masomo gani mkuuNaomba kufahamu kwa mwenye BAEd ni masters degree gani zinafaa zaidi ili kwenda na soko la ajira? GPA 3.5
Acha ushamba mkuu, ww kama hupendi kusoma waache watu waendelee kusoma. Na pia kuna kazi ambazo huwezi kufanya kama huna masters au PhD,Masters ni kupalangana kutafuta hela haya makaratasi hayana msaada ngoja tuanze na hili je umeajiriwa na taasisi yoyote?
Tatizo tanzania kazi zote tunafanya kwa kutumia nguvu. lakini nchi za wenzetu kila kazi unatumia kile ulicho jifunza darasani.Masters ni kupalangana kutafuta hela haya makaratasi hayana msaada ngoja tuanze na hili je umeajiriwa na taasisi yoyote?
Ma masters ya nini?sema Kama unataka kufundisha chuo kikuu,au uwe mwanasiasa.Naomba kufahamu kwa mwenye BAEd ni masters degree gani zinafaa zaidi ili kwenda na soko la ajira? GPA 3.5
Asante kwa maoni yako mkuu. Nimepata wazo piaMa masters ya nini?sema Kama unataka kufundisha chuo kikuu,au uwe mwanasiasa.
Kitaa diploma,shahada zinatosha,
Hizo Elimu kubwa,zinakuwa na umuhimu Kama upo kazini,harafu ukaongeza kiwango Cha Elimu.
Sasa wewe utoke,chuoni na masters,huna uzoefu,harafu utegemee kampuni ikupe ukurugenzi?!!
Sana mkuu ila lengo langu ni masters zipi zinashika kasi kwa hivi sasaOf course chief katafute skill hela itakuja tuu,
Ukiwa na project nyingi mbona unatengeneza network kubwa ya kutegeneza pesa then kuna NGO, kibao inawatafuta wdnye SD kill kubwa
Tukipata pesa ni kusoma tuNa degrees yangu nimeishia kuwa kibaka manzese kazana mkuu huwezi jua
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app