afrika

  1. L

    Namna mwaka 2026 utakavyoimarisha uhusiano wa kielimu kati ya China na Afrika

    Mwezi Julai 2025, wanafunzi na walimu 20 wa Chuo Kikuu cha Ualimu cha Zhejiang waliwasili Port Elizabeth nchini Afrika Kusini, na kuwa wimbi jingine lisiloyumba la mawasiliano ya kielimu baina ya China na Afrika yaliyoanzishwa katika miaka ya hivi karibuni. Wakati mwaka 2026 ni wa mawasiliano...
  2. L

    Mabadiliko ya Kimya katika Sera ya Marekani kwa Afrika: misaada kama chombo cha kuhudumia mkakati wa taifa

    Katika mwaka mmoja uliopita tangu Donald Trump kurejea Ikulu ya White House, sera ya Marekani kwa Afrika imeanza kubadilika kimya kimya. Barua ya ndani ya mkuu wa Idara inayoshughulikia mambo ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani Nick Checker, iliyovuja hivi karibuni, ilifichua...
  3. Mkalukungone Mwamba

    Profesa Wangwe: Afrika iongeze thamani ya rasilimali zake

    Profesa wa Uchumi, Samuel Wangwe, amesema nchi za Afrika zinapaswa kuweka kipaumbele katika kuongeza thamani ya rasilimali zake ili kunufaika ipasavyo na utajiri uliopo barani humo. Amesema miongoni mwa njia muhimu ni kuwekeza kwa vijana kwa kuwapeleka kujifunza katika mataifa yaliyopiga hatua...
  4. The Burning Spear

    Chaguzi za Afrika zinatia Simanzi ndo maana tunazidi kuwa Maskini kila kukicha ona hii Uganda

    Siku zaja waganda watakuja kupigana vibaya mno
  5. H

    Tangazo la home tution Afrika Mashariki yote

    Je, unahitaji mwalimu bora anayekufikia nyumbani au online? Sisi tunatoa HUDUMA ZA HOME TUITION kote Afrika Mashariki 🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇷🇼🇧🇮🇸🇸 🔹 Mitaala yote (NECTA, Cambridge, IGCSE n.k) 🔹 Masomo yote kuanzia chekechea hadi sekondari 🔹 Lugha zote za kigeni 🔹 Mafunzo ya mtu mmoja mmoja au makundi 🔹 Online &...
  6. Chibike

    Mpira wa Afrika umevamiwa na Wamorocco, Waafrika tuungane kuukataa uhuni na ubanyamulenge wa nchi hii

    Katika Hali isiyokua ya kawaida baada ya mbinu zao chafu kufeli ama ushindi wa mezani kufeli, Sasa hasira zao wanazimalizia kwa mashabiki na wageni waliokuja ama walikuepo nchini humo kwa ajili ya kuja kuangalia michuano hio...Morocco inaonyesha uadui mkubwa kwa raia wa mataifa mengine ya...
  7. secretarybird

    Kumbe kwa wagogo kila kitu/jambo kina Mungu wake! Kweli hii Afrika bado sana

    Mimi sishabikii ukabila lakini hili la wagogo wa Dodoma limenishangaza. Eti Chatu ni nyoka wa mvua na haupaswi kumuua hata kukimkuta ndani mwako. Kenge, ni kiumbe wa mavuno na ukimuua basi wagogo watakuala sahani moja nawewe. Pimbi, ni kiumbe wa mitishamba hivyo kuharibu kumfhuru ni kutaka...
  8. Mhaya

    Mwandishi wa Ivory Coast ahoji AFCON 2027 kufanyika Afrika Mashariki yenye barabara mbovu na miundombinu mibovu

    Katika mkutano wa CAF uliofanyika hivi karibuni, Kuna kipande cha video cha mkutano huo kimeibua maswali mengi hususani kwa watu wa Afrika Mashariki, ikiwemo wakenya ambao kwenye kurusa za mitandao yao ya kijamii video hii imekuwa ikisambaa sana. Video hii inamhusu muandishi wa habari kutokea...
  9. Carlos The Jackal

    Anguko la Ushawishi wa US/EU kwa Afrika kumefanya Samia awe mfano kupelekwa ICC, Mabeberu hawataki tena kuwabeba Madikteta !!

