Africa needs a second wave of armed struggle to gain independence from fellow black dictators, murderers, human rights violators and colonialists!

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,173
73,616
Kwa hii trend inayoshika kasi ya udikteta among African nations, I can predict kutakuwa na second wave of liberation struggle among African nations to gain their independence from fellow black colonialists! Angalia aina ya serikali katika nchi za Rwanda, Burundi, Uganda, Ethiopia, Zimbabwe to mention, but a few-Tanzania ikiwa kinara. (ongezea za WestAfrica), ni wazi kwa mwenendo huu kuna civil wars zitaibuka Africa.

Mauaji ya waafrika wenzano, kutoheshimu Katiba za nchi zao, ukandamizaji, kupuuza haki za binadamu etc utafika wakati hayatavumilika. Time will tell!
 
Kosa kubwa ni la wapigania Uhuru walitengeneza mifumo ya kuendelea kutawala na sio kuongoza.
Screenshot_20200518_071225.jpg
 
Afrika haiwezi endelea sababu haina mifumo ya uongozi bora tofauti na wenzetu. Afrika yeyote tu anaweza akawa kiongozi hata muhuni tu anaweza akawa kiongozi. Thus kuna madikteta ( zao la ukosefu wa malezi Bora utotoni).

Udikteta hujengwa utotoni Afrika hawastudy background ya mtu Ili kujua ni mtu wa aina gani,thus hata muhuni anawezakuwa kiongozi. Wenzetu wapo makini na hufanya vetting ya kutosha kujua Hadi jinsi ulivyolelewa. Lengo kuu ni kuepusha watawala wezi, wauaji,waua uchumi,primitive, uncivilized,nk.
 
Na hii itatokea kwenu nyie mlioingia Tanzania kutafuta hifadhi baada ya familia ya Mama yako kufukuzwa Kongo DRC kwa kumiliki vikosi vya uasi bila kujijua walikuwa wanatumiwa ili kuWaibia Madini kiurahisi na Baba yako Aliyekimbia Burundi nako akiwa kwenye kikundi cha uasi nako akiwa ni sehemu ya Wafanikisha uasi wa Burundi mwaka xx.

Kwa Kipindi nilichomshuhudia Zitto Kabwe na Tundu Antipas Lissu wanavyoichafua Tanzania na Watanzania wakiwemo wazazi wao, kwasababu ya kutafuta mbinu ya kushibisha Matumbo yao kama Mandondocha/Misukule imenishangaza saaana.

Tena wanafanyia uasi wa nchi kwenye Mataifa ambayo Mpaka sasa Wanatamani Kongo DRC ilirudi kuwa koloni lao (Ubeligiji - Wapo na Miradi ya Enabel lakini lengo lao nikutaka Kongo kusitawalike ili wairudishe kuwa sehemu ya milikiyao), Ujerumani- Wanawasapoti Vyama vya Upinzani vyenye ushawishi Kigoma, Arusha, Moshi/Kilimanjaro, Mbeya maeneo ambayo waliweka vituo maalum vya kusafirishia utajili wa Tanzania na nchi Jirani kwenda kuitajilisha Ujerumani na Mataifa ya Ulaya kupitia njia ya Reli ( Update Tani 1 ya Mzigo inasafirishwa kwa USD 1 hii ilikuwa ni makubaliano kupunguza mgogoro kati ya Mbeligiji, Muingereza na Mjerumani kuhakikisha wanasaidiana kuiibia Afrika kwa kuwatumia Mapapeti (Mfano Tundu Lissu na Zitto Kabwe)).

Watanzania hawa Wapuuza wanadhani hatujui Malengo yao na Mbinu zao, Hata cc Waafrika tuna Jambo letu la kuhakikisha Rasilimali zetu na utajili wetu tunaulinda kwa Maslahi Mapana ya Watanzania na Waafrika kwa ujumla.
 
Umaskini wa Kongwa upo reflected kichwani mwake. Ni maskini wa akili. Anataka kuliendesha Bunge kama familia ya Kongwa. Hii haiewezekani. Very soon he will be topped out. The second wave of liberation is not that much far.
 
Haueleweki, we utakuwa ni kibaraka wa watawala tu...ni kawaida hamuwezi kukosekana maana walau mnaambulia vipapatio vilivyobakizwa
 
Hii abuse ya vyombo vya usalama kwa ajili ya maslahi binafsi ya kisiasa ya watu wachache itawatokea puani watawala madhalimu na washenzi wa Afrika. Vijana wenye maono ndani ya hayo hayo majeshi wanayojiaminisha kuwa wameyaweka viganjani mwao wanaweza anytime kuona huu ni "us**e. Wakaamua kama mbwai na iwe mbwai!

Kitu kingine ni kuwa kuna wale watu wanaoitwa" lone actors", Yaani mtu anayeamua kujichukulia maamuzi mikononi mwake. Ni rahisi kwa vyombo vya Intelijensia duniani kuthibiti makundi yaliyo organised kufanya tukio la kutisha lakini ni vigumu kuthibiti lone actors.

Afrika ikiendelea hivi, na ushenzi huu, sitashangaa kama watu wakatafuta liberation ya pili, maana huu ni ujinga
 
Why leaving out countries where the speaker of the National Assembly can violate the constitution in a broad daylight, by supporting unconstitutional means, to legitimize unconstitutionally appointed women rep to parliament without the consent of their political party which sponsored to Parliament.

This is how disobedience of the rule of law starts gradually, and eventually kills all other legally established institutions which have been put in place for many years to instil a sense of purpose, to put places check and balances and guarantee rights and freedoms for all people.

The disrespect of the constitution may gradually lead to gradual civil disobedience in reaction against such regimes and eventually make them spontaneously gather strength and momentum to denounce the unpopular arrangements in our modern times.
 
Afrika haiwezi endelea sababu haina mifumo ya uongozi bora tofauti na wenzetu. Afrika yeyeto tu anaweza akawa kiongozi hata muhuni tu anaweza akawa kiongozi. Thus kuna madikteta ( zao la ukosefu wa malezi Bora utotoni).
Udikteta ujengwa utotoni afrika awaastudy background ya mtu Ili kujua ni mtu wa aina gani,thus hata muhuni anawezakuwa kiongozi. Wenzetu wapo makini na ufanya vetting ya kutosha kujua Hadi jinsi ulivyolelewa. Lengo kuu ni kuepusha watawala wezi, wauaji,waua uchumi.primitive, uncivilized,nk.
Ni kweli kabisa! Imagine, mtu alikuwa mwizi wa magari sugu - halafu anakuwa mbunge na kupewa uongozi mkubwa ndani ya chama!
Maana yake, karata zikichangwa vingine kuna uwezekano hata wa kuukwaa uraisi! Imagine! Na wakati wote tunajua hizo tabia zao! Sasa kiko wapi si amekimbia mwenyewe?
 
You are right!

Bora the devil you know (wakoloni) than the "wolf in goats skin (CCM)" you don't know
 
52 Reactions
Reply
Back
Top Bottom