Wakenya tulipigania sana second liberation in the 1990s hadi sahii tunaenjoy uhuru wa kunena na kuchagua, ila nalilia sana mataifa mengine ya Afrika jinsi wanavyowatenda wapinzani wa serikali. Mbona msipee watu uhuru wa kuchagua? Nchi yetu sahii tumechoka kuhost political asylum seekers. Get...
Doctors with Africa CUAMM Jobs
Background:
About Doctors with Africa CUAMM Registered Trustees
Doctors with Africa CUAMM Registered Trustees is a health organisation that implement health projects to help availability of quality healthcare especially to the most vulnerable. CUAMM Registered...
Kenya is the second most innovative in sub-Saharan Africa, behind South Africa and ahead of Mauritius, according to the World Intellectual Property Organisation’s Global Innovation Index 2019.
Ease of doing business ranking (EAST AFRICA)
1. Kenya — Rank 56
2. Uganda — Rank 116
3. Tanzania —...
In the opening ceremony of Africa - Europe foundation which was attended by various personalities from both continents, including the President of the Republic of Rwanda, Paul Kagame.
President Paul Kagame has emphasized that the relationship between Africa and Europe should base on mutual...
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania;
Dini ya Uislam iliwezaje kuenea kwa wingi "Sub Saharan Africa" ilhali waarabu hawakuwa na makoloni huku? Ni kupitia biashara pekee ama kuna njia nyingine za ziada zilitumika?
Orodha ifuatayo ni baadhi tu...
Kwa hii trend inayoshika kasi ya udikteta among African nations, I can predict kutakuwa na second wave of liberation struggle among African nations to gain their independence from fellow black colonialists! Angalia aina ya serikali katika nchi za Rwanda, Burundi, Uganda, Ethiopia, Zimbabwe to...
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu Jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania;
Kwanini bidhaa nyingi zinazoagizwa kuja barani Afrika (Tanzania) zinatokea China isipokuwa magari ambayo yanatokea Japan?
Ukiwa upo katika foleni ya magari barabarani, jaribu kufanya tathmini ya haraka...
Thomas Sankara , a man who was a threat to France’s interest in Africa later killed by his closest friend.
Thomas Sankara
Viewed by supporters as a charismatic and iconic figure of revolution, he is commonly referred to as “Africa’s Che Guevara”. In his 4 years of leadership.
– He vaccinated...
Anglophone Vs Francophone Africa: Harufu ya mpasuko mkubwa wa kisiasa ndani ya umoja wa Africa (AU) baina ya mataifa yanayozungumza lugha ya Kiingereza na yale ya Kifaransa.
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu JamiiForums.
UTANGULIZI: MZOZO WA ANGLOPHONE - FRANCOPHONE NCHINI...
Habarini wakuu.
Iko hivi, utafiti wa dawa hadi ikaingia sokoni ni gharama kubwa sana na una mlolongo mrefu balaa.
Hugharimu mabilioni ya dola na makumi ya miaka.
Makampuni mengi kabla ya kufanya utafiti wa dawa kwanza huangalia kama italipa? Je wanaoumwa wanaweza kununua dawa? Hii imepelekea...
President Uhuru Kenyatta during a previous meeting
TWITTER
Kenya has been ranked among the most improved African countries in the 2020 Ibrahim Index of African Governance (IIAG).
The ranking done by the Mo Ibrahim Foundation measures and monitors governance performance in African countries...
Rais wa Urusi Vladimir Putin ameidhinisha kuendelezwa kwa makubaliano na Sudan ya kuanzishwa kwa kambi ya jeshi katika pwani ya Bahari Nyekundi.
Urusi inapanga kujenga kituo cha usafirishaji na ukarabati kwa jeshi lake la majini ambacho kitakuwa na wafanyakazi wasiozidi 300.
Rasimu ya...
Tukiachana na Tuisila kisinda, Serge mukoko wachezaji walionesha kiwango kikubwa kwa muda mfupi.
Unaongeleaje usajili wa yanga kwa huyu jamaa
Tanzania 0 vs 1 Burundi
Comoro 1 vs 1 Burundi
Burundi 3 vs 1 mauritania
mechi 3 magoli 4'
Passengers travelling from any destination within Africa can now enjoy a two-piece baggage allowance onboard Qatar Airways to select destinations
Qatar Airways operates over 700 weekly flights to over 100 destinations worldwide
16 November 2020
DOHA, Qatar – Qatar Airways is pleased to...
Je, maoni na mapendekezo ya nchi za Magharibi ni lazima tuyafuate katika kendeleza chumi zetu.
Naamini lazima tubadilike ki muono na kutenda ili tuishi vyema.
Kuna clip hapa itasaidia kujua wenzatu wanatufikiria vipi tuweze au tunapaswa kuwa..
Karibuni.
Habari naulizia kwa yoyote anayefahamu vyuo vinavyofundisha kozi za kuendesha mitambo south africa na kama wanafanya process za kubadili cheti maana nna cheti Cha forklift Cha hapa TZ
Kwa yoyote anayefahamu hivyo vyuo anijulishe kozi nnayo itaka Sana ni EXCAVATOR .. na kwa mwenye uelewa vizuri...
Mabibi na mabwana huu ndiyo ukweli wenyewe:
Donald Trump mgombea aliye madarakani huko Marekani kama angekuwa hapa Afrika (hasa Afrika mashariki), tayari angesha tangazwa kuwa ni ushindi, tena labda wa kishindo (80%+).
Kama Marekani ingekuwa ni Tanzania, NEC ya Kaijage na Mahera ingeshamaliza...
Ukiangalia katika wageni waliohudhuria Hafla ya Kumwapisha Rais, utagundua kuwa hakukuwa na wageni wowote wa maana kwenye shughuli hiyo kutoka kwenye nchi zingine za Afrika, hii inaashiria nini?
Nilitegemea nione viongozi wakubwa wa nchi zinazotuzunguka +SADC kama South Africa, Zambia, Kenya...
Straight to the point and short clear: China is lending a helping hand to African dictators which is in the financial support to pay the price for their longer stay in power without having any clue to where they are taking their nations. Like how a dog is lured by a python and gets constricted...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.