TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari wadau!
Ebu leo tuongee ukweli hivi kweli Tanzania ajira ni tatizo au tatizo ni wahitimu wetu na vyuo vyetu vinavyozalisha hao wahitimu.?
Si kwamba kuna vyuo vinatoa wahitimu wepesi wenye degree na GPA za chupi na zenye uzito wa kinyoya na weupe kichwani kabisa kiasi ambacho hata wawekezaji wanaogopa kuwaajiri sababu wanakosa zile sifa anazotaka muajiri?
Au tatizo lipo kwenye mifumo yetu ya elimu?
Tunasema serikalini hakuna ajira, je na sekta binafsi nako hakuna mbona mashirika binafsi ni mengi je nani anafanya kazi huko?
Je, tuendelee kungoja ajira za serikali au tukubaliane na Kigwa kuhusu kufikiri nje ya box?
Wengi wanaogoma kukubali ukweli wa Kigwa wa kufikiri nje ya box hawana hata watoto wa kusingiziwa au hawatumi na yakutolea.
Ukweli siku zote lazima huwe mchungu ili hiwe ngumu kumeza,kuna mda inabdi tusemwe vibaya ili tupate gazabu na kuongeza juhudi.
Ebu leo tuongee ukweli hivi kweli Tanzania ajira ni tatizo au tatizo ni wahitimu wetu na vyuo vyetu vinavyozalisha hao wahitimu.?
Si kwamba kuna vyuo vinatoa wahitimu wepesi wenye degree na GPA za chupi na zenye uzito wa kinyoya na weupe kichwani kabisa kiasi ambacho hata wawekezaji wanaogopa kuwaajiri sababu wanakosa zile sifa anazotaka muajiri?
Au tatizo lipo kwenye mifumo yetu ya elimu?
Tunasema serikalini hakuna ajira, je na sekta binafsi nako hakuna mbona mashirika binafsi ni mengi je nani anafanya kazi huko?
Je, tuendelee kungoja ajira za serikali au tukubaliane na Kigwa kuhusu kufikiri nje ya box?
Wengi wanaogoma kukubali ukweli wa Kigwa wa kufikiri nje ya box hawana hata watoto wa kusingiziwa au hawatumi na yakutolea.
Ukweli siku zote lazima huwe mchungu ili hiwe ngumu kumeza,kuna mda inabdi tusemwe vibaya ili tupate gazabu na kuongeza juhudi.