Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu vijana watanzania;
Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane matusi. Mkikutana mkwepe au tafuta mtu mzima mwenzake amwambie ajirekebishe.
Nimeamua kusema hivi kwa maana kwamba, juzi baada ya kutoka katika mizunguko yangu...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Nchi ya Misri ina ushawishi mkubwa sana katika siasa (Political Influence) za eneo gani kati ya Africa na mashariki ya kati (Middle East)?
Rais wa Misri Hosni Mubarak akiwa na Saddam Hussein pamoja na Yasser...
With the continued economic problems in sadc's largest economy and the second largest economy in Africa, residents have turned to looting the rail infrastructure. Overhead electrical wires have been stolen and train stations are stripped bare.
Already struggling with a crumbing road network...
Muda mwingine unajiuliza waafrika tumemkosea nini Mungu.?
Lakini ukichimba unakuja kugundua adui yetu wa maendeleo yupo kati kati yetu. Hayuko mbali..!
Mwalimu aliwahi kusema maadui wakuu watatu hapa Tanzania ni.
Umaskini
Ujinga
Maradhi/magonjwa
Nafkiri mwalimu huenda aliangusha miwani yake...
Afrika Kusini imefungua mipaka yake kwa wasafiri kutoka nchi za Afrika, lakini imedumisha vikwazo dhidi ya nchi ambazo zina viwango vya juu vya maambukizi ya corona ikiwa ni pamoja na Uingereza, Marekani na Urusi.
Nchi hiyo ilifunga mipaka yakemwezi Machi mwaka huu katika juhudi za kuzuia...
Mgombea urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, ametuma salamu zake kwa Democrat Union of Africa (DUA) ambacho kimefanya mkutano wa uchaguzi huko nchini Ghana.
DUA ni ushirika wa vyama vya siasa vya mrengo wa kati-kulia barani Afrika. Ilianzishwa huko Dakar, Senegal, mnamo 1997. DUA inalenga...
We the opressed people of East Africa we are happy to inform the world that the oldest polical party in this blessed land is now being removed intellectually by patriots!
The Injustice you see now are the last kiks of a dying horse.
Arouñd the corner freedom is coming.
Cc
Mataga
Ccm
Icc
Uk...
Further to most of the very good answers here let me add some quirky facts which I am sure most people don’t know about Africa.
a) The First World war started and ended in Africa. Here read all about Alhaji Grunchi , the first soldier in British service to fire a shot in anger in the first world...
Katika pitapita zangu mtandaoni nimewahi kukutana na watu wengi wakilalamika kuhusu kufichwa kwa historia halisi ya Afrika na kufundishwa historia ya wakati wa ukoloni jambo hili nililipenda sana hasa kutokana kuwa mimi ni mtu nayependa kufukunya mambo mbalimbali, nilivyotafakari nikaona hii...
It indeed true that Africa as whole is a fast developing continent in the world today.
Also it includes such developments as modern infrastructures, architectures and designs.
It is also a known fact that most Countries in African have immensely abundant resources and man power that is just a...
Sio kwa hawa mlio nao aisee. Nimewafuatilia mara nyingi hawana viwango pia wamekuwa wanatabia ya "kucopy na kupaste".
Kwa mfano leo walikuwa na mada ya kwanini ligi yetu inakuwa na magoli machache kuliko ligi nyingine wakaenda mbali kwa kulinganisha ligi yetu na uingereza yaani majibu ya...
Mzuka wanajamvi!
Hatujawahi kusikia watoto au ndugu wa Bill Gates, Jeff Bezos, Mak zugeberg na wengine matajiri ulaya wakipoteza maisha kizembezembe.
Je, Freemason kwa kutoa kafara ni wabaguzi wameegemea tu huku kwetu Africa? Ama Africa kafara zetu zinathamani sana?
Yani unakuta mmatumbi...
Rapper wa Kike Rosa Ree amefanikiwa kuwepo katika orodha ya wasanii wanaowania tuzo za AFRIMMA Mwaka huu,
Amechaguliwa kuwania vipengele viwili ambavyo ni
Mwanamuziki bora wa kike Afrika Mashariki (Best Female East Africa)
Rapper bora wa Kike Afrika ( Best Female Rap Act)
Ili Kumpigia kura...
316 Upper Hill Chambers (Completed)
316 Upper Hill Chambers is a 104-metre, 26-storey tower located on 2nd Ngong Avenue in Upper Hill, about 2km from the old Nairobi central business district .
The newly-built skyscraper has joined the exclusive list of tallest buildings in Kenya, ranking...
Hamna namna ya kupenya soko la Afrika Mashariki na Kati bila baba lao Kenya kutia saini humo.
=========
Global electric giant LG Electronics has opened its first East Africa’s laundry shop in the country as it eyes the growing demand for washing services among low income and middle income...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.