Tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na ya pili Barani Afrika kwa usambaziji huduma ya umeme kwa wananchi, ikiongozwa na Afrika kusini.
Kwa mujibu wa Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani, hadi sasa Tanzania imeshasambaza umeme katika vijiji 8102 sawa na 70%
Countries assessed according to 6 pillars:
~ market depth
~ access to foreign exchange
~ tax and regulatory environment
~ capacity of local investors
~ macroeconomic opportunity
~ enforceability of financial contracts
Hili halina ubishi huyu jamaa anatalanta ya kipekee sana
Licha ya kuwa hana uwezo Wa kuona tangu kuzaliwa kwake (KIPOFU) Lakini anauwezo MKUBWA Wa kupiga vyombo vingi vya mziki
Sauti yake ni ya kipekee na ya tofauti sana hafanani na mwanamziki yoyote yule
Reuben kigame ni mkenya anaishi...
Wadau naomba kuuliza kuna Trekta aina ya Telefunken-X-Germany, limeshatumiwa na mkulima Kaburu kama miaka 8 hivi, nimeipenda utendaji wake, niko hapa South-Pretoria ni nzuri sana. Ngoma inakuja kuiingiza Bongo. Itakuwaje na hali ya sasa ya mzee jiwe? Hatabiriki. Vipuri hata kama huko havipo...
Habari za wakati wanajamvi,
Leo nimekuja kwenu na orodha ya nchi 10 Afrika ambazo hazijawahi kuwa na mapinduzi ya serikali ya aina yoyote. Nchi nyingi za kiafrika baada ya uhuru ziliangukia katika wimbi kubwa la mapinduzi ya serikali zilizoachwa na wakoloni, kwa kipindi hicho sababu kuu za...
Well, we know many of you world like to know the most powerful military in Africa right? And if you don’t know some countries are powerful than the others in Africa now you know. Below you will find ten countries that are most powerful in Africa, in the others words countries with the best...
Education seriously needs an update, It still teaches us the things that have already been made easier to do.
It feeds in information instead of bringing out ideas. Creative education is almost gone, nobody talks about creativity and innovation.
If a doctor gives the patient of cholera, the...
Benki ya Maendeleo ya Afrika(AFDB) imeipatia Tanzania mkopo wa Dola bilioni 1.1, utakaotolewa kwa awamu kwa kipindi cha miaka mitano kwa ajili kuhudumia miradi ya ujenzi wa miundombinu.
========================
The African Development Bank (AfDB) has approved a loan package worth $1.1 billion...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.