The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Mzuka wanajamvi!
Hatujawahi kusikia watoto au ndugu wa Bill Gates, Jeff Bezos, Mak zugeberg na wengine matajiri ulaya wakipoteza maisha kizembezembe.
Je, Freemason kwa kutoa kafara ni wabaguzi wameegemea tu huku kwetu Africa? Ama Africa kafara zetu zinathamani sana?
Yani unakuta mmatumbi anatozwa kafara hata kwa utajiri wa million hamsin tu 25,000 USD can you imagine? Halafu masharti kibao.
Mimi nachoona hii dhana ya ufree Mason ni uongo na potofu. Kwa kifupi haipo.
Ni kufanya kazi tu kwa Weledi na bidii. Utajiri ni bahati lakini kuishi maisha mazuri na bora ni maamuzi.
Tusishawishike kuwatoa kafara ndugu na wapendwa wetu kwa kumbatia imani potofu.
Hatujawahi kusikia watoto au ndugu wa Bill Gates, Jeff Bezos, Mak zugeberg na wengine matajiri ulaya wakipoteza maisha kizembezembe.
Je, Freemason kwa kutoa kafara ni wabaguzi wameegemea tu huku kwetu Africa? Ama Africa kafara zetu zinathamani sana?
Yani unakuta mmatumbi anatozwa kafara hata kwa utajiri wa million hamsin tu 25,000 USD can you imagine? Halafu masharti kibao.
Mimi nachoona hii dhana ya ufree Mason ni uongo na potofu. Kwa kifupi haipo.
Ni kufanya kazi tu kwa Weledi na bidii. Utajiri ni bahati lakini kuishi maisha mazuri na bora ni maamuzi.
Tusishawishike kuwatoa kafara ndugu na wapendwa wetu kwa kumbatia imani potofu.