ameshindwa kumfukuza huyo mdudu badala ya kumuua?
wewe unaona umeandika nini hapo, swali lako unaona lina mtiririko sahihi wa lugha?
Ulitaka kumaanisha hivi? 👇🏻
Kwa nini hakumfukuza mdudu, akaishia kumuua?
au.. kwa nini alimfukuza wakati alipaswa kumuua?