    Moja ya jambo lilosumbua US na EU ni nini sababu ilivyo nyuma ya Anguko lao la Ushawishi katika Bara Afrika. Siasa zao za Kuwabeba Viongozi Vibaraka Kwa muongo mingi ilizalisha Chuki za Wananchi wa Nchi husika dhidi ya Marekan na Ulaya, Wananchi wakiwaita WAKOLONI MAMBO LEO Ni katika hili...
  10. ELI COHEN

    Sishangai mzungu kuita afrika "bara la giza", ni 2026 lakini waafrika wanafanyiana unyama utafikiri sokwe porini, poleni sana wachezaji wa senegal

    Picha linaanza pale tu wametua airport wananchi wakajazana kuwatishis na kuwaita maneno ya kibaguzi
  11. I

    Nchi 10 za Afrika zilizo salama kwa watalii kutembelea 2026. Tanzania haimo

    Usalama wa kusafiri barani Afrika unatofautiana kwa kiwango kikubwa, kulingana na eneo na nchi husika. Viwango kama Global Peace Index (GPI) na Safest Countries Index hutumika kupima usalama wa kisiasa na wa raia katika nchi mbalimbali. Kwa mujibu wa viwango hivyo, Mauritius inaongoza kwa kuwa...
  12. L

    Sera ya kuwepo kwa China Moja inasisitizwa wakati wa ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa China barani Afrika

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Bw. Wang Yi, amemaliza ziara yake ya mwaka mpya barani Afrika, kitu ambacho ni sehemu ya desturi ya miaka 36 sasa ya Waziri wa Mambo ya Nje wa China kufanya ziara ya kwanza barani Afrika kila mwaka mpya unapoanza. Moja kati ya mambo aliyofanya akiwa ziarani...
  13. B

    Tanzania kuendelea kufaidi programu za biashara za pande mbili, Sheria ya Ukuaji na Fursa ya Afrika (AGOA)

    12 January 2026 Baraza la Wawakilishi laongeza muda wa mkataba wa AGOA Januari 12, 2026 WASHINGTON, DC – Baraza la Wawakilishi limepiga kura ya kuendelea na programu za biashara za pande mbili, Sheria ya Ukuaji na Fursa ya Afrika (AGOA) na HOPE/HELP kwa Haiti, ambazo zinalinda na kuimarisha...
  14. Stuxnet

    The Chanzo: Tanzania yauza Afrika Mashariki kuliko inavyonunua

    Tanzania ina trade surplus dhidi ya nchi jirani — hii inamaanisha inapata fedha zaidi kutoka mauzo ya nje kuliko inavyotumia kwa uagizaji kutoka nchi hizo. Nchi zinazotoa surplus kubwa zaidi ni DRC, Rwanda, Uganda na Burundi. Hii inaonyesha Tanzania imekuwa muuzaji mkuu wa bidhaa (hasa bidhaa...
  15. Q

    CHADEMA inapitia njia ya ANC ya Afrika Kusini, kiliwahi kuzuiwa kufanya siasa lakini ndicho chama tawala kwa sasa

    Mwaka 1960, ANC ilipigwa marufuku kufanya siasa nchini Afrika Kusini, viongozi wake kama Walter Sisulu na Nelson Mandela walikamatwa wengine wakakimbia nchi, Oliver Tambo akachukua jukumu la kukiongoza chama hicho akitokea Zambia. ANC iliendelea kufanya kazi katika mazingira magumu lkn...
  16. Yoyo Zhou

    Mwaka wa mawasiliano kati ya watu wa China na Afrika kuhimiza ujenzi wa Jumuiya yenye Hatma ya Pamoja

    Mwaka wa 2026 wa Mawasiliano kati ya Watu wa China na Afrika umezinduliwa hivi karibuni katika makao makuu ya Umoja wa Afrika yaliyoko Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia. Mwaka huu, takriban shughuli 600 za mawasiliano kati ya China na Afrika zitafanyika, na kuleta uhai na nguvu zaidi kwa ujenzi...
  17. L

    Afrika haipaswi kufanya chaguo chini ya shinikizo kutoka kwa nchi kubwa

  18. Yoyo Zhou

    China yasaidia Afrika kuingia katika zama za kidijitali

    Katika enzi ambapo utandawazi na Mapinduzi ya Nne ya Viwanda yanapokutana, mageuzi ya kidijitali yamekuwa nguvu muhimu ya kuhimiza maendeleo. Kwa bara la Afrika, mageuzi ya kidijitali si kama tu ni fursa ya kihistoria ya kutimiza maendeleo endelevu, bali pia ni njia kuu ya kutekeleza Ajenda ya...
  19. Kijakazi

    Afrika ni masikini kwa sababu walidanganywa na communists!

    Communists walidanganya wengi, afrika ilidanganywa na communists kwa miaka 60 sasa kwamba Christianity ni adui yao na capitalism inawanyonya, matokeo yake viongozi wa afrika waliwekeza miaka 60 baada ya uhuru ku-undo colonial capitalistic economic system iliyokuwepo ambapo ilikuwa well...
  20. Analogia Malenga

    Benjamin Fernandes atangaza nia ya kununua benki Afrika Mashariki

    Je anunue benki gani CEO wa mama Nala?
Back
Top Bottom