https://aci.aero/customer-experience-asq/asq-awards-and-recognition/asq-awards/current-winner-2020/best-airport-by-size-and-region/
Jomo Kenyatta International Airport (JKIA), Nairobi and Moi International Airport (MIA), Mombasa have been recognized for excellence in customer service.
Airports...
Kukosekana kwa serikali ya umoja ambayo itathibiti political instability, usaliti ,uzalendo kwa bara letu kunatufanya tuwe maskini.Nchi za magharibi zimekuwa zikitugawa ili waendelee kuiba rasilimali zetu na wao kuwa super power economically.
It is time tuwe na serikali moja itakayoongoza...
Kung'ang'ania mshindane na Wakenya mtaishia kupasuka misamba, sisi tupo kwenye ligi nyingine....
Dar es Salaam. The latest United Nations Conference on Trade and Development’s Business-to-Consumer (B2C) E-commerce Index 2020 has seen Tanzania’s ranking drop by 11 spots to currently rank at 110...
Nchi zinaongoza kwa Uhuru wa vyombo vya habari barani Africa.
Source: world press freedom index. Year. 2020.
1. Namibia
2. Cape varde
3. Ghana
4. South Africa
5. Burkina Faso
6. Botswana
7. Senegal
8. Madagascar
9. Mauritius
10. Niger
11. Seychelles
12. Cote D' ivore
13. Malawi
14. Tunisia...
Kwa mujibu wa mtandao wa African full facts nchi zinazo ongoza kwa unywaji wa pombe barani Africa ni..
1. South Africa
2. Gabon
3. Namibia
4. Nigeria
5. Uganda
6. Rwanda
7. Burundi
8. Sierra Leone
9. Botswana
10. Tanzania.
Na vilevi (bia) vinavyohusidiwa sana na walevi wa bara la Africa ni:
1...
John Magufuli’s cavalier disregard of Covid’s impact in the great lakes region is fuelling conspiracies and endangering lives
What is wrong with President John Magufuli? Many people in and outside Tanzania are asking this question.
Magufuli claimed last year that God had eliminated Covid in...
Mabibi na mabwana, hatimaye tuko hapa sasa:
Afrika CDC imeionya Serikali ya Tanzania kuhusu namna inavyoshughulika na corona.
Kwa mujibu wa matangazo ya DW mchana huu, Afrika CDC imeionya Serikali ya Tanzania kuwa kwa namna hii na hili la kutotoa takwimu za ugonjwa huu, Tanzania inaliweka bara...
By Anne Soy
BBC Senior Africa correspondent
Nadhani sababu namba tatu na Nne zimetusaidia zaidi: Kun literature ya kutosha kuhusu hizo point mbili na siyo sala za Mungu na kujifukiza
So what are some of the reasons for Africa's relatively low death rate
Coronavirus in Africa: Five reasons why...
Mambo vp JamiiForums.
Ninapoandika hoja hii, ninaomba ifahamike kuwa i have nothing personal with mzee Kimei na ninatambua kuwa yeye ni moja katika ya hazina kubwa ambazo taifa hili linazo katika masuala mazima ya uchumi na banking.
Watu walikuwa wanapenda sana kumshambulia kaka yangu Pascal...
Purukushani za hapa na pale zilitokea baaada ya walinzi wa Putin kukataa kuweka suitcase zao zisipite kwenye scanner, inasemekana kwamba suitcase hizo zilikuwa zina code za siri za silaha za nuclear za Russia.
Inasemekana kwamba baada ya walinzi hao wa karibu kabisa wa Putin kufika eneo la...
ENZI ZA AFRICA EVENTS
Msomaji wangu mmoja kaniandikia maneno hayo hapo chini baada ya kusoma makala yangu niliyomtaja Prof. Hamza Njozi:
"Makala ya Prof.Hamza Njozi katika jarida la Africa Events ilihusu nini?
Sikujua kama Prof.Njozi alikuwa akiandika katika Africa Events, ingependeza kama...
Album ya Rayvanny "Sound from Africa" uchambuzi, ratings!!, cons and pros, Karibu.
Raymond Shabani Mwakyusa a.k.a Rayvanny kaachia album yake ya kwanza toka anze Carrier yake ya muziki miaka kadhaa iliyopita.
Jina la Album : Sound from Africa
Wasanii walio-shirikishwa jumla 20
13...
Yaani wamebarikiwa sana na mwenyezi Mungu. Ukiangalia predicted rainfall patterns ya East Africa utagundua kwamba Tanzania ndio nchi pekee inayopokea mvua katika kila corner ya Tanzania. Nchi zingine hazipokei mvua katika kila kona. Lakini 100% ya Tanzania inapokea mvua. Sasa ni kwa nini...
Ndiyo!
Afrika dhidi ya nchi zilizoendelea ni sawa na wanawake dhidi ya wanaume. Wanawake wana kauli mbiu nyingi, ikiwemo Ile ya "wanawake tunaweza''. Sawasawa na Waafrika.
Kwa nini?
Kila siku waafrika wanajigamba, "sisi tunaweza, sisi ni matajiri" lakini nchi zilizoendelea wao wametulia tu...
Namibia has been ranked as the country with the best roads in Africa for the fifth consecutive year.
=====
For the fifth consecutive year Namibia has retained its position at the top of the list of the best roads on the African continent.
According to the World Economic Forum’s (WEF) Global...
Yaani pamoja na wasomi wote tulionao bara nzima bado tunasubiri huruma kwenye kila kitu hata Chanjo za Corona. Lakini kibaya nchi zote za Africa ukiacha Senegal hata jitihada za kutafuta chanjo hakuna sasa OAU na hizi EAC , SADC ni za nini kuongea tu!!.
Tungekuwa na viwanda vya madawa hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.