidi ya ujamaa wa Mwalimu Juliazi.
====
Has the national life of this country ever been transformed so completely and at such a speed? In the course of a week...
Naitwa Irshadi Kusaka mimi ni mkazi wa Dar es Salaam. Natafuta kazi ya udereva kufanya kwenye kampuni yoyote au mtu binafsi. Nimefanya kazi hii na kampuni ya group six, emirates na nyengine nyingi.
Kwa kirefu zaidi nime elezea kupitia CV yangu ipo hapo chini kwenye link
Irshad Kusaka - Luis...
Utangulizi
Ni kampuni ndogo ya IT inayojishughulisha na ku manage website na ku manage kurasa za mitandao ya kijamii ya makampuni na watu binafsi, hivyo tunahitaji kuongeza watu zaidi kwenye timu yetu kwa ajili ya kutusaidia shughuli za kila siku.
Ajira
Wanahitajika watu wanne kwa ajili ya...
Habari wadau,
kumeibuka utapeli unaowalenga wahitimu wa vyuo, hasa ukizingatia kipindi hiki kila mtu anatafuta ajira na zimekuwa ngumu kwelikweli, hivyo matapeli hawa wamekuja na njia ya kutangazia watu kuna nafasi za kazi mahali fulani na kutoa mawasiliano yao.
Ukishawatafuta wanakuomba...
Sahau kuhusu Simba na Yanga kwa leo. Karibu tuangazie suala hili.
Ni kisa cha kweli nilichoadisiwa na mmoja wa marafiki zangu na classmate wangu,yeye ni mtumishi wa umma katika mkoa X wilaya X hapa nchini ameanza kazi mwaka 2011 kama afisa msaidizi baadaye akawa confirmed afisa kamili...
INTERNSHIP OPPORTUNITY
Position: Accountant
ECOACT Tanzania, is a social enterprise based in Tegeta DSM, Our core business is transforming plastic garbage to manufacture plastic timbers used for building, construction ad well as furniture making.
Requirements
a) Diploma/ degree in Accounts/...
Mimi ni kijana wa miaka 24 nimemaliza kidato cha sita 2016, Natafuta kazi yoyote ya halali niweze kujikimu kimaisha. Ninaweza kutumia computer vizuri na pia ni mpishi mzuri tu. Usafi, ulinzi, kuuza duka au hata msaidizi ofisini ninaweza kufanya kazi kwa bidii na uaminifu wa hali ya juu...
Wanawake nchini Tanzania hutumia wastani wa zaidi ya masaa 6 kwa siku kufanya kazi zisizokuwa na malipo kama kupika, kuchota maji - ukilinganisha na masaa 3 tu wanayotumia wanaume. Kama kazi wanazofanya zingegeuzwa kuwa za malipo zingetengeneza zaidi ya nusu ya ajira zilizopo. #IWD2020 #EachforEqual
Habari wana JF,
Mimi ni kijana na nina Stashahada ya Afya ya wanyama na Uzalishaji ( Diploma in Animal health and production).
Matamanio yangu mwaka 2020 ni kusoma kozi ya Wildlife tourism management pale MWEKA, naomba mwenye ujuzi na hii kozi au field ya utalii anijuze, atoe maoni au taarifa...
Nimshukuru kwa moyo wa dhati Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutambua mchango wa madaktari na uhitaji wa wananchi kupata huduma zenye weledi.
leo hii ameagiza madaktari 1000 kuajiriwa...hili sio jambo dogo kiuchumi kwani wage bill katika sekta hii moja tu ni kubwa.
Jukumu la...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 20, Febuari, 2020 anazungumza na Madaktari pamoja na watumishi wa Sekta ya Afya katika Hafla Maadhimisho ya Siku ya Madaktari Nchini inayofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwalimu Julius Nyerere...
Habari wadau, kwa ka uzoefu kadogo nilikonako naona kwenye usaili kuna baadhi ya vitu vinapelekea usiitwe au uitwe ili kuja kukupima uelewa wako, kuna baadhi ya mambo ya kuzingatia kwenye kuomba kazi pia kwenye usaili, unaweza ukawa unakosa kazi au unataka kubadirisha kazi ukaanza kumtafuta...
Hawa waajiri hasa waajiri wa kigeni (foreigners) hawapendi kabisa ishu ya mikataba, wanapenda kuajiri kisela sela sana, yaani mnaelewana kwa mdomo tu kwamba mtalipana kiasi fulani cha pesa kwa muda fulani basi.
Sasa changamoto inakuja kwenye malipo ni kasheshe, wananyanyasa sana wafanya kazi...
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT’S OFFICE
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref.No.EA.7/96/01/K/154
11th February 2020
VACANCIES ANNOUNCEMENT
On behalf of The Open University of Tanzania (OUT), The Eastern Africa Statistical Training Centre (EASTC) and The Office of the Solicitor...
Habari wadau. Nina swali kichwani bado sijalipatia jawabu, naombeni mchago wenu.
Zipi ni blog 10 safi Tanzania ambazo zipo updated sana kila siku na zinatoa matangazo ya ajira ya uhakika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.